SIRI ZA MBINGUNI NA KUZIMU SEHEMU YA NNE(4)

Maono aliyopewa Ndugu Emmanueli Samsonjude na Bwana YESUKRISTO.
4 Kupita sauti ya maji mengi, maji makuu, Kupita mawimbi ya bahari yaumkayo, Bwana Aliye juu ndiye mwenye ukuu.
5 Shuhuda zako ni amini sana; Utakatifu ndio uifaao nyumba yako, Ee Bwana, milele na milele.[ Zaburi 93:4-5].

Kila aliyeko chini ya jua yuko na mkakati; na mkakati unaweza kuwa ama MZURI au MBAYA, Inaweza kuwa ni wa MUNGU au SHETANI.MAAMUZI yako ndiyo yanayopelekea HATIMA yako kwa sababu huwezi kumtumikia Mungu na mammoni.
Tangu uko kwa KRISTO, yakale yamepita.Kwa sababu wewe ni kiumbe kipya;Unatakiwa utoke kutoka kwenye vichafu vyote.[ 2 Wakorintho 6:14-18].
Nakumbuka miaka ya nyuma kabla sijaokoka nilikuwa nawaza kuja kuwa muuaji wa kukodiwa !.Namshukuru MUNGU leo kwa sababu Bwana ameharibu kila mipango ya shetani.YESUKRISTO amenigeuza sasa na kunifanya kuwa mleta watu kwake kwa utukufu wa Ufalme Wake.[1 Petro 2:9-10].
YESUKRISTO bado aweza badili maisha yako !Mkubali sasa na atakugeuza kuwa mtoto wa kipekee Kwake.

UTEMBELEO WA YESUKRISTO
Ilikuwa ni mida ya saa 2:50 jioni ,nilikuwa niko kitandani, nilipokuw kitandani.nilimuona Bwana YESUKRISTO;Alikuja kwangu na kusema “NIMEKUJA KUKUONYESHA WEWE KITU FLANI MUHIMU”.Nikasema, ‘Bwana, uliniambia itakuwa mwisho kunitembelea na kunionyesha mambo hayo katika ile mara ya tatu, Kwanini umekuja tena Bwana ?’.Alitabasamu na kusema, “MWANANGU, ULINIJIBU MIMI NILIPOKUULIZA WEWE KITU GANI UNACHOTAKA KUKIONA KATIKA UFALME WANGU,NAWE UKASEMA KUWA MAPENZI YAKO YATIMIZWE !KWA HIYO IMEKUPA NAFASI YA KUONA JINSI WATU WANAVYOTAKIWA KUWA MBALI NA DHAMBI ZAO.”Nikajibu, “Nikweli uliniuliza hivyo uliponijia ile mara ya tatu, lakini najua ni rehema Zako zilizonisaidia kukujibu hivyo.”[ Zaburi 118:1]
NYUMBA YANGU MBINGUNI.
Bwana alinichukua mpaka Mbinguni na kusema, “MWANANGU, ULIOMBA KATIKA MAOMBI YAKO KUONA SEHEMU NYUMBA YAKO ILIPOFIKIA NA LAZIMA NIKUONYESHE.”[ Mathayo 7:7-8]
Bwana alinichukua mpaka MBINGUNI na kunionyesha mimi nyumba.Nikaona malaika wengi wakikimbia na dhahabu mikononi mwao, maua, wakiwa wanapamba na kuongeza jengo.Nikamuuliza Bwana aniambie mmiliki wa nyumba hiyo.Bwana akajibu, “MWANANGU, INAMILIKIWA NAWE!” Nikatabasamu na kusema, “Lakini Bwana,niambie sababu kwa nini hao malaika wanakimbia hivyo ? na Bwana akasema, “KWA SABABU YA UFUNUO NILIOKUONYESHA WEWE UNALETA WATU WENGI KUELEKEA KATIKA NJIA NYEMBAMBA, MAOMBI YAO YA WATU WENGI SASA NI KAMA MOTO.WALIORUDI NYUMA WENGI WAMERUDI KWANGU ! WATU WENGI WANAVYO ZIDI KUNIPA MAISHA YAO KUPITIA USHUHUDA WAKO.NDIVYO NYUMBA YAKO NA NDIVYO JINSI NYUMBA YAKO INAVYOKUWA KUBWA !.” [1 Yohana 4:4] [Mathayo 11:28].

LAZIMA URUDI KWENYE UPENDO WAKO WA MWANZO
Baada ya hayo MUNGU alinichukua sehemu mbali mbali Mbinguni kitu ambacho kilinipa huzuni sana katika moyo wangu;Naamini kuwa watu wengi watarekebisha njia zao.[2 Petro 3:9]
Niliona baadhi ya nyumba Mbinguni ambako malaika walikuwa wamesimama kuendelea kujenga.Hizo nyumba zilikuwa ndogo sana.Malaika husika walikuwa wenye huzuni kwa sababu, Kwa kuwa walikuwa tayari kufanyia kazi sehemu hiyo na hawakuweza tuu kwa sababu mmiliki alikuwa haendlei kumfanyia kazi YESUKRISTO.Na nilipiga kelele, “Ohh Bwana kwanini ?”, Na Bwana akaniambia, “MWANANGU, ANGALIA KWA MAKINI !HIZI NYUMBA ZINAMILIKIWA NA WALE WALIO ACHA UPENDO WAO WA KWANZA.WAMEACHA KUFANYA MAPENZI YANGU,HAWAFANYI TENA KAZI KWA AJILI YANGU LAKINI WANAFANYA KAZI KWA AJILI YA MIFUKO YAO,WAMEACHA UPENDO WAO WA KWANZA !, WAAMBIE WATUBU NA KURUDI KATIKA NJIA KWA SABABU INAWEZA IKAWA WAMECHELEWA WAKISEMA NGOJA NGOJA” [Ufunuo 2:4-5]

ENDELEA TUU KUPANDA MLIMA
Bwana akanichukua mpaka sehemu na akasema, “MWANANGU, ANGALIA NA KUONA KINACHOTOKEA KWA WATU WANGU, NATAKA WAWE NA UVUMILIVU NA KUWA IMARA”[Marko 13:13].... na tazama, nkaona mlima mkubwa, na watu wasiohesabika wanaupanda.Nikagundua kuna sehemu katika huo mlima ulikuwa umejaa MIBA, na baadhi ya sehemu zilikuwa za MOTO kama moto na sehemu nyingine zilikuwa LAINI.Mwanzo sehemu zote za mlima zilikuwa rahisi sana kuzipanda.


NGUVU YA KWANZA
Katika haya , Bwana aliniagiza na kusema nami, “ANGALIA KWA MAKINI NA ULIZA CHOCHOTE UNACHOPENDA KUKIELEWA”Nikaona baadhi ya watu wanakimbia kupanda ule mlima na wakaanza kuupanda kwa haraka na furaha.Ghafla!, wakafikia kwenye sehemu yenye miba ya ule mlima, wakarudi nyuma na kukimbia kuacha kupanda mlima, na siku waona tena.Nikamuuliza Bwana niambie maana ya hiki Naye akaniambia, “HII INAITWA NGUVU YA KWANZA.HII NI WALE WALIOSIKIA NENO LANGU NA KULIPOKEA KWA FURAHA, NA KUNIKUBALI MIMI KAMA BWANANA MOKOZI WAO BINAFSI, LAKINI MAJARIBU YA DUNIA NA STAREHE ZILIPOWAJIA, WAKAANGUKA NAKUACHA KUNIFUAA MIMI.HAWAKUVUMILIA , KWA SABABU WOKOVU WAO HAUKUWA IMARA”[Luka 8:13-14][Luka 6:49].Je wewe u kati ya watu hao?, Tubu sasa na uokolewe.

SEHEMU YA MOTO YA MLIMA
Bwana alinionyesha mimi wakristo wengi katika sehemu ya moo ya mlima.Baadhi walishindwa kupita kwenye hilo eneo kwa sababu lilikuwa la moto.Nikaona baadhi ya watu hawakujali lilivyo jinsi linavyo waumiza miili yao;Wao walichotaka nikumaliza kupanda ,na kupumzika mwishoni.Nikamuona Mtu aliyesimama kwenye mlima; mara zote anapokea wale wanaomaliza kupanda huo mlima na kuwaingiza katika sehemu nzuri sana.Hiyo sehemu inaitwa “LANGO LA UFALME WA MBINGUNI”[Isaya 35:8-9]
Nikamuuliza Bwana aniambie mimi maana yake Naye akasema, “HAYA NI MAJARIBU KWA IMANI ZA WATU WANGU NA KAMA WATAVUMILIA MPAKA MWISHO WATAKUWA WANGU.”[1 Wakorintho 15:58] Kwa hiyo nikamuuliza Bwana, “ina maana sio wako kabla haajamaliza majaribu ?” Naye akanijibu, “MWANANGU,NILIIMALIZA KAZI YANGU KWA KUVUMILIA MAJARIBU....NA NDIO WOKOVU UKADHIHIRIKA.HIVYO WATU WANGU PIA WATAPITA KWENYE MAJARIBU.KAMA ILIVYOSEMA, ‘Heri mtu astahimiliye majaribu; kwa sababu akiisha kukubaliwa ataipokea taji ya uzima, Bwana aliyowaahidia wampendao.’”[Yakobo 1:12].

SEHEMU LAINI NA NYEPESI YA MLIMA
Na nikaona wale waliofikia sehemu ya wepesi na ya laini,Ilikuwa iko laini kiasi kwamba wengi waliofika hapo walijipumzisha mpaka wengine kufikia kulala hapo, lakini wapo waliokuwa hawapumziki bali wakizidi kuupanda tuu huo mlima.[Isaya 40:29-31]
Tazama, wengi wao waliokuwa wamelala katika eneo lile walianguka na kupotea !.Ghafla nikasikia sauti kubwa ikisema, “WAAMSHE,WAAMSHE KWA KUWA MUDA NI MFUPI KUPUMZIKA HAPA” Na ghafla wengi wao waliokuwa wamelala katika hiyo sehemu laini waliamka na kurudi kuendelea na safari.Wengine walionekana kuidharau sauti na kuendelea kulala.Nika muuliza Bwana nisaidie mimi ili niweze kuelewa.Naye akasema, “MWANANGU,NINAFURAHISHA NA UUMBAJI WANGU JUU YAKO !HAKIKISHA HAYA YATOLEWE KATIKA MAANDISHI ILI WATU WANGU WAJUE NINI KINACHOTOKEA KATIKA UTU WAO WA KIROHO,ULIZA KUJUA CHOCHOTE KIGUMU KWAKO KUKIELEWA !”.
Nikasema, “Tafadhali niambie maana ya sehemu hii laini ya mlima huu.”Bwana alinijibu, “SEHEMU LAINI YA MLIMA NI HALI YA MAISHA AMBAYO WATU WANAFIKIA WANAPOFIKIRI HAKUNA HAJA TENA YA MAOMBI, KUFUNGA NA KUFANYA UINJILISTI !”
[2 Timotheo 2:7], Nikawaza Bwana aniambie maana ya wale walio anguka chini kutoka kwenye sehemu laini na kupotea.Bwana akaanza kulia na kusema, “MWANANGU, WALE WALIOLALA NA KUPOTEA.”[1 Wakorintho 15:18],Nikihitaji kujua na wale waliopumzika na kulala pale.Bwana YESU alisema, “HAWA NI WATU WANGU WALIOFIKA SEHEMU AMBAPO WANAFIKIRI VITA IMEKWISHA NA HAWAHITAJI TENA KUOMBA NA KUFUNGA.WAMESAHAU NILIPOJARIBIWA NA SHETANI NA KUNIACHA MIMI ILIKUWA HIVYO KWA KITAMBO TU NA KURUDI TENA[Luka 4:13].
WAMESHINDWA KUELEWA UTAKATIFU.HAWAKO TAYARI NA HAWAWEZI KUDAKA KUYAPTA MAONYO YANGU !, WAAMBIE WALE WANAO LALA WATAANGAMIA !, HIVYO ,AMSHA WALE WALIO LALA WAAMKE KUTOKA WAFU NA NITAWAPA NURU”[Waefeso 5:14]
Nikamuuliza nini maana ya sauti kubwa inayosema “AMKA”, na Bwana akasema, “HAYO NI MAONYO YANGU KWA WAKRISTO WENGI WANAOJIITA WENYEWE WATUMISHI WANGU; NAWAONYA KUPITIA MAONO, NDOTO NA KUPITIA VITU VINGINE VINGI ILI WAACHE KUANGUKA!” [Zaburi 19:7-11]
Nikamuuliza Bwana aniambie kuhusu wale wanaopuuzia sauti.Naye akasema, “WALE WALIOSIKIA MAONYO YANGU KUPITIA MAONO NI WALE NINAO WAAMSHA KUTOKA USINGIZINI.WALE WANAOPUUZIA MAONYO YA SAUTI YANGU NDIO WALE WANAO NIITA MIMI MUONGO!,WAAMBIE WATUBU NA NITAWAVIKA TAJI YA USHINDI”[Mathayo 11:28-30][Isaya 1:19]
UWEZA NA NGUVU ZAKE AMEZIFANYA KAMILI
Neno la MUNGU katika kitabu cha Isaya 40:29-31, linaleta uhakika na kutokubadilika kwa wale wanaojinyenyekeza wenyewe.
Nilimuona mtu ambaye alikuwa karibu anafika kwenye kilele cha mlima.Ghafla, akaanza kurudi nyuma taratibu.mtu huyu akaanza kulia akisema, “Hapana ! hapana !Nahitaji neema !”na mara nikasikia sauti kubwa; Na sauti hiyo ilikuwa ikisema, “NEEMA YANGU YAKUTOSHA,KWA KUWA KWA UWEZO WANGU NIMEFANYA KATIKA UDHAIFU WAKO !”[2 Wakorintho12:9]
Hivyo mtu yule akapata nguvu na kuendelea kupanda juu.Nikamuuliza Bwana aniambie mimi maana ya haya.Akasema, “HUYU MTU AMEJINYENYEKEZA MWENYEWE NA HAKUTEGEMEA UWEZO AU NGUVU ZAKE MWENYEWE.ALILIA KWANGU KWA UNYENYEKEVU.[LUKA 5:11], SITARUHUSU KUANGAMIA KWA SABABU WALITAKA UONGOZI WANGU KATIKA MAISHA YAO”.[Yakobo 4:10].
Bwana akasema, “SABABU YA WENGI WA WATU WANGU KUANGAMIA NI KWA SABABU HAWATAKI MUONGOZO WANGU KATKA MAISHA YAO, HAWATAKI KUWEKA HATUA ZAO KWA NENO LANGU, BALI WANA LINGANIA (justifying) WAO WENYEWE.NITAWAPA NGUVU WALE WANAOTAKA MUONGOZO WANGU NA SIO MIONGOZO YAO.”[Zaburi 119:129-130].
Bwana alinukuu Zaburi 119:105-112.Bwana YESU alisema, “NENO LANGU, NENO LANGU, NENO LANGU; SITALIPUNGUZA AU KULIFANYIA UTANI.!” Zaburi 119:131-136.Bwana YESU alisema, “WAAMBIE WATU WANGU WAVAE SAWA SAWA NA NENO LANGU, KWA SABABU WENGI WAO WASIO TAYARI KUVAA SAWA SAWA NA NENO LANGU WAO SI WATII NA HAWATAKI MUONGOZO WANGU.MIOYONI MWAO KUMEJAA UOVU WA FIKRA NA KUZIDI KUUPENDEZA MWILI,WAMEKOSEA KUDHANI WANANIPENDEZA MIMI.”

