SIRI ZA MBINGUNI NA KUZIMU-sehemu ya kwanza na Emmanueli Senayon

Jina langu ninaitwa Emmanueli Senayon;Nina umri wa miaka 18, kutokea nchini Naijeria.

NIMEKUTANA NA YESUKRISTO.
Mwaka 2012 mwezi Novemba, Nilikuwa mgonjwa sana na wazazi wangu wakanichukua na kunipeleka hospitalini.Daktari akasema damu yangu i chini sana na nilikuwa na kifua kikuu{TB}(tuberculosis).
Ilikuwa taarifa mbaya sana hasa kwa wazazi wangu  kwa kuwa hawakuweza kumudu gharama za kunihudumia pale hospitalini, hivyo wakanichukua na kunirudisha nyumbani bila matumaini yeyote.
Nilipokuwa kwenye kitanda nikipumzika, Nikaanza kuhisi kitu cha ajabu na mwili wangu wote ukazidi kuwa dhaifu isiyokuwa kawaida.Nikajikuta mwenyewe niko nje ya mwili katika chumba cheupe haswaa.YESUKRISTO akanitokea, Sura yake ilikuwa inang`aa na alikuwa mzuri sana lakini nikagundua hakuwa na furaha.Akanishika mkono wangu na kunichukua mimi hadi nje ya chumba hicho na nikajikuta nimesimama mbele ya enzi kubwa.

Nikamwona Baba MUNGU katika enzi yake.Sikuweza kuona sura yake ,mwili wake ulikuwa kama moto uwakao, amejaa nguvu na utukufu.Nikaona makundi ya malaika wakiwa na mavazi meupe mbele ya enzi, na walijaa utukufu.Wale malaika wamebeba vitabu kwenye mikono yao.Nikaona watu wasiohesabika mbele ya enzi[UFUNUO 20:11] nao walikuwa wakienda mmoja baada ya mwingine kupokea hukumu yao na kila mtu alipofika mbele ya enzi, malaika walifungua vitabu mikononi mwao na MUNGU ndiye anayehukumu huyo mtu.

Watu wengi waliosimama wakisikia MUNGU akiwaambia “ONDOKA KWANGU”.
MUNGU aliwahukumu na hasira kali na sauti yake ikasikika kwa mlio mkuu [EZEKIELI 43:8].Pale MUNGU anaposema “ONDOKA KWANGU”,Kulikuwa na kimbunga kikubwa kinachomzoa mtu huyo na kumtoa hapo.[MATHAYO 25:41].Watu wote waliokuwa mbele ya enzi walikuwa wakiogopa sana kusimama mbele za MUNGU.Wao malaika hawaiti jina la mtu yeyote lakini kila mtu anajua inapofikia zamu yake ya kupokea hukumu[2 wakorintho 5:10].Yeyote aliyefanya uovu alitwaliwa na kimbunga kwenda kwenye adhabu isiyo isha[Mathayo 25:46].

Kwa kuwa uko hai ,Bado una neema ya dhahabu kutubu kutoka kwenye dhambi zake na kuaha uovu wako.Hasira ya MUNGU ni kama moto uwakao[SEFANIA 2:1-3] na dunia ni bonde  la kufanya maamuzi[YOELI 3:14].Uamuzi wako uache uwe KRISTO;kabidhi maisha yako kwa YESUKRISTO na kuipuka hasira ya MUNGU.Haijalishi dhambi gani ulioifanya, YESU atakusamehe yote yote[HOSEA 14:4], [HABAKKUKI 2:13].

YESUKRISTO AKANIPELEKA KUZIMU YA MOTO
Ndipo YESUKRISTO akanitoa hapo na kunipeleka kuzimu iwakayo moto.Kuelekea kuzimu tulipitia handaki ambapo tulipotoka tuu kwenye hilo handaki tukawa tumefika sehemu ambayo ina giza kweli kweli.Ilikuwa ni sehemu yenye giza kubwa na sauti za kutisha za vilio na kutisha.

