Somo:Sisi
tuu wamoja -part 2
Neno: “Kwa maana wako watatu washuhudiao mbinguni,
Baba, na Neno, na Roho
Mtakatifu, na watatu hawa ni umoja.” 1 Yohana 5:8
Tunajua kuwa ni kweli
YESU ametupa ule utukufu aliopewa na BABA MUNGU kwa kusoma “Nami utukufu ule ulionipa
nimewapa wao; ili wawe na umoja kama sisi tulivyo umoja” Yohana 17:22,
Kuwa na Umoja kama
wakristo ni agizo kuu la kufanya ili
utukufu tuliopewa na YESU uweze kuonekana
katika maisha yetu kama wakristo.
Tunatakiwa tuwe na
umoja katika YESUKRISTO na sio umoja katika udini/dini yetu bali umoja katika
YESUKRISTO.
Umoja katika YESUKRISTO
unapingana kabisa na udini, Ingawa ndani ya udini kunaweza kuwepo umoja lakini
umoja huo sii ule umoja katika YESUKRISTO.
Tusipo kuwa na umoja
katika YESUKRISTO kama watumishi wa MUNGU tunafanya utukufu aliotupa MUNGU
asidhihirike sana katika maisha yetu.
Kama hauna umoja katika
YESUKRISTO utashindwa kumsaidia mkristo mwingine kwa kuwa hajatokea katika kanisa/huduma
yako.
Mahali popote ambapo utukufu wa MUNGU ulishuka
haukuacha pakiwa vile vile bali ulileta mabadiliko ama yawe mabadiliko mazuri
au mabaya kwa panapo uovu .
Utukufu wa MUNGU
unaposhuka tuwapo katika kuabudu au ni sifa basi tunajikuta tunatekwa na
kuhama kuanza kunena kwa lugha na hata
kufurahi sana mpaka kulia na kadhalika
Umoja unaozungumziwa
hapa ni umoja katika YESUKRISTO,Umoja katika kuifanya kazi ya YESUKRISTO pasipo
ubaguzi wa kanisa ,huduma ,au mtumishi gani,au eneo atokalo.
MUNGU anatambua umuhimu
wa umoja katika yeye YESU ,ili utukufu aliotupa upate kuonekana.
Sisi tu wa moja.Na kama
tu wa moja basi tuwe na umoja kama BABA yetu aliye mbinguni alivyo na umoja
yaani MUNGU baba,MWANA na ROHO MTAKATIFU.Ili utukufu wake MUNGU ung`ae maishani
mwetu.

Ushuhuda Wangu wa Kutoka Moyoni 💖
ReplyDeleteBaada ya baba yangu mdogo kuniacha kwa miezi saba mirefu, nilikuwa nimevunjika moyo kabisa. Alinizuia kwenye mitandao yote ya kijamii, akaondoka, na hakukuwa na njia ya kumfikia. Karibu nikate tamaa, lakini ndani kabisa nilijua singeweza kupata mtu yeyote ambaye angenipenda na kunitendea jinsi alivyonitendea.
Siku moja, bosi wangu kazini aligundua jinsi nilivyokuwa na huzuni na akanitambulisha kwa Dkt. Dawn. Dkt. Dawn alisikiliza hadithi yangu na akaahidi kwamba mpenzi wangu angerudi kwangu ndani ya siku tatu. Kwa kweli, sikuamini mwanzoni—lakini kwa mshangao wangu mkubwa, siku ya tatu simu yangu iliita. Ilikuwa yeye! Alikuwa akilia na kuomba msamaha, akisema hataniacha tena.
Tangu siku hiyo, uhusiano wetu umekuwa na nguvu na uzuri zaidi kuliko hapo awali. Amekuwa akipenda na kunijali mimi na mtoto wetu, na sasa tunafunga ndoa katika miezi miwili tu! ❤️
Shukrani zote kwa Dkt. Dawn, ambaye kwa kweli alifanya jambo lisilowezekana liwezekane. Ninampendekeza kwa moyo wote kwa yeyote anayekabiliwa na changamoto katika:
Masuala ya uhusiano au ndoa
Ugonjwa au magonjwa
Matatizo ya utasa au bahati nasibu
Kesi za mahakamani au urejeshaji wa mali
Dkt. Dawn kweli hutatua matatizo kwa ufanisi na hurudisha furaha katika maisha ya watu.
Wasiliana na Dr. Dawn kwenye WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com