JE UMESHATUBU NA KUTOKA KWENYE DHAMBI ZAKO ?
Kama bado u mdhambi ni vyema utubu sasa ili uokolewe.Bwana alinichukua mimi nakunipeleka sehemu nikatazama niliona hali kiroho ya wadhambi, Niliona watu wasio hesabika wote wakiwa wamefungwa na mapepo; Minyororo na vifungo walivyofungiwa vilivyotumika kuwafunga hao watu ilikuwa kubwa sana.Mapepo yaliokuwa yakiwatesa walikuwa wakubwa ;makadirio ya urefu wa futi 200 hadi futi 1000 !.Hao walikuwa wakitumia mapanga kukata ndimi zao, na kilio cha uchungu kiliwatoka waliokuwa wakiteswa !.Kibaya zaidi wakijikuta kushindwa kutoka ; kwa sababu hawakutubu dhambi zao katika nyanja ya umwili(physical realm)[Yohana 3:18-20].Baadhi wana vichwa 8 katika mwili mmoja, baadhi wana pembe katika pua ,na baadhi yao alikuwa wakitembea kwa kutumia vichwa vyao !, hao ndio mapepo wanaohusika na dhambi.
Wanaitwa “watawala wa giza la dunia”,Nilihitaji maelezo kutoka kwa Bwana ili aniambie mimi maana yake.Bwana akasema, “HAO WATU NI WADHAMBI NI ENDAPO TU WATAPOTOA MAISHA YAO KUNIPA MIMI LASIVYO HAWAWEZI KUKWEPA SEHEMU HII YA ADHABU.” [Yohana 3:3].Tafadhali tubu sasa na utoe maisha yako kwa YESUKRISTO....kama sivyo upo katika mateso na uchungu mkubwa kiroho !.

KITABU CHA ADHABU
Tazama niliona kitabu kikubwa na pepo kubwa lilikuwa limekaa kwenye enzi iliyo onekana mbaya sana ,alikuwa kamanda wa wote watawala wa giza la dunia.Alifungua kitabu na kusema, “acha wanywe asidi” na wale mapepo walitii sauti yake, wakawapa watu wote waliokuwa wamefungwa chini wanywe asidi.Miili ya watu hao ikaanza kuyeyuka na kupasuka vipande vipande, ndipo ikaja tena katika hali ya kawaida.Watu walikuwa wakilia kwa uchungu, lakini Bwana akasema, “NILIWAUMBA HAWA WATU KWA UTUKUFU WANGU, LAKINI WAMENIKATAA MIMI, HATA HIVYO NITAMUOKOA YEYOTE ATAYENIKUBALI MIMI KAMA BWANA NA MWOKOZI !.” [ Matendo ya mitume 17:30-31].
Nilijawa na hasira kwasababu wale mapepo walikuwa wakiwatenda ubaya sana, wabaya sana.Waliwakejeli wale walioumbwa na MUNGU kwa utukufu Wake.Katika ulimwengu wa kimwili ni watu waliokataa kweli na walijiruhusu wenyewe kudanganywa.[Wagalatia 5:7-8]


DADA AKINTOLA
Niliona dada, jina lake ni Akintola.Pamoja na kuwa sijawahi mjua kabla, Nilimuona akiwa katika machungu makubwa.Alikuwa akilia kwa uchungu kwa kadri mapepo yalivyokuwa yakimtesa kwa kutumia vifaa kutoa meno yake.Hao mapepo walimwambia, “wewe mpumbavu, hukutaka kuukubali Kweli, hivyo nitaendelea kukuumizaa wewe !” Ndipo nikamuona mwanadada huyo duniani.Niliona dada mmoja mkristo alikuwa akimuhubiria injili, lakini Akintola alisema, “Acha mimi nifurahie maisha yangu , siko tayari kuokoka .”[1 Wakorintho 15:50][1 Wakorintho 15:10].


DADA CHRISTIANNAH
Niliona mwanamke mwingine, jina lake ni Christiannah, na sikuwahi kulijua jina hilo hapo kabla.Alikuwa mwasherati, mapepo yalikuwa yakimtesa yeye kwa hasira kali sana na huku yakisema, “Unadhani una hekima?, wewe ni mwimba kwaya! Unaongea hocus-pocus(unena kwa lugha kwa uongo) ili watu waseme umempokea Mfariji(Roho mtakatifu), na huku ni kichaa na mpumbavu !”.
Hao mapepo walikuwa wakitumia moto kumchoma yeye huku bado akiwa hajafa.Walitumia vitu vikubwa kugonga kichwa chakena kichwa chake kilivunjika katika vipande vipande,tuu akawa tena vilevile.Huyu dada alikuwa bado yuko hai duniani anaishi.[1 Wakorintho 6:9]
KIRI DHAMBI ZAKO NA UACHE NAYE YESU ATAKUOKOA.
                                    
                                    DHAMBI ZA SIRINI
Niliona makundi ya watu walikuwa wamefungwa chini.Hawa ni wakaka kwa wadada ndani ya kanisa nao wakijichua(masturbation), usagaji(lesbianism),na ushoga.Walikuwa wapo katika uchungu mkubwa kiroho, mapepo waliwamwagia asidi miili yao na walitumia mikuki kuwatesa.Baadhi ya mapepo walitumia mikia yao kuwapiga.[Luka 8:17].Bwana akaniambia mimi, “WAKO KATIKA BONDE LA UHARIBIFU ! WAAMBIE WATUBU KAMA ILIVYO NITAHUKUMU KILA SIRI YA MTU.”[WARUMI 2:16][WAEBRANIA 4:13].

WADHAMBI WOTE.
Wadhambi wote wapo katika maumivu makali sana kiroho.Tafadhali tubu na uokolewe.Kumbuka kuwa mapepo yanajua Ukweli.Katika ulimwengu wa kimwili wako vyema katika wanajidhanisha na kudanganya....hawataki wewe ujue Ukweli!, Na huku bado unayo nafasi ya kuujua ukweli, tafadhali mpokee YESUKRISTO katika maisha yako,Atakuokoa wewe ....[2 Petro 3:9]

UTAKUWA HURU KWELI KWELI !
Bwana alisema, “TAZAMA WALE, MWANAGU!, SITABADILI NENO LANGU;YEYE ATAYEKUJA KWANGU ATAOKOLEWA.”[Matthew 9:6-8][Yohana 5:24] na tazama, nilionakitu cha ajabu; Niliona watu katika wale waliofungwa chini wakaanzakutoka na kuwa huru !,Mapepo yalikuwa hayawezi kuja karibu yao.Nao hao watu wakatoweka kutoka kwenye hiyo sehemu!,Nikapaza sauti, “Halleluya !o Bwana, tafadhali niambie maana yake!”.Bwana akasema, “YEYE ANAYEKUJA KWANGU NA KUNIPOKEA MIMI KAMA BWANA NA MWOKOZI ATAKUWA HURU KWELI KWELI!”[Yohana 8:16],Mara wakafunguliwa na mwonekano wao ukabadilika na kuwa mzuri usiokuwa wakuelezeka![Zaburi 90:17][2 Wakorintho 5:17].
Kama utampa maisha yako YESUKRISTO sasa, utakuwa huru na utaachiliwa kutoka kwenye vifungo VYOTE na kuwa KIUMBE KIPYA.

NYUMBA YA BOB
Bwana akanichukua mpaka sehemu mbinguni, na nikaona nyumba nyingi kubwa na nzuri sana.Bwana akasema, “HIZI ZINAMILIKIWA NA WALE WANAOVUNA WATU KUWAPELEKA KWENYE UFALME WANGU, WALE WANAOWAONGOZA WATU KWENYE NJIA NYEMBAMBA”.Nilimwambia, “Bwana, Nataka nione nyumba ya BOB” (Ni meneja wa tovoti za kikristo /a Christian website manager).Bwana akasema, “MWANANGU, NJOO UJE UIONE JINSI ILIVYO NZURI MALAIKA WALIVYOIJENGA !” na Tazama, nikaona nyumba kubwa na nzuri , ilikuwaikipambwa kwa maua mazuri yasio elezeka !(Nilikuwa na furaha sana kwa sababu nilitamani kuona kabla sijaonana na YESU mara ya pili.)


NYUMBA YA MCHUNGAJI W.F KUMUYI
Na nilimwambia Bwana, “Bwana hujanionyesha nyumba ya mchungaji w.f Kumuyi.”Bwana akasema “NI MTUMISHI WANGU NA MARA ZOTE ANADAKA MAONYO YANGU !, LAZIMA NIKUONYESHE ILI UJUMBE UMFIKIE YEYE PIA !” Niliona nyumba ya mchungaji W.F Kumuyi; Nyumba yake ilikuwa ndefu lakini bado alaika waliendelea kuijenga.Nyumba ya mchungaji W.F Kumuyi haiko mbali na nyumba ya Mchungaji E.A adeboye.

NYUMBA YA MCHUNGAJI PAULO RIKA.
Hapo ndipo nikamwambia Bwana, “Tafadhali naomba neema ya kuona nyumba ya mchungaji Pauli Rika (Holiness revival movement)” naye Bwana akasema “MWANANGU,ULIZA NA UTAONYESHWA....NJOO UONE”, Bwana akaonyeshankwenye nyumba na akasema, “HII NDIO NYUMBA YA MCHUNGAJI PAULI RIKA !” Niliona nyumba kubwa, ilikuwa nzuri sana na bado malaika walikuwa wakiendelea kujenga; na mmoja wa malaika alipiga kelele “VIZURI KAZI NZURI”, malaika akaanza kupamba ile nyumba kwa maua, na madini na kwa vitu vingine vingi vizuri.


                                                                                  JESHI LA BWANA
Bwana akasema, “MWANANGU, NIMEANDAA JESHI LANGU MWENYEWE, NA NITATUMIA NGUVU ZANGU ZOTE KWALO, NA WATAOKOA WATU WENGI.WATATOA MAPEPO NA KUWEKA HURU WAFUNGWA, WATATANGAZA USHAURI WANGU WOTE!, NITAWATUMIA WATOTO WADOGO VIKUBWA; NITATUMIA VIJANA WENGI KWA UTUKUFU WANGU ! ,KILA MTU ATATANGAZA MIMI NI BWANA WAMABWANA;........NJOO UJIONEE!.
Tazama niliona jeshi kubwa, na wengine wanaonekana kama wa miaka minne(4), walikuwa tayari kwa kazi .Nikasikia sauti kubwa ikisema, “NANI NIMTUME ?” ndipo hilo jeshi lote la Bwana likanyanyuka na panga zao likipiga kelele , “TUTUME SISI, TUTAKWENDA !”(Isaya 6:8-10) ndipo Bwana akaanza kutabasamu, siwezi elezea jinsi tabasamu lake lilivyokuwa vizuri !, Bwana akasema, “WAAMBIE WATU WANGU, NIMEWAPA WAO DAKIKA YA MWISHO YA NEEMA ILI WAWEZE KUTUBU WASIANGAMIE, KIMBILIA SASA CHUMBA CHA NEEMA NA UTAOKOLEWA, NENDA NA UWAAMBIE !” [Ufunuo 3:20-22]
---##-Mwisho-##---
Kama uko tayari kumpa maisha yako YESUKRISTO , tafadhali nenda katika magoti yako na uombe sala hii :
Bwana YESU, najijua mwenyewe kama mdhambi, najijua nilikuwa katika giza, lakini sasa niko tayari kufanya kile unachotaka mimi nifanye.Tafadhali nisamehe mimi na dhambi zote, nioshe katika bwawa la damu yako,niponye mimi,nipe nguvu mimi,nipe uwezo mimi,nipe nguvu yako juu ya mwili na acha ufalme wako unijie katika maisha yangu.
Andika jina langu katika kitabu cha uzima na kuwe na furaha mbinguni juu ya wokovu wa roho yangu, na nitumie mimi kwa ukubwa zaidi kwa kazi yako katika jina la YESUKRISTO nimeomba ,Ameni.
Kwa shuhuda nyingi zaidi tembelea; www.jasirimbarikiwa.blogspot.com,tafadhali SHARE ujumbe huu ili nyoyo za wengi ziokolewe.

SIRI ZA MBINGUNI NA KUZIMU SEHEMU YA TATU(3)

Mwisho wa dunia hii uwadia hivi karibuni.Hivyo uwe mtu wa kukesha a kuomba(1 Petro 5:7).Namshukuru MUNGU kwa ajili ya hii neema juu ya maisha yangu. “Bwana ni nguvu zangu na ngao yangu. Moyo wangu umemtumaini, Nami nimesaidiwa; Basi, moyo wangu unashangilia, Na kwa wimbo wangu nitamshukuru.” ( Zaburi 28:7 ).Bwana aliniahidi kunitembelea tarehe 9 februari ,2013 na akafanya.Yeye ni MUNGU mwaminifu sana.( Zaburi 33:11).

Siku ya tarehe 9 ya mwezi wa February 2013, mishale ya saa Saba(7) mchana, Nilikuwa nimejilaza kitandani na nikasikia sauti ikisema, “Huu ndio muda mwanangu, Jiandae mwenyewe sasa hivi !” Ndipo nikaanza kuomba damu ya YESU inisafishe na kunitakasa na kunifanya niwe safi.Ghafla usingizi mzito ukanijia.Nilipofumbua macho , nikajikuta kwenye chumba ambacho nilikutana na YESU mara ya kwanza.Nikamuona YESUKRISTO anaingia.Akasema, “Mwanangu, nataka nikuonyeshe mambo mengi leo , kwa ajili ya siku za mwisho, Kwa kuwa hii ni mara yam wish kukutembelea wewe.Unatakiwa uwaambie kile ulichokiona kwa sababu haukuwa unawaambia watu wengi kuhusu yale niliyokuwa nakuonyesha wewe kipindi cha nyuma”.Bwana akaanza kulia kwa sababu ya haya.Nilikuwa na huzuni alipokuwa akilia kwa ajili ya uzembe wangu.Tulipotoka katika kile chumba , Bwana akaniambia mimi, “Mwanangu, njoo. Ngoja nikuonyeshe Hukumu Kuu.”Ndipo tukafika mbele ya enzi kubwa.