Nikauliza, ‘Bwana tuko wapi ?’ naye akasema, “huu ni ufalme wa shetani, kuzimu ya moto”.Kuzimu inatisha sana kuna giza zito.Niliona mapepo wengi ;walikuwa wakubwa na wabaya sana.Mapepo hayo yalikuwa yanafanya kazi kwa kasi sana bila ya kuchoka.[1 PETRO 5:8].Bwana akaniambia mimi , “wanapanga jinsi ya kuleta watu sehemu hii”.

Kuzimu ya moto iko kama ziwa, na kila mmoja ana sehemu yake katika kitengo tofauti tofauti.Kuna watu wengi kuzimu wako kwenye moto wanaomba nafasi ya sekunde, lakini hakuna kibali na haiwezekani.[MIKA 3:4].

Kitengo cha kwanza Bwana alichonionyesha nisehemu ambayo ni ya wachungaji walioikosa mbingu.Niliona wachungaji wengi wako kuzimu katika mashimo yao kuna kitu kamaubao watangazo ambako umeandikwa jina la huyo mchungaji,jina la hilo kanisa alilokuwa akilichunga jumuisha na sababu iliyopeleka kuzimu.Kila mchungaji alikuwa ana mapepo yaliyokuwa yanamtesa.Walikuwa wakilia na kuomba rehema kwa YESU, lakini YESU alilia na kuwaambia “nilipokuwa nikiwaonya ninyi hamkunisikiliza na sasa mpo katika sehemu hii.siwajui ninyi !”.[Mithali 1:24-31].
Ndipo Bwana akaniambia, “kuzimu imejiongeza na hakuna ajaye huku atayeweza kurudi tena”.[Mithali 2:19],[ Isaya 4:14].
Niliona kitu kikubwa na cha kushangaza sana ! “Watu wangu,tutawezaje kuikwepa kuzimu kama tukidharau wokovu mkuu?” [Waebrania 2:3].

MCHUNGAJI OSHOFFA
Nilimuona mtu akiwaka moto kuzimu, mapepo walikuwa wakimtesa kwa silaha zao na vifaa vyao.Mtu huyo alikuwa akiomba rehema na alilia kwa uchungu sana.

Nikamuuliza Bwana, “Huyu ni nani?”.Bwana akaniambia, “ni mchungaji oshoffa, muanzilishi wa makanisa ya ‘CELESTIA KANISA LA KRISTO’,KANISA LA VAZI JEUPE”.Bwana akaniambia siri ya mtu huyu; “alijiwekea agano na shetani kuwavuta watu kwa mafundisho ya giza, uponyaji kutumia mishushumaa, marashi na sabuni.Huwaambia watu watumie hivyo vitu na waende kuoga kwenye mito, na kuwadanganya kwa nguvu ya shetani”.

Bwana aliongeza “yeye alifundisha mafundisho ya uongo ili tuu ajulikane kama mtu mkubwa wa Mungu”.[Efeso 4:14] Bwana alisema, “NILIMUONYA YEYE LAKINI ALIKATAA”.
Bwana YESU alimwambia mtu huyu “SIKUJUI WEWE”,YESU alilia kama mtoto; huyu mtu alikataa msalaba wa KRISTO tuu kwa sababu ya umaarufu.Sasa yupo kuzimu akiomba rehema kwa Bwana kutokana na uovu aliokuwa nao.[ 2 Timotheo 2:12,19].
Nataka nikueleweshe kuwa haijalishi hali yeyote usiamini au mafundisho tofauti na kwa hayo “Hutaweza kujitetea mbele za Bwana”.[Tito 1:16],[Yeremia 23:24].Watu wengi wapo kuzimu kutokana na mafundisho yao.[Wafilipi 2:5].

YUDA ISKARIOTE.
Nikamuona mtu mwingine akiwa kuzimu;,mapepo yamemfanya alale juu ya kitu kama chuma ambayo ni mfano wa meza,Walikuwa wakimuumiza na aina za vifaa mbali mbali.Nikaona chuma kikubwa ambacho pepo anakitumia kumtesea na kukitumbukiza kupitia kwenye tumbo la huyo mtu.Kilikuwa kinapita kwenye tumbo na huyo mtu alikuwa akilia kwa uchungu sana.