WAUAJI
Tulipofika mbele ya enzi kubwa nikamuona mwanamke pale akisema, “Nisamehe sana.” Bwana akaniambia mimi, “Muangalie yule mwanamke anaeye lia.Anajua hawezi kuingia mbinguni na ndio maana analia.”Nikamuuliza Bwana niambie mimi sababu ,kwa nini anahayo mawazo.Bwana akanijibu, “Mwanangu, muangalie.”Tazama nikaona historia ya maisha yake.Alikuwa mKristo alipokuwa duniani.Alikuwa akitafuta mtu wa kumuoa na Bwana akamwambia kuwa mvumilivu, lakini tamaa yake ya kuolewa ilikuwa kubwa mno.Haku subiri muda wa Bwana.Badala yake akamuua rafiki yake kwa sumu, rafiki yake akafariki(Mathayo 5:21).Ndipo akafanya mpango akaolewa na huyo mume wa rafiki yake.Baadae mume wake akagundua kuwa ndiye aliye husika kumuua mke wakeyaani mke wake wa kwanza.Mwanaume huyo naye akamuua yule mwanamke pia kwa sumu na ndiyo maana mwanamke yule alikuwa akilia sana mbele ya enzi ya hukumu( Luka 11:47).
Bwana akasema, “Nalimuonya asifanye hayo lakini hakunisikiliza mimi na sasa yuko analilia kusaidiwa na ili apate nafasi ya pili.Hio haiwezekani, ufalme wangu ni sehemu takatifu.Sio sehemu ya wauaji.Nilikuonya utubu lakini hukunisikiliza mimi.Umechelewa kwa wewe!”(Isaya 59:1-3).Bwana akamwambia, “Ondoka kwangu !” na nikaona kimbunga kikubwa kikambeba mpaka kuzimu !.(Mathayo 25:41,46).Usiue au usinyonge kwa sababu afanyaye hayo ni hatari kwa hukumu.Tubu sasa na uokolewe.Tukaondoka hiyo sehemu.
Tafadhali elewa hii:KRISTO anakuja tuu kwa ambao ni WAAMINIFU,WAKESHAO,WAANGALIFU.Sio tuu yatosha kuwa unasifa za kuingia mbinguni bali unatakiwa uendelee kila muda kuwa safi , tayari kwa ujio wake.Fanya maisha yako yaone kila siku tazamia maisha yako ya milele.Haitoshi kuonya na kuwaangalia wengine.
Unatakiwa pia ujiangalie na wewe mwenyewe na kuendelea mbele na wokovu wako kwa ajili ya roho yako.Popote unapofikiri ujio wake KRISTO na ukajawa na hofu au mashaka, hiyo inaonyesha kuna kitu hakiko sawa katika maisha yako na unatakiwa kumruhusu Roho mtakatifu kufanya kazi yake ndani yako.(Wafilipi 2:12-13).
Ni bora uende nae kwenye unyakuo kuliko kuachwa.Kama ukiachwa, mpinga KRISTO atakukejeli na kudharau Imani yako, utakuwa kwenye adhabu kubwa kwa ajili uliijua kweli na ukaiacha.Vipi kama ukifa kabla ya unyakuo? Unatakiwa uwe tayari kwa kurudi kwa Bwana.Kama ukifa na ukawa hata unadoa moja kwenye vazi lako utatupwa.[Note:Hii sentensi itasababisha kutoeleweka sana kwenye kanisa, 1 Yohana 5:17 Kila lisilo la haki ni dhambi, na dhambi iko isiyo ya mauti.]. Kama unaendelea kumtenda dhambi MUNGU na wafikiri bado una muda wakutubu unajidanganya mwenyewe.Ni bora utubu dhambi zako SASA kwa sababu kesho inaweza ikawa umechelewa kwa wewe. “USIUE ! ”
Bwana akanichukua mimi mpaka Kuzimu.Tukapita kwenye handaki lile lile ambalo tulipita mara ya kwanza na tukafika kuzimu.Kuzimu imejiongeza yenyewe kwa sababu shetani anafanya kazi kwa bidii. (Isaya 5:14)
MIAKA 250 AKIWA KUZIMU.
Nalimuona mtu akilia na kupiga kelele ndani ya Kuzimu ya moto akisema,”Uko hapa kuniokoa mimi?,Nipo hapakwa miaka 250.Nimekusubiri kuona kama nitampata mokozi, lakini nilishakata tamaa.Lakini sasa nimekuona wewe, nina mashaka kama uko hapa kuniokoa mimi.” Bwana akamwambia, “Nilituma watumishi wangu wengi kwako kukwambia utubu lakini hukunisikiliza mimi.Walikueleza ukweli kuhusu kuzimu ya moto lakini uliwaambia sio kweli; ni utani na ukadhani maisha yako ni mazuri tuu.Ulitumia muda wako tuu kwenye kunywa pombe, kwenda hoteli moja baada ya ingine, kufanya uzinzi (1 Wakorintho 6:9-11, Yakobo 4:4).Ulikuwa ukiumwa sana kiasi kutaka kufa , lakini sikuruhusu ufe ili uweze kutubu na kuokolewa lakini haukutaka kusikia jina langu likitajwa.Sasa ndio unakumbuka kumtafuta mokozi.Siwezi kukuokoa tena.Umechelewa” (Mithali 1:24-33)
Bwana YESU alikuwa akilia alipokuwa akiongea na huyo mtu kwa sababu hafurahii kifo cha mwenye dhambi.(Ezekieli 18:30-32).Hapa ulipo duniani unayo nafasi ya kutubu, lakini baada ya kufa, hakuna tena nafasi ya kutubu.YESUKRISTO ndiye pekee mwokozi wa wote wanao ishi lakini sio waliokufa.
Pumzi yako ni nafasi yako.(Muhubiri 12:1-8) tukatoka hiyo sehemu.
BINTI YA MTOTO WA MIAKA 15
Bwana akanichukua mpaka sehemu ingine ya kuzimu.Nikamuona mtoto akilia sana.Kulikuwa na funza na wadudu wengine wengi sana mwilini mwake.Anapomtoa mmoja ,funza wengine wengi wanakuja katika sehemu hiyo aliyomtoa.Alipotuona ,alikuwa akilia ili kupata msaada.Nikamuuliza sababu ya yeye kuwepo hapo.Akaniambia historia ya maisha yake,akasema “Nilipokuwa duniani, nilipenda kwenda kumbi za starehe kucheza(clubs to dance), [1 Timotheo 5:6].Wazazi wangu hawajawahi kunionya kwa sababu nilikuwa ndiye mtoto pekee walionizaa.Nilipenda kutembea na wavulana kufanya ngono nao.( 1 Wathesalonike 4:3-8)(Waefeso 5:3-6), nilisikia kuhusu kuzimu lakini sikutaka kuwasikiliza.Marafiki zangu wengi waliniambia nitubu nami nikawa nawachukia.Nilikuja kupata ujauzito na mama yangu akanikumbusha juu ya ndoto zangu za kuja kuwa mwanasheria.Kwa sababu ya hiyo niliamua kutoa ujauzito na kwenye hali ya kutoa nikafariki nami.Ndipo nimeishia hapa kuzimu na nipo hapa kwa miaka kumi sasanikiteswa na kuungua moto.Nikiondoa funza mmoja basi wengi zaidi huja.Tafadhali nisaidie.Sasa nipo tayari kutubu.” Nilipatwa na huzuni kubwa sana kusikia hayo.Bwana akamwambia , “Huwezi kutubu tena.Umechelewa.” Bwana alikuwa akilia kwa uchungu sana kwa ajili ya huyo mtoto lakini hakuweza kumuokoa.Yule mtoto alilia kwa kupiga makelele sana akisema, “Hapana ! hapana ! hapana! Hapana ! Nimoto sana nataka nife !”Lakini hakuweza kupata kufa.(Ufunuo 9:6) Nikamuomba Bwana anitoe huko kwa sababu sikuweza kuvumilia kuangalia mateso wanayopata.
Wazazi nisikilizeni,Mfundishe mtoto wako katika njia ya Bwana.Wafundishe Neno la MUNGU.Wasahihishe pale walipofanya makosa tofauti na maagizo ya Bwana.(Waefeso 6:1-4) (1 Yohana 2:1-6). Mlee mtoto katika njia impasayo, Naye hataiacha, hata atakapokuwa mzee. (Mithali 22:6).Tukatoka hiyo sehemu na kwenda sehemu ingine.
MTOTO WA KIKE WA MIAKA 14
Tunatakiwa tuwe makini na kujiondoa wenyewe kutoka kwenye dunia ya dhambi kwa sababu uvumbuzi mwingi unatuharibu sisi mbele za Bwana(Mhubiri 7:29).Bwana akanionyesha msichana akiwa Kuzimu, Mateso aliyokuwa akiyapata yalikuwa mazito na ya kutisha na likuwa akipiga makelele, “Inatosha ! inatosha! Inatosha ! Tafadhali nitoe !” Alikuwa akitumia mkono wake wa kushoto kuziba sikio lake kipindi akijichua(masturbating) na kitu cha moto sana kwa mkono wake wa kuume.{alikuwa akilazimishwa na mapepo kujiingiza hicho chuma cha moto ukeni na kukitoa mara zote }.Alikuwa akilia kwa uchungu lakini hakuacha kufanya vitendo hivyo.
Nikamuuliza yeye kwanini anafanya hivyo huko motoni nilipata historia ya maisha yake, “Nilikuwa na miaka 14 nilipofariki.Nilipokuwa duniani, nilipenda kusikiliza miziki ya kidunia.Na muda wowote nilipozisikia nilikuwa napatwa hisia za mapenzi ambazo zilinipelekea kujichua(masturbate).Niliwahi sikia kuhusu sehemu hii ya mateso, lakini siku amini kama iko kweli.Watumishi wengi wa MUNGU walinionya kuhusu miziki ya kidunia lakini niliwaita wapumbavu.Walinionya kwenye mahubiri yao kuwa kujichua/punyeto (masturbation) ni dhambi , lakini niliwaambia MUNGU ni mwenye rehema.Sasa nimeamini sio wajinga.Sababu ya kujishika sikio ni kwa sababu bado nazisikia nyimbo za kidunia na zinaniumiza sana.Nilikuwa najichua kutumia kitu nilipokuwa duniani ndiyo sababu ya kunitesa mimi motoni kwa jinsi hii.Tafadhali nisaidie mimi, siwezi kuacha na inaniumiza sana !”
Bwana akamwambia , “Siwezi kukusaidia wewe tena.Umefanya neema yangu kuwa si kitu ulipokuwa duniani, lakini mahali hapa,hakuna tena neema zaidi.Umechelewa kwa wewe kutubu !” Alikuwa akipiga kelele na kulia lakini Bwana alimwambia, “Siwezi kubadili maneno yangu.Yameandikwa tayari.Neno langu litasimama milele(Mathayo 24:35)(Mathayo 13:31) Wazazi,tafadhali mjali na uwatunze watoto wako(2 Wakorintho 12:14)(Waefeso 6:1).Kumbuka hasira ya MUNGU inakuja kwa watoto wasio watii.(Wakolosai 3:6)Tukatoka hapo na kwenda sehemu ingine.
MTU WA MIAKA 25
Bwana akanichukua mpaka sehemu ingine kuzimu ambapo niliona mtu akilia kwa sauti, “Nitasikia !, nitasikia ! tafadhali niko tayari kusikia !”Nikamuuliza kwa nini ndipo akasema, “Nilipokuwa duniani, nilipenda kufanya mapenzi na wasichana hasa wanaojiuza/makahaba.Rafiki yangu aliniambia nitubu na niokolewe lakini nikamjibu sitaki kusikia ujinga huo wa mahubiri-Niko tayari kwenda motoni,we niache kivyangu.Lakini sasa nipo tayari kusikia na kutubu.Tafadhali ! tafadhali nisaidie mimi ! ”
Bwana akamwambia, “Nilikupa neema ya kutosha mpaka ulipokufa umri wa miaka 25, lakini hukusikiliza maonyo yangu.Sasa unaomba kusikia.Umechelewa !,Hakuna mtu awezaye kukwambia kuhusu MIMI hapa kwa sababu kila mtu aliyepo hapa anatafuta njia ya kutoka humu.Kila roho ifikayo hapa haiwezi tena kutoka.Umechelewa(1 Wathesalonike 4:3).Mwili wako sio kwa ajili ya uasherati(1 Wakorintho 6:13).”
Mtu huyo akalia.Akimuomba Bwana amtoe hiyo sehemu ,sikuwa na muangalia tena na tukatoka hiyo sehemu ya kuzimu.
UFALME WA MUNGU
Bwana akanichukua na kunipeleka Mbinguni.Bwana YESUKRISTO asifiwe ! Baraka kwa Bwana Mungu wa Israel kutoka milele na milele ! Ameni na Ameni(Zaburi 41:13).Mbinguni ni pazuri sana.Ardhi yake ni kama kioo.Nilikuwa nafuraha na nilidhani kuwa nitabaki hapo na kuishi milele.Nikasikia sauti nzuri za malaika zikimsifu MUNGU(Zaburi 103:1-3).Bwana akasema, “Waambie watu wangu kuwa ufalme wangu upo kweli.Wamebarikiwa watakao urithi.”Kulikuwa na maua mengi mazuri(Zaburi 119:129-135).

MTI WA UZIMA
Bwana akanichukua mimi mpaka sehemu ambayo niliona Mti wa Uzima kwa mbali.Ulikuwa mzuri,unang`aa kama dhahabu(Ufunuo 22:2).Bwana akasema, “Nimeulinda Mti wa Uzima kwa ajili ya watu wangu.Waambie wamebarikiwa wale wazifanyazo na kutii amri zangu, hao ndio wenye haki kwenye Mti wa Uzima.”(Ufunuo 22:14) tukaendelea mbele.
WATOTO WALIOTOLEWA MIMBA DUNIANI
Bwana akanipeleka sehemu ingine mbinguni kulikuwa na ukumbi mkubwa na nikawaona watoto wengi wadogo waliojawa na utukufu wa MUNGU.Walikuwa wakimsifu MUNGU(Zaburi 86:11-13).Bwana akasema, “Hawa ni watoto ambao wanawake wanawatoa uja uzito wao(arboted) duniani.Wanamilikiwa nami na watakuwa katika ufalme wangu tukufu.”(Zaburi 89:1-2) Ndipo tukatoka hiyo sehemu.
MALAIKA GABRIEL AKATUTEMBELEA
Kipindi Bwana anaongea nami, tazama nikamuona malaika.Alikuwa mrefu na mzuri, amevaa taji katika kichwani.Bwana akaniambia, “Ni malaika Gabrieli.”Nilikuwa na furaha kukutana nae na Bwana akaniongoza kunichukua mimi kwenda sehemu mbali mbali Mbinguni ili niwezekuwaambia wengine nilichokiona.
MFALME DAUDI
Malaika Gabrieli akanichukua mpaka kwenye jumba kubwa sana.Akasema, “Ni nyumba ya mfalme Daudi”Nikasema nataka kumuona mfalme Daudi uso kwa uso.Tukaenda ndani ya chumba chake na nikamuona mfalme Daudi akimsifu MUNGU kwa zaburri na kucheza(Zaburi 34:1-6).Nikamsalimu na akaniita jina langu, “Senayon, Karibu”.Nilishangazwa kwa kuwa alikuwa analijua jina langu.Akasema, “Senayon, haumsifu MUNGU.Hutaki kucheza kwa MUNGU.Unapomsifu MUNGU nakucheza kwa Ajili yake, neema Yake inakuwa karibu na wewe.”Nikamuuliza . “Umejuaje hayo?, je uliniona nilipokuwa duniani? Au unayajua tuu maisha yangu ya duniani ?”
Akawa anacheka na akasema, “Sijisemei kwa uwezo wangu”..Baadae nikagundua ni MUNGU anaongea na mimi kupitia yeye.Akanipa mimi kitabu kidogo akaniambia, “Kula !Kula hicho !.”Nilipokila hicho kitabu nikawa na kiu sana.Nikamwambia , “Nina kiu.Nina kiu.”Wakanipa mimi damu ya YESUKRISTO kuinywa.Nilipokunywa nilikuwa natetema kama vile nimepatwa na baridi kali kwa muda wa zaidi ya dakika tano.
Nilipokuwa natetema;Malaika Gabrieli na Mfalme Daudi walikuwa wamepiga magoti wakisema, “UTUKUFU KWA MUNGU!”(Zaburi 29:1-11).Nilipoacha kutetema baada ya muda ndipo mfalme Daudi akaniambia, “Sasa utamsifu MUNGU na kucheza kwake.Waambie watu wamsifu MUNGU na neema Yake itakuwa karibu nao.”
Malaika Gabrieli akasema, “Senayon,unavitu vingi vya kuona, Tuondoke.”Nikamwambia, “Hapana,sitaki kuondoka kumuacha Mfalme Daudi, tafadhali .”
Bali hakunisikia na tukaondoka pale kwa mfalme Daudi.
NYUMBA YA NABII ELIYA
Malaika Gabrieli alinichukua mimi mpaka kwenye nyumba ingine kubwa na nzuri sana.Aliniambia ni ya nabii Eliya.Nilikuwa nafuraha iliyopitiliza.Nikamwambia, “Nataka nimuone!”Malaika Gabrieli akanichukua mimi mpaka kwenye nyumba ambapo alitoka mvulana kijana mzuri sana na kuniambia “Senayon karibu !” Nilikuwa nafuraha sana kumuona yeye.Nikamwambia, “Ulikuwa shujaa sana duniani.Nimesoma kuhusu wewe kwenye Bibilia.”Naye akanijibu, “Kuna moto unawaka ndani ya moyo wako.Utakuwa shujaa kuliko mimi.”(2 Wakorintho10:4-5).Aliniambia mengi kuhusu mimi.Malaika Gabrieli akaniambia, “Senayon, tunatakiwa tutoke sasa hapa kwa sababu unavitu vingi vya kuona.”Tukatoka na kwenda kwenye nyumba ingine.
NYUMBA YA MTUME PAULO
Malaika Gabrieli akanichukua mpaka sehemu ingine ambako kulikuwa na nyumba kubwa sana ,Nayo imetengenezwa kwa dhahabu, na imepambwa na mawe mazuri sana.Akaniambia, “Hii ni nyumba ya mtume Paulo.”Nikasema nataka nimwone yeye.Yeye amekuwa mfano wa kuigwa wakristo wengi.Malaika Gabrieli alinichukua mpaka kwenye hiyo nyumba, tazama nikamuona kijana mdogo amepumzika kwenye chumba kizuri. Senayon,” akesema , “Karibu sana.Ninayo furaha kukuona wewe.”Nilishangaa kuona anajua jina langu.Wanajua yote kwa sababu ya utukufu wa MUNGU uko pamoja nao.Na haikuwa muhimu mimi kuwa ambia jina langu kwa sababu wao walini jua jina langu kwa nguvu ya MUNGU.
Akaanza kuniambia historia yake kwenye kitabu cha Matendo(Matendo 8:1-4)(Matendo 9:1-31).Alipomaliza, aliniambia, “Nimtumia neema ambayo YESU amenipa mimi na sikuifanyia mchezo.”Akanipa kitabu kidogo na kuniambia, “Kula !, Kula hicho !.”Nilipokula sikuwa na kiu na kiukweli kilikuwa kitamu.Mtume Paulo akaniambia, “Sasa utahubiri injili na kufundisha shuhuda za YESUKRISTO.Utafundisha baadhi ya nyaraka(epistles) zangu ambazo bado sikuziandika.”(Warumi 8:35-39)Wote kwa pamoja Malaika Gabrieli na Mtume Paulo tulikuwa tukimsifu MUNGU.(Warumi 4:20-25)(2 Wakorintho 5:13-18).Ndipo tukamuacha .Nilikuwa na furaha.Mbingu imejawa na uzuri na utukufu wa MUNGU.(Ufunuo 21:18).
NYUMBA YA BABA ABRAHAMU
Ndipo Malaika Gabrieli akanichukua kwenda sehemu ingine Mbinguni ambako kulikuwa kuna nyumba nzuri iliyopambwa kwa maua na mawe mazuri.Akasema ni nyumba ya baba Abrahamu.Nikamuomba anipeleke nimuone baba Abrahamu.Nikafika pale na kumuona Baba Abrahamu, nikamwambia, “Baba wa imani, Baba wa imani.”Akaanza kunipa mimi ushauri kuhusu vitu vingi katika maisha yangu.Aliniambia, “Unatakiwa uwe na imani katika lolote unalomuomba BABA na kuwa mvumilivu katika hali yeyote ile”(Yeremia 33:3) (Mathayo 17:20) Imani ni hakika.(Mathayo 21:21-22)(Waebrania 11:1).Tukatoka hapo.
MALAIKA SABA(7) WAKIWA NA TARUMBETA NA WATANO(5) WAKICHEZA.
Malaika Gabrieli alinichukua mpaka sehemu ingine ambako niliwaona malaika watano(5) wakicheza kwa furaha.Pia nikaona malaika saba(7) wakiwa na matarumbeta.Nikamuuliza Malaika Gabrieli aniambie kuhusu kazi ya hao malaika.Akaniambia kama mtu akimpa maisha yake YESUKRISTO duniani , ndipo wao hao malaika saba(7) hupuliza tarumbeta kama ishara kwa roho moja inapotubu.Malaika watano(5) wanakuwa wakicheza na mbingu nzima hushangilia.Pia kama roho ikiingia mbinguni wao pia husherehekea kwa hiyo roho.(Luka 15:7).Kuna furaha kubwa mbinguni juu ya mtu mmoja mwenye dhambi akitubu.(Luka 15:10).
WASHINDI
Malaika Gabrieli alinichukua mpaka kwenye kumbi kubwa.Akanipa mimi upanga ili niunyanyue juu.Nilipounyanyua nikajikuta mwenyewe kwenye uwanja wa vita.Nikaona watu wasio hesabika wamefungwa chini.Kulikuwa na mapepo wengi waliowafunga hao watu.Baadhi yao bado wana silaha za vita.Zimeandikwa migongoni mwao , “WASHINDI”.Walikuwa wakiwapiga mapepo ili kuwaweka huru wale waliofungwa.Ambao wamewekwa huru huyo mtu hukimbia mpaka kwenye chumba kiitwacho “SEHEMU YA SIRI YA MUNGU ALIYE JUU” Nikamuuliza Malaika Gabrieli kunitafsiria akasema, “Washindi ni wakristo hai wa kweli(1 Yohana 5:4-5) nawale waliofungwa chini ni wadhambi.Wale mapepo wanawasimamia ili waendelee kukaa kifongoni ili waende kuzimu ya moto.(1 Petro 5:8-9)Kupambana na mapepo wale waliowafunga inamaana ‘kuhubiri kwa wadhambi na kuwaombea’.Chumba wanachokimbilia ni salama ambacho ni YESUKRISTO.(Mathayo 11:28-30) na hiyo ndiyo sababu kinaitwa ‘SEHEMU YA SIRI YA MUNGU ALIYE JUU’(Zaburi 91:1)”.Unatakiwa uombe sana ili MUNGU akufungue wewe kutoka kwenye pepo ambaye yupo kwenye hiyo kazi ya kupeleka watu kuzimu ya moto.
UTAKASO
Malaika Gabrieli akanichukua mpaka sehemu nzuri sana mbinguni, iliyopambwa kwa dhahabu safi.Nayo ardhi ilikuwa nyeupe na safi kama glasi.Kulikuwa na maua mengi mazuri na mawe mazuri mengi.Niliona dhahabu zilizo pachikwa.Nikamwambia Malaika Gabrieli kwamba ntaka niguse dhahabu zilizopachikwa juu.Akanibeba juu kwenye mabega yake ili niweze kugusa.Nikamwambia malaika Gabrieli sitaki kuondoka hiyo.Nilikuwa nikilia kwafuraha kwasababu sehemu ile ilikuwa nzuri sana.(Ufunuo 21:18-19).
Malaika Gabrieli alisema, “Hapana.Unavitu vingi vya kuona hapa na ni muhimu sana uvione”.Nilizidi kumwomba nikimwambia,”tafadhali sitaki kuishi maisha yale ya dunia.tafadhali fanya jambo kuhuso hicho.”Malaika Gabrieli alisema, “Senayoni njoo twende zetu”.Tukatoka tukaenda kwenye bwawa la damu ya YESUKRISTO.Malaika Gabrieli akaniuliza, “Sanayon, unakumbuka hii sehemu ?”Nikamjibu, “Ndio.Niliona hili bwawa la damu kipindi cha kwanza na YESUKRISTO.”Malaika Gabrieli akasema, “Sawa uko sahihi.”Tulikuwa tukisimama pale kwa zaidi ya dakika tano lakini hakutoa neno hata moja kwangu.Mara, Nikaona mwanga wa Blue mzuri.Huo mwanga ukanichukua mpaka kwenye hilo bwawa la damu ambapo kulikuwa na mkono usio onekana ukaanza kuniosha ndani ya ziwa la damu.Iliniumiza mimi na nilikuwa nikilia.Nikamuomba Malaika Gabrieli kunitoa lakini alikuwa amepiga magoti akisema, “UTUKUFU UWE KWA MUNGU KUTOKA MILELE HADI MILELE, MFALME WA WAFALME NA UZURI WAKE MUNGU !”(Zaburi 95:1-6).

Tazama ! Nikaona mwili wangu duniani uko kitandani.Kitu fulani cheusi kilikuwa kikitoka nje ya mwili wangu.Nilishangaa kuona hicho kitu kuwa kilikuwa ndani yangu mimi(Zaburi 51:12-15).Kipindi ambapomkono usioonekana ulipomaliza kuniosha mimi, mwanga halisi ukanitoa nje ya bwawa la damu(Zaburi 51:8-11).Tazama 1nikasikia sauti kubwa ikisema, “Sasa utakumbuka kile ulichokiona na utaishi vile nitakavyo, wewe sio tena mtu wa kawaida kwa sababu nimekutakasa wewe.”Hiyo sauti ikaanza kuongea kuhusu kaka ambaye alinifundisha mimi kwenye njia za Bwana, Jina lake ni IJAWJAW EAMON MARK.Bwana akaniambia mengi kuhusu yeye kwamba atalitimiza agano lake naye na amempa vazi la ukamilifu.Sauti ikaniambia kuhusu watu wengi.Nikamuuliza Malaika Gabrieli, “Tafadhali, Nataka nione nani ninayemsikia sauti yake.”Malaika Gabrieli akajibu, “Sina nguvu ya kukupeleka pale , lakini nifuate mimi.”Tukatoka hiyo sehemu.
ENZI YA BABA MUNGU
Malaika Gabrieli akanichukua mimi mpaka kwa YESUKRISTO.Akamuelezea YESUKRISTO kuwa nataka kumuona BABA na mwisho nikagundua kuwa ni BABA aliyekuwa aliyenichukua mimi kwenye bwawa la damu.YESU akatabasamu na kunishika mikono yangu akisema, “Wataka kumuona BABA ?”.Nikamjibu, “Ndio.”
Katika kwenda kumuona BABA ,tulipita katika ukumbi ambapo kulikuwa na malaika wengi.Mara wakapiga magoti na kusema, “UTUKUFU UWE KWA MUNGU !”(Zaburi 84:11).
Tulipotoka kwenye huo ukumbi ,na tazama nikaona mwanga mkali kwenye enzi.Ulikuwa mwanga kama moto unaowaka.Ingawa tulikuwa mbali sana kiasi cha maili nyingi lakini nilihisi nataka kuanguka.Sikuwa na nguvu ya kutembea kuelekea kwene enzi tena.Nikamuomba Bwana nikisema, “Tafadhali nirudishe.” Bwana YESUKRISTO akaniambia, “Huyo ni BABA,Hutaki kumuona TENA?”Nikamwambia , “Ndio,tafadhali, tafadhali, Nataka kufa.Siwezi kupumua zaidi.”YESU akatabasamu na kunirudisha kwa malaika Gabrieli.
VITABU MBELE YA MALAIKA.
Malaika Gabrieli akanichukua mimi mpaka kwenye chumba kibwaa ambako kuna makundi ya malaika.baadhi walikuwa wakiandika majina na wengine wakifuta majina kutoka kwenye vitabu.Nilipewa nafasi ya kutembelea malaika wa nne(4) kati ya wengi.Nikamuliza malaika Gabrielii anielezee kila kitu akatabasamu.Malaika wa kwanza ni malaika anayehusika na kitabu cha uzima.Malaika Gabrieli alisema, “Hiki kitabuni kitabu ambacho kina majina ya wale walio okoka wapya na wale wakristo wakweli na walio okolewa.”(Ufunuo 3:5).
Nikauliza sababu ya malaikaa kufuta baadhi ya majina na kuandika majina mengine.Naye akanijibu, “Wale walioacha wokovu waliorudi nyuma.”(Ufunuo 2:4-5).Nikamuuliza tena, “Unamaanisha majina yao yanfutwa milele kutoka kwenye Kitabu cha Uzima ?.”Akatabasamu na kusema, “HAPANA.Hiki ni kitabu kitakatifu na hakiwezi kuwa na majina ya wenye dhambi.”Nikamwambia, “Niambie hayo majina yanayofutwa yanawekwa wapi ?”.Akanichukua mpaka kwa malaika mwingine ambaye naye alikuwa akiandika na kufuta baadhi ya majina.Malaika Gabrieli akasema, “Hiki ndio kitabu cha waliorudi nyuma katika wokovu na kina majina ya wote walio iacha njia ya Bwana.Sababu ya malaika kufuta baadhi ya majina ni kwa sababu ya wale waliokuwa wamerudi nyuma na kuiacha njia ya Bwana wamemrudia MUNGU,Majina yao huandikwa tena katika kitabu cha Uzima.(Ufunuo 20:15)”Majina aliyokuwa akiyafuta ni majina ya waliorudi nyuma katika wokovu (Yeremia 3:22).Akanichukua na kunipeleka kwa malaika mwingine aliye kuwa akifanya kazi kwa bidii sana.Hata hivyo alikuwa akiandika tuu majina, nasio kuyafuta.Malaika Gabrieli akasema, “Hiki ni kitabu chenye majina ya wote ambao huishia Kuzimu ya moto kila siku.Kitaitwa kitabu cha hukumu(The condemnation Book).’”Malaika Gabrieli aliniambia, “Majina yanaandikwa ni yale ya ambao walikufa bila kuwa na YESUKRISTO maishani mwao.”(Ufunuo 20:12).Tukatoka hapo na kwenda sehemu ingine.
Malaika Gabrieli akanichukua mpaka kwa malaika mwingine ambaye alikuwa anaandika tuu majina bali hayafuti.Malaika Gabrieli akasema, “Hiki ni kitabu chenye majina ya wale wanaotoa zaka zao.”(Malaki 3:8-12).Malaika alikuwa akiandika majina na kupiga kelele akisema, “Amelipa ! amelipa !” Na mara nikamuona malaika akaja pale.Akafungua chumba kizuri na katika kile chumba kulikuwa kuna vitu vingi vizuri vya dhahabu kwenye maboksi.Malaika akaingia katika hicho chumba na kuchukua moja ya vitu vya vyahabu nzuri kuenda zake.Nikamuuliza Malaika Gabrieli aniambie nini kilichokuwa ndani ya boksi ambacho malaika amekichukua na kuenda nacho.Malaika Gabrieli akanijibu, “Ndio.Ni baraka kubwa kutoka kwa Bwana kwa yule aliyetoa fungu la kumi(zaka) kwa uaminifu.”(Obadia 1:15).Tukatoka hiyo ssehemu.
DAKIKA TANO (5) ZAIDI.
Malaika Gabrieli alinichukua mimi mpaka kwenye ukumbi ambao kulikuwa na malaika wengi wakisema, “Bwana ni muda.Acha watu wetu waje.”Nikamuona Bwana YESUKRISTO akilia kama mtoto akisema, “Acha tuwape DAKIKA TANO ZAIDI !” Baada ya hapo Malaika Gabrieli alinionyesha mimi maandalizi yote kwa ajili ya unyakuo yako tayari.Kila kitu kii tayari Mbinguni na YESUKRISTO anasubiri kuambiwa NENDA kutoka kwa BABA MUNGU(2 Wathesalonike 5:2-6).Tena Malaika Gabrieli alinipeleka kwenye ukumbi mwingine ambako kulikuwa na mavazi mazuri mengi sana.Yalikuwa yamepambwa na uzuri,kushangaza na utukufu kwa dhahabu safi.Nilimuuliza malaika Gabrieli, “Ni watu gani wataomiliki hayo mavazi mazuri !?” Naye akanijibu, “Haya ni mavazi ya Wakristo watayavaa kwa ajili ya ndoa ya mwanakondoo.”(Ufunuo 19:7-9)
Nilimuuliza Malaika Gabrieli anionyeshe mimi vazi langu.Naye alilionyesha moja ya vazi na kusema , “Hili vazi ni lako.” Nilikuwa na furaha ya ajabu na ndani yangu nikijisemea, “Sitaenda kuzimu ya moto.” na tazama nikasikia sauti kubwa ikisema, “TAZAMA NAKUJA HARAKA; SHIKA SANA ULICHO NACHO USITAKE MTU YEYOTE AKUNYANG’ANYE TAJI YAKO !”(Ufunuo 3:11).Niliogopa sana niliposikia hiyo sauti kwa sababu inamaanisha “Kwa hiyo anayejidhania kuwa amesimama na aangalie asianguke.”(1 Wakorintho 10:12) (1 Wakorintho 9:24-27).Tukatoka sehemu hiyo na kwenda sehemu ingine.

UTEMBELEO WA MALAIKA URIELI
Malaika Gabrieli alinichukua mpaka kwenye nyumba nzuri sana .Tulipofika pale tuka kaa kwenye kiti.Mara ghafla nikasikia kiashiria kikubwa Mbinguni na malaika akapiga magoti na kuanza kusema, “Utukufu uwe kwa MUNGU,Yeye anastahili kupokea utukufu wote.AMENI !” Malaika Gabrieli akaniambia mimi niangalie.Tazama !nkaona malaika akikimbia na kupiga kelele akisema, “Ushindi ! Ushindi ! Ushindi !” Malaika akakimbia kwa YESU nakusema, “AMEINGIA ! AMEINGIA ! ”Nikamuona mtu akija kwenye Ufalme wa Mungu.Malaika akamkimbilia kumchukua kumuingiza ndani kwa sababu alikuwa tayari amechoka.Afadhali ameweza kuingia mbinguni ! Malaika Gabrieli akasema, “Malaika anayepiga kelele ‘USHINDI ! USHINDI !’ alikuwa ni malaika mlinzi wa yule mtu aliyeingia Mbinguni.”Mbingu yote ilijawa na furaha kwa sababu ya mtu aliyefanikiwa kuingia.Malaika Gabrieli akatoka nje ya chumba na kuniambia, “Senayon, unakaribishwa !”na alinikabidhi kwa Malaika Urieli ili kunionyesha baadhi ya vitu Mbinguni.
Malaika Urieli akanichukua mpaka sehemu ingine na kuniambia, “ANGALIA! .ANGALIA !.”Nikaona Ufalme wa Shetani.Shetani alikuwa akiwapa mapepo amri ili kuvamia Wakristo kwa sababu ya yule mtu aliyefanikiwa kuingia mbinguni.Shetani alisema, “Msiruhusu yeyote yule kukwepa mitego yetu na uvumbuzi wetu.Lazima tuzipate roho zao !.”Nikaona mapepo , yakikimbia na kasi kubwa kwa sababu roho moja imefanikiwa kuingia mbinguni.
Malaika Urieli alinichukua mimi kwenda sehemu na kusema, “Angalia duniani.”NIkaona dunia imeonekana ndogo sana na chafu sana kama sehemu ya kuweka uchafu.Mara ghafla ! nikaona mishale mingi ikaanza kuanguka duniani.Nikamuona Mtu Mzee aliyepokea mishale michache.Baadhi ya mishale hiyo iliangukia watu wengine waliopo duniani.Nikaona moto ukija duniani lakini yule Mtu Mzee akausimamisha ule moto na kuurudisha ulipotoka.Nikamuuliza Malaika Urieli, “Tafadhali nitafsirie hiki kwa sababu ni maajabu sana kwangu.”Malaika Urieli akasema, “Mtu Mzee uliyemuona ni YESUKRISTO, na mishale michache iliyompata katika mwili wake ilikuwa ni mishale ambayo shetani anatuma kinyume na watoto wa MUNGU.(Zaburi 91:1-7).Mishale mingine iliyo anguka kwenye dunia ilikuwa ni mishale kutoka kwa shetani kwa watenda dhambi.(Zaburi 92:7) Moto uliouona ni mipango ya shetani ya kuharibu dunia lakini Kristo hakuruhusu hicho kitokee.”(Isaya 60:1-2)

MALAIKA AKIWA NA TAARIFA MBAYA ZA MTU
Malaika Urieli akanichukua mpaka sehemu ambayo niliona malaika wengi wakitoa taarifa mbaya kwa Bwana.Malaika wa kwanza alikuja na kumwambia Bwana, “Mwishowe , Amepoteza roho yake.Nilimuonya lakini hakunisikiliza mimi.”(Marko 8:36).
Malaika wa pili akamwambia Bwana, “Bwana, yule mtu amefanya uzinzi.Nilimuonya asifanye lakini akamruhusu shetani kuutumikisha moyo wake.”Bwana akamuuliza malaika, “Ulimwambia akiri kosa lake ?”Malaika akajibu , “Ndio, lakini kila akitaka kukiri yule mwanamke aliyefanya naye uzinzi anajitokeza na huyu hushindwa kukiri tena anapomuona yule mwanamke aliyefanya naye uzinzi.”Bwana anamwambia, “Endelea kumwambia akiri na kuacha (dhambi zake )naye ataokolewa.”(Mithali 28:13)
Malaika akajibu, “Sawa BWANA.” Na akaondoka zake. 
Malaika wa tatu akaja naye alikuwa malaika mlinzi wa mchungaji W.F Kumuyi.Malaika akamwambia Bwana, “Bwana, shetani ametuma baadhi ya watu waovu kwenye huduma ya DEEPER CHRISTIAN LIFE (Kanisa la Mchungaji W.F Kumuyi), kifanyike nini ?” Bwana akamjibu, “Mwambie Kumuyi, mtumishi wangu awe muombaji na nitampa USHINDI.”Malaika asema, “Haya BWANA.”Akaenda zake(1 wathesalonike 5:17).Malaika wengi walikuwa wakija pale.Kitu kilichokuwa nikikisikia sana ni, “Mwishowe, amepoteza roho yake.”
                                                        NYUMBA YA MCHUNGAJI E.A ADEBOYEKipindi malaika aliyekuwa akitoa taarifa kuhusu mchungaji W.F.Kumuyi alipo ondoka, Nilimuuliza Bwana kama mchungaji E.A.Adeboye ni mtumishi wake au sio.Bwana akasema, “Ndio mchungaji Adeboye ni mtumishi wangu na mimi ndiye mwanzilishi wa REDEEMED CHRISTIAN CHURCH.Angalia ile nyumba.” Nikaangalia na kuona nyumba kubwa mbinguni.Bwana akasema, “Hio ndiyo nyumba ya mchungaji Adeboye , mtumishi wangu.”
Nilipiga kelele, “Hii nyumba kubwa ! unahakika atakuja kuingia ?” Bwana akasema, “Ndio kama akiendelea kufanya mapenzi Yangu na kuzidi kuvuna watu kwa Ufalme Wangu.”(Mathayo 28: 19-20).
Nikamuuliza Bwana anionyeshe nyumba yangu.Bwana akatabasamu na kusema, “Iangalie mwanangu.” Nikaona nyumba ndogo nzuri.Bwana akaniambia ni yangu.Nikacheka na kusema, “Lakini sijawahi lipa fungu la kumi.” Bwana akatabasamu na akasema, “Sio zaka pekee zinazo jenga nyumba hapa, lakini, pia unapowahubiria na kuwa ambia watu kuhusu Mimi na wokovu, hiyo ndiyo thawabu inayojenga nyumba huku mbinguni; unaponiletea watu hiyo nayo ni thawabu kubwa ya kujenga nyumba yako mbinguni.pia unapo waombea watu hiyo ni thawabu ingine kubwa inayopelekea kujenga nyumba.Unapotenda vyema kwa wengine nayo ni thawabu kubwa kwa wewe kujenga nyumba mbinguni.Kama watu wanataka kujenga nyumba hapa wanatakiwa watii kile nilichokueleza wewe.Hivyo, unayo hii nyumba kwa sababu umekuwa ukichukua muda mwingi kuomba kwa ajili ya wenginehaswa katika kundi Nililolianzisha:THE OVERCOMERS GROUP, na pia kwa sababu unawaambia watu kuhusu Mimi na kuleta watu Kwangu.”(Marko 1:15)
Malaika Urieli akanichukua mpaka kwa malaika Gabrieli ambaye alinionyesha mimi jinsi hizi shuhuda zitavyokuwa kubwa duniani.Aliniambia mambo mengi ya siri kuhusu mimi.Malaika Gabrieli alinichukua mimi mpaka kwenye kumbi kubwa na tazama , Nikaona malaika wengi wakiimba sifa kwa Bwana.Walicheza vyombo vingi kulitukuza jina la MUNGU aliye JUU.Nikajiunga nao nikimsifu Bwana.Nyimbo zilikuwa zakuvutia.Sauti za malaika zilikuwa nzuri sana.Kulikuwa hakuna aibu mbinguni.Malaika walikuwa wakicheza.Wengine walikuwa wakiruka mara ghafla wakapiga magoti na kuanza kusema, “Utukufu uwe kwa MUNGU !”(Ufunuo 5:9-14) Nilikuwa na furaha kuwa kati yao nilipenda niwe pale milele, kumsifu MUNGU wa Utukufu(Ufunuo 4:11).Tukatoka.
Malaika Gabrieli akanichukua kunirudisha mpaka kwa Bwana Yesukristo.Bwana Yesukristo akaniambia, “Mwanangu, niambie mimi, nini unachotaka kuona hapa au kipi unachotaka mimi nikuonyeshe ?” Nikajibu, “YESUKRISTO , mapenzi yako yatimizwe kwa sababu unajua vyote ninavyotaka kuviona hapa.”
Akanichukua mimi na huku akitabasamu akisema, “Mwanangu,Njoo.
MATUNDA YA ROHO MTAKATIFU
Bwana akanichukua mpaka sehemu moja mbinguni kuna kioo kikubwa sana.Kwenye kioo hiko kimeandikwa matunda tisa(9) ya Roho mtakatifu.Bwana akaniambia, “Matunda yako tisa(9) ya Roho mtakatifu yanatakiwa yawe yamekamilika.Kama tuu moja limekosekana, huyo mtu hawezi kuja kwenye ufalme wa MUNGU kwa sababu viwango vyangu vya mbinguni vinasimama milele.”(Wagalatia 5:22-23)
UNYAKUO
Ujio wake Bwana YESUKRISTO,kutokea kwa YESUKRISTO katika anga kupokea Utukufu wake kwa tumaini kuu la wote wamwaminio.Ni mara na yeyote asiyenyakuliwa na KRISTO ataporudi ata “aachwa”(Mathayo 24:42-44).
Bwana akasema, “Mwanangu,njoo nikuonyeshe jinsi unyakuo utavyokua.Angalia kwa umakini sana.” Tazama ! nikaona kanisa kubwa duniani.Lina zaidi ya watu milioni tatu (3) wakiwa wapo kanisani, kulikuwa na kitu kama kongamano.Kufumba na kufumbua unyakuo ukatokea na tuu wanafunzi watatu (3) kati ya milioni tatu (3) wakaondoka na Bwana YESUKRISTO.Wengine wote wakaachwa ! (Marko 13:30-37).
Nikamuona muanzilishi wa hilo kanisa naye alikuwa ameahwa na alipiga magoti pale pale na kusema, “Oh Bwana, nina makanisa 200 na sikuwahi hubiri kweli, lakini sasa nimeachwa ,tafadhali nisamehe mimi.” Bwana akasema, “Umechelewa(unaweza ukatengeneza) tuu kama utavumilia na kukataa kupokea alama ya mnyama.”(Ufunuo 13:16-18) (Ufunuo 19:20).
Kama wewe ni mchungaji au muhudumu ambaye huihubiri kweli, kumbuka huwezi jitetea mwenyewe mbele ya MUNGU(1 Petro 5:2-4).
Nikaona shule ambapo mkuu wa shule alikuwa akihutubia wanafunzi.Mara ghafla ,mkuu wa hiyo shule akanyakuliwa na wanafunzi wakabaki (1 Petro 4:7).Nikaona mwalimu alikuwa akifundisha wanafunzi, mara nikaona wanafunzi watatu(3) na mwalimu wamenyakuliwa, wanafunzi wengine wote wamebaki.(2 Petro 3:9-14).
Nilimuona mama mjamzito alikuwa akienda zake nyumbani .Ujauzito wake ukapotea kwa sababu mtoto alinyakuliwa lakini mwanamke aliachwa(Mathayo 24:40-51). Kulikuwa na huzuni kubwa dunia nzima (Mathayo 25:31-46).Wakristo wengi walikuwa wameachwa kwa sababu ya dhana zao juu ya dhambi aliozigundua mwanadamu(Zaburi 106:39-40).
Bwana akasema, “Hivyo ndivyo unyakuo utakavyotokea.Ni muda wa kwenda duniani .YEYE ALIYE NA SIKIO NA ASIKIE ROHO WA BWANA AAMBIACHO KANISA.KESHENI NA KUOMBA ! ” Ndipo Bwana akanirudisha duniani.
OMBI LA MSAMAHA
Kama uko tayari kumpa maisha yako YESUKRISTO omba sala ifuatayo:
Unirehemu mimi, MUNGU kutokana na uzuri wa upendo wako; kutokana na neema zako ondoa maanguko yangu.Nioshe kutoka kwenye maovu yangu na unisafi dhambi zangu.Ninatambua makosa yangu na dhambi zangu,tazama nilizaliwa katika uovu na mama yangu alichukua ujauzito wangu dhambini.Tazama natamani kweli ndani yangu na maficho yangu yajue hekima yako.
Nifanye nisikie furaha na amani yako ;Mifupa iliyovunjika iingiwe furaha yako na urejesho wako.Ficha uso wangu kutoka kwenye dhambi, ondoa kila ovu langu na uniumbie moyo safi,Oh Bwana ; na uweke tena sawa roho yangu.
Usiniondoe kutoka kwenye uwepo wako na usimchukue Roho wako mtakatifu kutoka kwangu.Nirejeshe furaha ya wokovu na kuniinua nikiwa na uhuru wako rohoni mwangu.(Zaburi 51).Andika majina yangu kwenye kitabu cha Uzima.Na iwe furaha kuu Mbinguni juu ya wokovu wa roho yangu katika Jina la YESUKRISTO,Nimeomba.Amen !.
Tafadhali nakuomba SHARE kwa mwenzio; na kwa shuhuda nyingi zaidi tembelea; www.jasirimbarikiwa.blogspot.com .SHARE kwa wengine nao.

SIRI ZA MBINGUNI NA KUZIMU –SEHEMU YA PILI


Jina langu naitwa Emmanuel Senayon.Namshukuru MUNGU kwa neema ya pekee katika maisha yangu aliyonipa, neema ya dhahabu ya kuona huu ufunuo.Bwana aliniahidi mimi katika ufunuo wa kwanza, kuwa atanitembelea tena kunionyesha siri kwa sababu ujio wake u karibu sana, na shetani anafanya kazi kwa bidii kuvuna roho kwa ajili ya ufalme wake mbaya wa kuzimu.

Tarehe 26 mwezi wa kwanza mwaka 2013 mida ya saa 12 asubuhi,Nilipokuwa nimelala sikujua kuwa mwili wangu tayari ulikuwa tayari umekufa hapa duniani.Nikamuona Bwana naye akasema, “NJOO !,NATAKA NIKUONYESHE WEWE MIPANGO YA SHETANI KINYUME NA MWANADAM.”
Bwana akanishika mkono na tukafika mbele ya enzi ya shetani, na nikamwona shetani kwenye enzi.Akawa anacheka kwa sauti yake mbaya akisema, “Lazima nivune roho zao!.roho zao ni zangu !!!! Hahaha!!!”.Bwana akaniambia niangalie kwa makini ili niweze kuwa ambia wengine kile nilichokiona.
Niliona mapepo mawili wamemleta mtu mbele ya enzi ya shetani.Mtu huyo alikuwa ni msoma nyota,mganga wakienyeji,mchawi na muaguzi, mara shetani alipomuona , alicheka na kusema, “Karibu mtumishi wangu mwaminifu.”
Shetani akaanza kumuuliza maswali hayo mapepo wawili kwa hasira kali akisema, “Huyu amenivunia roho ngapi kwa ajili yangu hadi sasa ?”.Mapepo yakamwambia, “Milioni saba(7).”Shetani akaanza kucheka na akauliza mapepo, “Wangapi kati ya hao milioni saba waliokwisha kufa ?”.Mapepo yakajibu, “Milioni mbili(2)”.
Shetani akaanza kucheka akisema, “roho zao zinamilikiwa na mimi ! Ha ha ha !” Tena Shetani akauliza yale mapepo, “Ndege ngapi alizo ziangusha ?”.Mapepo wakajibu, “Sita.” Na tena shetani akauliza mapepo, “Gari ngapi alizozisababisha ajali ?”Mapepo wakajibu, “Mengi”.Shetani akasema kwa hasira kali, “Ninayo zawadi kwa ajili yako !, lazima nikupe zawadi.” Mara nikaona pepo kubwa na kikombe kibaya sana mkononi mwake.Ndani ya kikombe mulikuwa na kemikali ya asidi nyeusi.Pepo akampa yule mtu na shetani kwa sauti kubwa akamwambia yule mtu , “Kunywa hiyo, Kunywa hiyo, Kunywa hiyo .”
Yule mtu akanywa na mwili na mwili ukaanza mong`onyoka.Asidi ikaanza kula mwili na mwili ukapasuka na ukawa vipande vipande !.Yule mtu alilia kwa uchungu sana.Alitafuta njia ya kutoroka lakini shetani akacheka na kumwambia, “Nilikutega wewe na ukaufuata uongo wangu.Hutaweza kutoka nje ya sehemu hii, roho yako ni yangu ! Ha ha ha!”.
Baada ya kuangamia Shetani akasema “mtoeni hapa!” Mapepo yakamchukua na kurushiwa kwenye moto wa kuzimu !.Alikuwa akilia kwa uchungu sana na kwa hisia za ndani kwa sababu mateso ya kuzimu yalikuwa makali sana.[Isaya 5:14]
Shetani alikuwa akisema hayo kwa sababu nyoyo nyingi zinaishia kuzimu ya moto.Bwana YESUKRISTO alikuwa akilia kama mtoto kwa sababu wakristo wengi hawavuni tena nyoyo/roho kwa KRISTO.Rafiki yangu,ni muda.Tunatakiwa tuseme hapana kwa kazi za mwili na tuvune watu kwa ajili ya KRISTO[Mathayo 10:7].
Shetani alikuwa akicheka kwa sauti.Alikuwa akiiita mapepo na kuwa agiza, “Nenda kwenye njia panda na kusababisha ajali”.
Mapepo yalitii na kwa haraka yalikumbia kuja duniani.Shetani aliita mapepo wengine na kumwambia, “Nenda angani na msababishe ajali za zitokee kwa vyombo vya angani”.Shetani akawaita na kuwaambia , “Nendeni haraka na kufanya wasanii waache miili yao wazi(uchi) kwenye Tv, na mitandao na kwenye magazeti.Nenda na kufanya makahaba watoe video nyingine mpya !”.Wote wakatii na kukimbia kuja duniani haraka.Tunatakiwa tuwe makini na kile tunachokitazama kwenye TV, mitandaoni, na pia kwenye magazeti kwa sababu Shetani yuko huko akitafuta yeyote ili mrarue[1 Petro 5:8].
Baadae nikaona wanyama wenye nguvu.Wakimwambia mtu mmoja, “Ulitutumia sisi kuumiza watu pindi ulivyokuwa duniani.Sasa ni zamu yetu kukuumiza wewe.” Wakaanza kumtesa huyo mtu na huyo mtu alilia kwa uchungu sana.Hata alikuwa akitamani kufa lakini ilikuwa ameshachelewa kwa yeye na sababu roho yeyote itayoingia Kuzimu haitatoka kamwe.Itakuwa hapo milele[Mathayo 22:13].
Hii ni changamoto kubwa kwetu sisi wakristo.Mtumishi mmoja wa shetani anavuna watu milioni saba(7) kwenda kuzimu.Watu milioni mbili(2) tayari wameshakufa.Sasa wapo katika mateso makubwa.Ni watu wangapi uliwaambia kuhusu Kristo leo ?.Baadhi watujampata hata mtu mmoja na kumleta kwa KRISTO.
Nakumbuka mwaka 2011,Nilipata maono na nikamuona shetani katika enzi yake akisema “Nani atanitenga mimi na utukufu wangu ? ”.
Ndipo shetani akamwita mtu kutoka kuzimu ya moto akauuliza , “Josefu, Umeamini sasa kuwa kuzimu ya moto ni kweli ?,Umeamini ufalme wangu upo kweli ?”.Nikaona yule kaka akilia kwa uchungu sana.Mapepo walikuwa wakimtesa kwa hasira kali.Bwana akanionyesha stori ya maisha ya mtu yule .kipindi alipokuwapo duniani, hakuamini kabisa kuwa kuzimuipo na alikuwa akifundisha watu wake kuwa kuzimu haipo na sio halisi.Aliwafundisha mtu anachohitaji pekee kukitafuta ni baraka, aliwaambia hamna kuzimu na sio kweli ,na kuwa mtu akifa ndio amekufa milele na roho yake haiendi popote.
Sasa yupo kuzimu akilia, na kusema, “Sasa na amini, Tafadhali nitoeni nje !,Sasa naamini !” Shetani akamwambia, “roho yako ni yangu !Utakuwa milele !”.Hili ni somo kubwa kwa wale mnaofikiri kuzimu sio halisi.Sasa, tubu na uokolewe.Kuzimu ya moto ni halisi[Mathayo 13:50], [Mathayo 25:30].
MKRISTO BILA YA SILAHA KAMILI.
Nilimuona kakammoja anakuja kwa YESU alipokuwa amefariki duniani.Alikuwa na furaha kwa sababu alikuwa akidhani amefanikiwa kuingia mbinguni.Alipofika mbele ya YESUKRISTO, YESU alikuwa akilia sana kwa uchungu.
YESU alimwambia yule kaka, “Gabriel, uko wapi upanga wako wa kweli ?,Iko wapi dirii ya haki kifuani mwako niliyokupa ?, Nilikupa silaha kamili.Ziko wapi ?”.Yule kaka akasema , “Nimeacha kwa nyumba ya rafiki yangu, tafadhali naomba niende kuchukua”.Bwana akamwambia, “Umechelewa.Huwezi kurudi tena kwa sababu nilikuonya lakini hukutaka kunisikia Mimi.Sikujui wewe !”.Huyu kaka alikuwa akilia kwa huzuni kubwa na kusema, “Tafadhali nipe nafasi ya kurudi.tafadhali Bwana, tafadhali, tafadhali !”.Bwana akapaza sauti kwa hasira ikisema, “Ondoka ! Ondoka ! Ondoka ! kwa kuwa sikujui! Ondoka kutoka Kwangu !” na kimbunga kikubwa kikambeba yeye na kumtoa kumpeleka kuzimu.
Bwana alinionyesha historia ya huyo kaka alipokuwa duniani, Hukuenda hata siku moja kuleta watu kwa Kristo.
Popote Bwana alipomwambia nenda na uwaambie watu kuhusu injili ,yeye huaihirisha.Shetani humwambia katika moyo wake “Kaa chini na usome bibilia.utaenda kesho.”Kesho inapofika Bwana humwambia yeye, “Gabriel, nenda kamuonye mdhambi yule ili atubu na kuokolewa” Naye shetani huongea katika moyo wake, “Gabriel kaa chini na kusoma bibilia yako.Kesho utafanya hayo.” Naye akatii sauti ya shetani [2 Wakorintho 11:13-14].
Alikwenda kwenye nyumba ya rafiki yake na badala ya kumwambia rafiki yake kuhusu YESU wakaanza kujadili kuhusu mambo ya kibiashara.Huyo kaka alipoteza wokovu wake kupitia ushauri mbaya wa rafiki yake.Akaanza kuishi maisha ya dhambi kama vile yule rafiki yake.Hiyo ndio sababu alimwambia Bwana kuwa ameacha dirii ya haki ya kifuani mwake kwenye nyumba ya rafiki yake.
BwanaYESU akaniambia, “Waambie watu wangu kuwa wavae silaha zote, wawe na silaha kamili , waambie wasipoteze hata silaha moja !”[Waefeso 6:10-18].Yule kaka akafika kuzimu ,Nikaona joka kubwa lenye mapembe mengi kwenye mwili wake.Joka akasema, “Gabriel hivi ndivyo nilivyo mdanganya mwanadamu wa kwanza na kupoteza sara kamili ya MUNGU.[Mwanzo 3], Nimekudanganya wewe na ukaufuata uongo wangu.Nitakutesa wewe milele!”Joka kubwa likamuingia kwenye mwili wa yule kakana lilikuwa likimuumiza.Yule mtu alikuwa akilia kwa uchungu lakini alishindwa kutoka kwenye moto.
Shetani alianza kumcheka na kumwambia, “roho yako ni yangu !,lazima niwapate ninyi nyote !”.Wakristo ni muda wa kuendeleza maisha ya kuwa na uhusiano mkubwa na MUNGU kwa sababu wengi wao wanaishia maisha yao kuzimu ya moto kwa sababu ya dhambi.Tunatakiwa kukiri dhambi zetu na kuziacha, kwa sababu viwango vya MUNGU vimesimama ni hakika.[2 Timotheo 2:19].

MFALME SAULI YUPO KUZIMU.
Bwana akasema, “Njoo,nataka nikuonyeshe wewe mfalme.”Nilimuona mtu akiwa amefungwa kwenye enzi.Mapepo yalikuwa yakimtesa kwa hasira kubwa.Bwana akaniambia mimi ni mfalme Sauli.Mfalme Sauli aliponiona mimi, alisema, “Uko hapa.Nenda na uwaambie watu wangu niko hapa.
Waambie wasiache kumtii MUNGU.Waambie watoto wa isreal kuwa ni LAZIMA watii sauti ya Bwana.Kutokutii kwangu kumenileta katika sehem hii.”[1 Samweli 13:13-14],[1 Samweli 15:22-26],[1 Samweli 16:14].Alizidi kusema, “Nilikuwa muuaji, nikajiua mwenyewe, nilidhani mimi ni mmiliki wa maisha yangu mwenyewe[1 Samweli 31:4],tafadhali waambie kuzimu ya moto ni halisi”.Sauli alikuwa akilia kwa ajili ya msaada lakini Mpepo yaliendelea kumtesa.Bwana akaniambia, “Unatakiwa uwaambie kile ulicho kiona.Kama usipo waambia utahukumiwa.”
UPAKO WA SHETANI.
Bwana akanichukua mpaka sehemu ingine kuzimu.Niliona jinsi shetani anavyowafanya wakristo.Kulikuwa upako mweusi wa giza kwenye shimo kubwa.Mapepo wengi walitoka pale kwenye ule upako na nilikuwa nikishangaa nikijiuliza wanaenda kufanyia nini.Bwana akaniambia, “Mwanangu,waambie watu wangu wanatakiwa wawe waombaji.Wanatumia hiyo kwa wakristo kipindi wamelala.Hao mapepo huwamwagia huo upako hao wakristo na kama mKristo alikataa kuomba , huo upako wa shetani utaweletea hisia za ajabu ajabu na mawazo mabaya.Uhusiano wao na Mimi hautakuwa sawa na watarudi nyuma.”
Watu wangu ,hatutakiwi kuwa wajinga juu ya kazi za shetani.[2 wakorintho 2:11].Tunapo lala kuna vitu vingi shetani hujaribu kufanya kinyume na roho zetu.Bibilia inaongea kweli kuhusu MPANDAJI MWOVU. “...... lakinini mtu yule alipo lala adui akaja na kupanda magugu katikati ya ngano na kuenda zake.”[Mathayo 13:25].
Bwana akaniambia, “Mwanangu, mwangalie yule mtu.”Nikamuona mtu duniani.Alipokuwa amelala pepo akaja na kumiminia upako wa giza kwa yule mtu na akaenda zake.Yule mtu alivyo amka,hakuomba kwa sababu alikuwa amechelewa kazini.Badala ya kukimbia nje ya chumba chake na kwenda kazini.Upako wa giza ukaanza kujidhihirisha katika maisha yake.Mtu yule akaanza kujisikia hisia za ajabu ajabu.Akatenda uzinzi na mwanamke ambaye alikuwa ni mtu wa kanisani kwake.Hapo ndipo alipomwacha MUNGU.
Bwana alimuonya ili aombe kwa sababu ya kazi yake lakini alikataa kusikia.Bwana akasema, “Ni mchungaji.”
Tunatakiwa tuwe waangalifu kwa sababu shetani ni muongo mkubwa sana na mkakati wake ni kudanganya kwenda kwenye uharibifu.Anafanya kazi kisiasa kama ‘mfalme wa hii dunia’ amewapofusha wasioamini kutokuamini injili ya wokovu.[Efeso 6:11-20].

MTU AMBAYE HAAMINI KATIKA ROHO MTAKATIFU
Watu wote ambao hamuamini katika Roho mtakatifu,Ninawaambia ninyi ni kweli !Nimemuona mtu kuzimu ya moto alikuwa amefungwa chini na kuteswa na mapepo.Huyo mtu alipotuona sisi alikuwa akisema, “Sasa nina amini katika Roho mtakatifu.Sasa naamini katika kunena kwa lugha.”Mtu huyo alipokuwa duniani hakuamini katika Roho mtakatifu.Alikuwa akienenda kutokana na mwili na sio kutegemea Roho mtakatifu.Alijiachilia dhambi nyingi na sasa yupo kuzimu ya moto akiombakwa ajili ya nafasi ya pili lakini Bwanaalimwambia, “Umechelewa !,siwezi kukuokoa tena !”.
Yule mtu alilia kwa uchungu ,akimkufuru Bwana[Luka 11:13].Wote tunahitaji kumuomba Baba atupe sisi Roho mtakatifu kwa sababu ametuahidi kutupa wale wataomuomba yeye[Efeso 1:13-14].Omba sana na kwa bidii na usikate tamaa kumtafuta Roho mtakatifu kwa sababu usipokuwa naye utaendelea kuwa unafanya mapenzi ya mwili[Warumi 8:5-14].Mtafute Roho mtakatifu akusaidie kuingia mbinguni.

KANISA KUBWA
Bwana akaniambia, “Mwanangu, njoo,ngoja nikuonyeshe jinsi ninavyotaka kanisa langu liwe.”
Nikaona kanisa likiwa na moto uwakao.Watu walioko pale walikuwa wako na moto lakini haungui.Bwana akasema, “Huo nimoto wa Roho mtakatifu.”
Kulikuwa na malaika wengi sana wenye nguvu sana na wenye panga mikononi mwao wakizunguka kanisa.Watu katika kanisa walikuwa wakiomba sana kwa bidii na kulia kwa Bwana.Bwana alisema, “Hivi ndivyo ninavyotaka kanisa Langu liwe, lakini makanisa mengi yamekuwa baridi.[Ufunuo 3:15-16].Makanisa yangu mengi leo haya ombi sana, hawafungi.
Hawafundishi kuhusu ujio Wangu wa pili, Hawahubiri kuhusu kuzimu ya moto, Hawa hubiri kuhusu ufalme wangu tukufu, Hawavuni na kuleta watu kwangu, Hawataki tena muongozo wangu lakini wanachotaka ni kuongozwa kwa mwilina sio kwa roho.Waambie wote, NINAKUJA HARAKA NA UJIRA WANGU UKO NAMI NIMPE KILA MMOJA KWA KADIRI YA KAZI YAKE.[Ufunuo 22:12].Mwanangu, waambie ni karibu kufunga mlango”.Bwana alilia.
Kanisa, tunatakiwa tuamke na kuacha mafundisho ya ajabu ambayo yatatupeleka kuzimu ya moto.Kumbuka kile ambacho Bwana amekisema, “Wote niwapendao mimi nawakemea, na kuwarudi; basi uwe na bidii, ukatubu.” [Ufunuo 3:19].

SIRI ZA UONGO WA SHETANI
Bwana akanichukua mpaka sehemu ingine Kuzimu.Kulikuwako na mapepo wengi kwenye mkutano.Ghafla wakatawanyika nakuwa na mwonekano wa miili ya kawaida ambao wengine wakawa wachungaji,wainjilist,manabii, waalimu, wadada , wakaka, wazee na watumishi.Shetani alikuwa akiwapa amri akiwaambia, “Nendeni sasa duniani ! Nendeni na kufanya ishara na maajabu ! nenda na kufanya miujiza !Nenda na kufundisha mafundisho ya uongo na kuleta roho nyingi zaidi katika ufalme wangu !.” Wale mapepo wakamtii , na kukimbia kuja duniani wakiwa na kasi kubwa.
Nilipoyaona haya niliingiwa na mshangao mkubwa sana.Hicho kikanifanya kukumbuka kukutana kwangu na YESUKRISTO kwa mara ya kwanza .
Bwana aliponionyesha kitu flani kuzimu ambacho kiko pembeni mwa enzi ya shetani.Kulikuwa na shimo kubwa na refu.Mulikuwa na majina ya makanisa yanayomilikiwa na kuanzishwa na shetani duniani, Yameandikwa chini ndani ya shimo.Rafiki yangu, jihadhari na kanisa unalohudhuria.Kama halijasimama katika kweli yote ya MUNGU(Kuhubiri utakatifu, haki, ujio wa pili wa YESUKRISTO, mafazi ya kiMungu na kuhubiri kuhusu Kuzimu ya moto),tafadhali toka kwenye aina ya kanisa hilo, kwa sababu yanamilikiwa na shetani.(Mathayo 24:24), (Marko 13:5-6), (Luka 21:8).Tunatakiwa tuwe waangalifu kwa kuwa mapepo wengi wameachiliwa na wapo kamawatumishi wa MUNGU, wapo kudanganya watu kwenda kwenye uharibifu.Bwana akasema, “Mimi sio mwanzilishi.Sijui haya makanisa katika hili shimo.”[ 2Timotheo 3:4-7].

UWANJA WA VITA
Bwana alinichukua mpaka sehemu ingine.Nikaona watu wachache tuu wanapiga mapepo wengi.Ilikuwa ni vita kubwa na ya nguvu sana.Mapepo walifunga watu wengi kipindi wanapambana kwa kuwa silaha zao hazikuwa kamili.Kulikuwa na damu kwenye miili yao lakini wakaendelea kupambana.Bwana alikuwa akilia, nakusema, “Unatakiwa uvae silaha zote za MUNGU.”[Waefeso 6:11-18].Kulikuwa na baadhi ya watu wamevaa silaha kamili na mapepo hawakuweza kuwashinda wala kuwadhuru.
Bwana aliongea, “Nahitaji watu zaidi katika uwanja huu wa mapambano.Waambie waje kwangu na nitawajaza kwa nguvu Yangu.Waambie watafute silaha kubwa za Roho kwa moyo wote na watakuwa nazo.”
Mara , Bwana akageuza sura yake kwangu akisema, “Wanakusubiri wewe duniani.”
Mama yangu na kaka yangu mkubwa walikuwa wamesha ondoa shuka nililokuwa nikilitumia kujifunikia mwenyewe.Mama akaniambia walijaribu kuniamsha kwa muda mrefu na siku amka na waka enda kuomba msaada kwa kaka mkubwa ili anisaidie.Naha ta kaka mkubwa alipofika aliniamsha akadai sikuamka na hata wakafikia kuwaza kuna tatizo kwenye damu yake.
Hata baadae sana nilipoamka, walikuwa wakilia na kuita jina langu.

KUWA MWEREVU.
Rafiki ,YESUKRISTO amefichua siri za shetani na anavyotaka kanisa Lake liwe.Sasa ni upande wetu kuchukua hatua mbele ya wokovu, kutubu kwa dhambi zetu na kuokolewa.(Waefeso 5:1-2).
Kama wewe ni mchungaji, mtumishi wa MUNGU, au ulirudi nyuma katika wokovu.Tafadhali amka na urudi kwa YESU.Yeye atakupokea wewe.(Waefeso 5:14-21).Bwana aliahidi kunitembelea mimi mara ya tatu.Alisema, “naja kukutembea wewe na kukuonyesha vitu vingi zaidikuhusu Mbinguni na Kuzimu ya moto.Nitakuja kukutembelea wewe kwenye tarehe 9 mwezi wa pili ,2013 .”Amsha Wakristo wote!!.
Tafadhali waweza kushirikisha wengine Kwa ku SHARE huu ushuhuda, lakini kwa shuhuda nyingine nyingi waweza kupitia blog yawww.jasirimbarikiwa.blogspot.com .ili kuzipata hapo !.Ubarikiwe unapotafakari na KUBADILIKA sawa sawa na mapenzi yake YESUKRISTO.

Prepare for the CHRIST Return! by Bernarda Fernandez

Prepare for the Lord's Return!by Bernarda Fernandez
Sister Barnarda Fernandez was taken on 2 Journeys to Heaven and Hell with Jesus.  She was shown the Heavenly rewards prepared for the Lord's saints, the Rapture, the Great Banquet and the crows of life.  And she saw the condition of the Church, the coming judgments, and the lost souls in Hell.
PDF  DOC  MP3    
My First Journey
I was not feeling well that morning, my husband refused to leave me and go to work. I told him that I was not alone. After he left, I felt that I was dying. So I decided to phone some of my friends, and my mother-in-law. My mother-in-law answered: "Bernarda, God will bless you today, do not be afraid." The same answer came from another brother in Christ that I phoned, but he added: "Bernarda get up from your bed and praise the Lord, cry to Him and glorify Him."
In spite of my lack of strength, I cried to the Lord saying: "Lord You are my strength, come and help me." I tried to stand up, but my strength left me. My voice could no longer be heard, but in my soul I was crying to the Lord to help me since I felt like I was dying. Suddenly my room was lit up by a light which looked like a fire.  Immediately my fear vanished and I saw angels descending and walking in my room. I could hear them clearly speaking to each other.   Suddenly a marvelous being appeared, more marvelous than any angel. He was dressed in white with a golden sash.  On His chest was written in gold: "FAITHFUL AND TRUE." His face was showing gentleness and Love. Jesus the CHRIST was in front of me, the King of kings and the Lord of lords. Blessed be His name!
Jesus approached me, touched my head and told me: "I am Jesus who died for you. Look at these marks in My hands, they are still there for you. I came down from My throne of glory to speak to you; there are many things in your life to put right. You are lazy and quick-tempered. Moreover, I do not want 25% Christian nor 95%, but 100%. If you want to go to heaven, you have to be holy as I myself am holy; I came to take you for a journey."
New York CityI asked Him: "Lord, is it a missionary journey?" He answered "No." Then He took me by my hands, lifted me up, and talked to me with simplicity and Love. He brought me as far as my windows, He looked at the city of New York.  I saw sadness on His face. He wept and said: "My Word is well preached, but people do not listen. The sin of this city has reached My Father."
The city was full of homosexuals; among them were Politicians. The Lord told me: "It's another Sodom, but I am alive and the judgments of My Father will soon fall on this city." Then I knelt before the Lord while crying and He told me: "Do not be afraid. When judgment falls on this world, My Church will no longer be on Earth."
He then led me again towards my bed and asked me to phone a brother from my congregation. He asked me to tell him that my spirit would come out of my body, and that they should not bring my corps to the hospital or to the any funeral ceremony. Instead, they should tell my husband to trust the one who is the Resurrection and the Life. (John 11: 25) The Lord told me again: "I who give life, I take your spirit, but you will come back and tell the peoples to trust me fully. The one who believes in Me will never die." (John 11:26) He stretched His hands and I saw that spiritual body came out of my physical body. I was dressed in white and I was shining like the Lord, He told me: "Look! This is the body that Christians who obey My Word will soon have."
I realized that I could now go through the walls. The Lord who was holding me by my hand said: "Look"! When I turned, I saw my body without spirit. He explained to me that my physical body was worthless, it was nothing but dust, and that at death it will become dust again, as any physical body. He added that the new body I had was a glorious one which is the spirit He gave to man. I thought He would lead me straight to heaven, but it was not the case.
We descended through a tunnel below the Earth, and when approaching a certain place I could perceive an unbearable smell. I said: "Lord I do not want to go into that place." But we went in; that place was very dark. I heard people suffering, weeping and screaming. When we got to the end of the tunnel, we sat on a rock and the Lord told me: "Look"! I saw people suffering. In hell, people spend their time crying, and no one cares about others.
Dear brothers and sisters, I realized that HELL IS REAL. I wept and wept, and when I looked at the Lord, He told me: "Hold on to what you have seen, and do not forget it."  The people were screaming, "Ouch! Ouch! It's forever! it's forever! Pain and hatred forever and ever."
I turned toward the Lord and asked Him: "Is there anyone from my family in hell?" He answered me "I will not allow you to see a member of your family."  So I asked Him, "is there anyone that I know here?" "Yes and I will allow you to see him." Suddenly I saw a young man coming from the depths of the hell: It was Alexander.
I knew this young man at a crusade my husband and I attended in the Dominica Republic. During that crusade, I heard a voice saying to me, "Get up, go and meet Alexander who is passing by. Tell him not to reject this message, for I'm giving him a last chance." This voice was the voice of the Lord, even though I did not see the Lord at that time.  I told Alexander what the Lord told me, and this is how he responded: "You Christians are all fools. You deceive people by telling them that Jesus Christ is coming, I, Alexander, do not believe this to be the truth." I told him: "Alexander, God gives life and takes it away when He wants; Alexander, you will soon die." He answered: "I am too young to die, I still have many good years of fun on this Earth."
That was truly the last chance for Alexander.  Three weeks later, Alexander died while he was drunk. His destination was this place of torment where I saw him (hell). The Bible states clearly that drunker will not inherit the kingdom of God. (Galatians 5: 21)
When looking at people in hell, I could see Alexander attacked by two big worms. He was screaming "Ouch! Ouch! Ouch!" He was tormented. He recognized me and told me: "I neglected my last chance. I am here today, suffering. Please, when you return to Earth, go to my house and tell my family to believe in Jesus Christ and to obey His word, so that they will not come to this place of torment."
Then the Lord showed me thousands of people who were suffering in hell, and said, "You see, some of these people knew Me when they were on Earth. There are still a lot of people on Earth who walk on the street without knowing where they go. Know that the way to heaven is very narrow, and it will be narrower again. There will be difficulties on Earth, so that you will be as pure as gold, but fear not for I am ahead of you like a mighty warrior."
I asked Him: "ARE THERE CHRISTIANS IN THIS HELL?", He answered: "Yes, do you know why? They believed in Me but they did not walk according to My Word. There are many of those Christians who ONLY behave well when they are in the church, in front of their pastors and their family. But they are greatly deceiving themselves. The eyes of My Father sees everything and He understands every word, wherever you are.  Tell My people that it's time they lived a holy life before My Father, before the devil and before the world. Let the devil has no right to accuse My people; and let the world not point a finger at My people." (1 Peter 1: 14-16)
Lake of FireThen we went to a lake of fire.  It smelled horrible, and the Lord said, "What you see there is a lake of fire, which is ready for the devil, the false prophet, and the Antichrist. I did not prepare this place for men, but all those who do not believe in Me as their Savior and those who do not live according to My word will go there "(Revelation 20:14)
At that moment I saw Jesus weeping and He told me again: "There are too many of those who are lost than those who go to Heaven."  He showed me the number of people who were dying every minute and said, "Look! How many are lost! My Church is sleeping despite the fact that She has received My power; She has My Word and the Holy Spirit, but She is sleeping. On Earth there are people who preach that hell does not exist. Go and tell them that this place is real."
I could feel the intense heat. We left that place and we went to Heaven. We kept up and up, though the second heaven.  He showed me the sun and the stars and said, "Look at these stars, I call each one of them by name.  Do you see this sun, it's by My power that it shines both on the righteous and the wicked. But there will come a day when the sun will no longer shine, everything will be darkness." (Acts 2:20)
We went further up and reached the Kingdom of God.  I saw beautiful houses.  The walls of those houses were very high, of pure gold and of precious stones. There were twelve gates of pearls, with twelve angels at the gates. I didn't know if I could go in, but the Lord looked at me and said: "Do you want to go in?" "Oh yes Lord! I really want to."  "Then get in, for I Myself am the door(John 10:9).
At that moment I went in through a precious gate and I saw a garden of magnificent flowers. "Do you want to go in the garden? Then go in, for I've prepared this for you and My people." When I stepped in, I started to arrange some of the flowers into bunches. I ran in the garden like a little girl. The flowers I held had many colors with a very nice smell.  The Lord called someone. It was an angel, strong and so beautiful that I could not describe. The Lord told me: "Do you see this one, he is the Archangel Michael, he is the one who leads My army. Look again!" I saw a mighty army on horses and the Lord told me: "It's not a human army, but My Father's Army. This army is at the disposal of Christians who are REALLY born again; do not fear, for it is more powerful than the one which is in the world."
Then He showed me another angel. "This one is the messenger of Christians who obey My word." I was happy to hear that. Jesus told me: "Be attentive! I am the God of Abraham, the God of Moses, the God of Elijah, the One who caused fire to fall from heaven; I have not changed.  I am going to show you the condition in which My people live in these last days they've have left." The Lord told me: "Be very careful about the things I'm going to show you."
I saw Christians who were weak and tired. The Lord asked me this question: "Do you believe that I can take this Church away in its present state?" Then He told me, "Christians that I will take away with Me will be glorious, triumphant, spotless, blameless. Among My people there are lies, lack of love, My people are divided. I showed you the condition of Christians in these last days; Now I'm going to show you how the early Church lived. Those brothers and sisters were filled with the glory of God. They constantly fasted and prayed; they preached My word without any fear. Whereas present Christians think that I've changed, they also think that the Holy Spirit has changed. The big mistake of Christians today is the fact that they live a routine life, planned by human being. Therefore they've forgotten that the messages are from the Holy Spirit and from above. Tell My servants, the pastors, that the time has come to put behind those routine's programs. If they do, you will see the power of God in thier midst, the Holy Spirit who was manifest in the early Church. He will perform signs, miracles and wonders in great number, causing the dead to rise. The Holy Spirit is still the same, it's you who have changed."
Christians, it's high time you came back to the life of the early Church.  I then left this beautiful garden and went to a lovely street of Gold and the Lord said, "Touch! Yes it's pure Gold. Go and tell My children that VERY SOON, they are going to walk on these streets of gold by the hand of the One who gives life" (Revelation 21:10-15)
Oh! How great it is to walk on those streets of gold! After that I saw a splendid Throne surrounded by Angels, Archangels and Seraphs. They were continually praising God, the One who was on the Throne, saying: "Holy, Holy, Holy is the Lord God Almighty; heaven and Earth are filled with his Glory. Amen!"Time has come to lift up holy hands unto Me and praise Me." 
I saw the river of the water of life flowing from the Throne. I also saw the tree of life and at the other end I saw the rainbow and the crystal sea.  I asked the Lord: "Who is on the throne?" He answered: "It's My Father, the Lord of Host." I told Him: "Can I see the Father", "No it's not yet time," the Lord answered.
Even though I did not see the Father, the One who was on the throne was Mighty. I saw thunder and flashes of lightning coming from the throne and I heard praises. Jesus told me: "Do you hear these praises? These are the praises of those who are redeemed." I saw seven angels, each of them were holding a golden bowl; and seven other angels holding a trumpet. "Lord, who are these angels?" The Lord answered: "The seven bowls that the angels hold are filled with the wrath of God. They will soon be poured out and when the trumpets sound, My Church (those Christians who live according to the will of My Father) will be caught up. They will no longer be on Earth during the great tribulation. Before the Antichrist manifests himself, this man of sin, My Church will hear the last trumpets' sound, and they will meet Me in the air. (1 Thessalonians 4:16)
I was there, dear friend, in front of the great throne, and I did not have any notion of time.  Jesus showed me how His Church (the true believers) will be caught up! I saw in a vision, thousands of people disappearing. This happened world-wide, and TV and radio gave the news of the disappearance. Newspapers with (big headlines in red), also brought out the news. The Lord told me: "The news will soon happen. If the judgments of My Father have not yet come upon the Earth, it's because of the faithful Christians, those who really love me."
After that, I saw the appearance of the man of sin. He was saying to the inhabitants of the Earth: "I'm bringing you peace and safety" and immediately people forgot the event that had just taken place. Jesus told me: "Look carefully!." I saw in the vision the seven angels with the seven bowls. Dear friend, what was happening was difficult to describe; I saw the angels pouring out the seven bowls of the wrath of God on the Earth. Trumpets started sounding. God was pouring out His judgments on the inhabitants of the Earth, and whole countries disappeared. The Lord told me: "Look! All these people were part of My Church, some were pastors." Because I did not fully understand this, I asked the Lord: "How is it that so many of your people have been in the great tribulation? How is it that there are pastors among them, those who preached your word?" Jesus answered: "Yes, they had preached My word, but they were not living in accordance with My word." Then the Lord allowed me to see another multitude of pastors, and He told me: "Those pastors were not preaching My Word as it is written. They thought that My word was not adapted to their century. They had too much favor towards those who were giving a lot in tithes, because they were more interested in materials. Go and tell My servants that I am the One who called them, and that silver and gold belong to Me and I give them according to My greatness and glory. Tell them to preach My Word as it is written. They are many, those who give another interpretation to My Word. My Word is My Word, and no one can change it. It must be preached as it is written. There are many among My people who distort My word for their own profit."
After that, we entered a place in the new Jerusalem and the Lord told me: "What you see is paradise." I saw the apostles and I asked the Lord, "Lord where is Abraham?" I was expecting to see and old man, but suddenly I saw a young man about 25 years old approaching and Jesus told me, this is Abraham, the father of Faith.
The Lord called a very beautiful woman with an unspeakable beauty, like all those I saw there, and He told me: "This is Mary! Go and tell every body that Mary is NOT the Queen of Heaven. The King of heaven is I, the King of kings, and the Lord of lords; the One who says: 'I AM THE WAY, THE TRUTH AND THE LIVE. (John 14: 6-7). Go and tell this BLINDFOLDED MANKIND that there NO purgatory, for if there was one, I would have shown you. Instead, there is Hell, the lake of fire, the precious Jerusalem, and the paradise which I showed you. But tell them that there is no purgatory; tell them that IT'S A LIE FROM THE DEVIL, THERE IS NO PURGATORY."
Then the Lord led me to a store of crowns. "These are crowns of life...What do you see?" I saw my local Church, the believers of that community, singing and preaching, then I asked Jesus: "Why are the names of the believers of my community not written in this book?" And He told me: "Because of their wrongdoing on the Earth." (Rev 3:11)
After all this the Lord allowed me to come back on Earth, back into my body, the Journey was finished.

MY SECOND JOURNEY
One day we were all at a prayer meeting, about twenty of us in number. As usual, we started by praising and worshiping the Lord.
Suddenly we felt the presence of God. It was so powerful, just as if it were the day of Pentecost.  I remember my husband's mother, an old and devoted lady told me, "Bernarda, let's keep the noise down during the praise, we're making to much noise." She was right, because the praise was like the sound of a waterfall.  As I was about to ask my brothers to keep the noise down, I heard the Lord telling me: "Don't say anything! In the world, when people are making noise, nobody cares, why then should you stop the praise?" So we continued praising and worshiping the Lord.  I felt that something great would take place. Suddenly I remembered what the Lord told me on my first journey: "I'll come back for you."
All of a sudden I saw a bright light flooding my home. My brothers also saw the light appear.  They all knelt down before God.  I did not know what to do, and I just stood still. That light became brighter, and took a human form.  In front of me the Lord Jesus Christ, so beautiful and full of love. On Earth, I have never seen such beauty on a man's face. He came closer to each of my brothers.  But as I was about to tell my brothers that the Lord came for me, I started speaking in tongues. (1 Corinthians 14:39-40)
Just by looking at me, my spirit left my body and I was in the air.  Jesus took me by my hands and we went towards the Dominican Republic. When we reached the city, the Lord told me: "There are two great sins this country commits before My Father, witchcraft and idolatry." I saw the people of that country running after sorcerers and fetish.
After that, the Lord brought me to Venezuela and then to Mexico.  In Venezuela, I was in the air with Jesus, but I saw people turning to magic, fetish, and to witchcraft. In Mexico I saw people meeting and worshiping demons. The Lord told me: "The horror of this sin has reached My Father. The first sign I give as a warning is that there will be an Earthquake in Mexico if the inhabitants of the country do not repent and come back to me."   (When I later came back to Earth, I went to Mexico and preached this message. The people did not listen and recently there was a terrible Earthquake in Mexico)
While we were still in the air, the Lord told me that the Hands of His Father have been stretched out upon the inhabitants of the Earth. I saw the sea with gigantic waves, resembling a monster. I also saw hurricanes happening upon the Earth. I asked the Lord: "Lord what will become of Christians when all this happen?" He answered: "Go and tell them that, for those who are faithful to Me, none of their hairs will be touched."
After that the Lord brought me to another place, I saw places where the Earth was split. The Lord told me: "Many countries will soon be wiped out."
Then we left that place and went to another place where I saw waters in motion.  We went down through a tunnel and reached the depths of the Earth. I saw great doors. It was not the same as those I saw during my first journey. On these doors were big chains. The Lord went to the doors, removed the chains, and let me in through the tunnel.
I saw thousands of people with their head down, wearing torn clothes. They had big chains on them.  Then I said: "Lord, what does this mean?" He answered: "All these men and women are on their way to Hell." Among them, I saw my husband's senior brother, Adolfo. He was a difficult man, he used to get married and divorced whenever he wanted, and he used to curse God. Then I started pleading with the Lord to let me go back on Earth and warn Adolfo that he was going to hell, but the Lord did not answer me. Again I saw Adolfo and his wife walking through the tunnel. They were at the edge of H ell. I pleaded with the Lord again to let me go back on the Earth and tell people what I have seen. The Lord lifted His hands up and said: "Go and tell them that time is nearly over...thousands and thousands of people will go to Hell, Adolfo's time is over, he is going to die."
(When I came back to Earth, my brother in law Adolfo did not want to change his way of living. One day, he quickly came home from work and said to his wife: "I can't work any longer, something is telling me that I'm going to die." His wife answered: "It's because you are drunk as usual that you're saying this." Both of them went to bed. Some minutes later, she had a vision. In her vision she saw her husband and herself in a tunnel, clothed with shabby clothes, and going to hell. She heard the Lord telling her: "Time for both of you is over." )
When I was still in the air the Lord told me: "Do you know why I brought you here for a second time? It was to show you that during your first visit, the number of lost souls was less than this time." There were more lost souls now, than before.
Then, Jesus and I left that place and went up through the second heaven. When we reached the third heaven, the Kingdom of God, I saw angels bustling from one side to the other; then I asked the Lord: "Why are these angels in motion?" Jesus answered: "It's true that My angels are in motion here, but I'm going to show you how the Earth is also in motion. Be careful, because many demons have invaded the Earth. The devil is furious against Christians because he has little time left."
The Lord allowed me to see demons in a terrible rage, and He told me: "Those demons you see are demons of adultery. They will attack thousands of My servants and many will fall into that sin. Do you know why the devil succeeds in causing My servants to fall? It is because My servants do not give Me all the glory. They steal My glory and become proud. On top of that, their wives live in a great spiritual disorder. They did not build their homes with wisdom.(1 Timothy 2:11-14)
I saw thousands of angels that I could not count, there were many of them ready for the battle. Then Jesus told me: "Now I'm sending these thousands of angels on the Earth to protect My people. In these last days, the protection will be double. Satan also will double his attacks, but you should not forget that your God is great and mighty. If you are attached to Him nothing will happen to you."
The Banquet
The Lord then brought me to another place. I saw a huge table rounded with golden chairs. On each chair, a name was written, and a robe of fine linen was also placed. In front of each chair, on the table I saw crowns. Then I noticed that there was a chair that was bigger than others. In front of that chair was a huge cup in gold. Jesus told me to go and see what is in the cup. It was full of wine, ready to be served. Jesus told me: "Do you know why the wine is ready to be served? Go and tell My people that I am at the door, I'm coming soon."
The Lord gave me a robe of fine linen and a crown. I wore the robe and crown went to a place where there was some type of mirror. Jesus told me: "There's neither stain nor crease on your robe, isn't it? None will enter through this door nor take place at this table, unless he is clothed like this. Some among My people on Earth have dirtied their robes. Others have crumpled robes, and still others have put theirs aside, and have forgotten them. Tell My people that it's time they washed their robes, ironed them and took them back. Christians should ask the Holy Spirit to help them keep their robes in a good state, because the King will soon celebrate the Marriage Supper in His Father's kingdom." (Matthew 22:1-14)
My Family
I come from a divorced family and I grew up with my father. My mother was a very religious woman. As for my father, he believed in nothing. I have a sister who is in a catholic convent, but I know that Jesus will soon take her out of there and she will preach the Gospel with me. I pray a lot for her. When I was thinking about my mother's life in that mystic religion, during my first journey in paradise, I cried before the Lord and told Him: "Lord my mother is lost, yet I've preached the Gospel to her, but she won't listen. More and more she is clung to that pagan religion." The Lord answered me: "I will save your mother, but I will take her home immediately otherwise she will fall back into sin and go to Hell. For this reason, as soon as she is converted, she will die some time later and come here, in paradise."
When I came back on Earth, I prayed, cried, sighed, and reminding the Lord of the promise He gave me, but I saw my mother who was more and more involved in the idolatry of her religion. One day God used my son to convert my mother. Just three days after her conversion, she died!
During my second journey in paradise the Lord told me: "Look, what My mouth says, My hands fulfill it." I saw my mother in that beautiful paradise; she was among other women. We went to a place were I saw thousands of children clothed in white who were praising and glorifying the Lord. Jesus told me: "These children are those who have been aborted by parents and criminal doctors. Babies that people killed while they were still in their mother's womb, and that are found in dustbins and rivers, are here in heaven."
Dear brothers and sisters, contrary to what you may think, for the Lord, a fetus is a human being from conception, from the first day of pregnancy.
Jesus told me again: "Bernarda, work for I am your strength. This message has to be published into the whole world. It's a message for Christians, pastors, and for all the inhabitants of the Earth, including you. Let him who is holy continue to be holy."
At that moment the gates of heaven were opened. There was a beautiful escalator. Jesus called thousands of angels to came, and then the Lord accompanied me back home.
When we got home, I saw my husband and Christian brothers were waiting for my spirit to come back. I looked at my physical body, and I told the Lord that I no longer wanted this body. The Lord told me: "You cannot go back to Heaven with Me, for it is not your time yet. You have to tell My people first what you saw, in order for them to get ready." With a powerful voice, He told me: "Enter and receive life, I am the resurrection and the life, he who believes in Me, though he may die, he shall live (John 11: 25-26).
End of Testimony
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...