Mara akatokea pepo ambaye alikuwa ana kisu kikubwa cha chuma mkononi mwake, akakata katikati ya kichwa cha mtu huyo, mapepo kumi walikusanyika ,kulikuwa na funza wengi na n`nge.Walikuwa wakiingilia kichwa cha mtu huyu na baadae kurejea tena.Mtu huyo alikuwa akilia zaidi kama upepo wa ziwa.Iliniuma mimi sana kuona hayo.Bwana akaniambia, “HUYO NI MMOJA WA WANAFUNZI WANGU, YUDA ISKARIOTE”.

Nikauliza mapepo sababu ya kumtesa  yeye kiasi hicho,na pepo akaniambia “Kama asinge mfichua mtu huyu wa Nuru(YESUKRISTO) kwa watu ili wamuue , basi kazi ya wokovu isingedhihirika”.Mapepo yalikuwa yakipiga kelele yakimwambia, “Kwa nini umemsaliti?”,aliendelea kumtesa.[Mathayo 10:4],[Mathayo 20:18].

Unatakiwa uwe makini kwa kile unachokifanya usimsaliti YESUKRISTO ! “Ole wake mtu yule ambaye amsaliti Mwana wa Adamu !”.[Mathayo 26:24].Wale ambao wamejifunza kutoka kwa Bwana na kuelewa Neno la MUNGU wanatakiwa waruhusu “neno la KRISTO kukaa ndani yao”.[Wakolosai 3:16-17].Kwa yule ambaye anarudi nyuma,Bwana anasema “ROHO YANGU HAINA FURAHA NAYE.”.[Waebrania 10:38].Kama wewe ni mtumishi wa MUNGU jichunguze mwenyewe na utoe kikwazo katika maisha yako.---MOTO WA KUZIMU UNATISHA KWELI.

MFALME AHABU NA YEZEBELI.
Bwana alinionyesha mtu aliyekuwa amekaa amefungwa kwenye kiti cha chuma.Hicho kiti kilikuwa cha moto sana na chekundu kama kaa.Ingawa alikuwa akipiga yowe kwa uchungu sana badomapepo yaliendelea kumtesa na mikuki wakiwa na hasira kali.Mtu huyo akaanza kumuomba YESU nafasi yakutoka kwenye moto.Nikajiuliza huyu anaweza kuwa nani, Bwana alijua mawazo yangu na kuniambia mimi “NI MFALME AHABU”.
Ghafla nikamuona mwanamke ambae mapepo yalikuwa yakimtesa sana.Walikuwa wakimpiga na kwa mikuki alipokuwa akilia na kupiga  kelele.Bwana akaniambia, “HUYO NI YEZEBELI,NABII WA UONGO AMBAO ALIKUWA AKIWASHAWISHI WATU KUMTENDA DHAMBI MUNGU”.[Ufunuo 2:20].
Unabidi uwe makini kwa sababu kuna manabii wengi wa uongo,  wanaofundisha mafundisho potofu ambao kwa hayo mafundisho wajiwekea utajiri wao wenyewe.Waanajiita wenyewe waokozi na kudanganya watu kwa uongo wa shetani.KAMA WAKIKATAA KUTUBU,WATAKUWA NA NAFASI YAO KUZIMU YA MOTO.[ 2Wathesalonike 1:8]

MTOTO WA MIAKA SITA(6).
Nilimuona mtoto mdogo akiwa kuzimu,mapepo yalikuwa yakimtesa huyo mtoto kwa mikuki,Huyo mtoto alipotuona sisi alilia na kuomba msaada ili atolewe motoni, lakini Bwana akasema “MIMI SIO MUNGU WA WASIOTII”.Huyo mtoto alikuwa jeuri sana alipokuwa duniani, alikuwa akisumbua wazazi wake kipindi mchungaji anapotoa Neno.Wazazi wake walipomsahihisha aliwafokea.Aliumwana na alipokufa ,sasa yupo kuzimu milele.Bwana akasema,”HAMNA MTOTO ASIYETII ATAKAYERITHI UFALME WA MUNGU”.[Waefeso 6:1-2].

REVEREND PATRICK R. COONEY
Bwana alinionyesha mimi mtu mmoja aliyekuwa kuzimu,alikuwa akifahamika kama PATRICK COONEY alipokuwa hapa duniani.Mapepo yalikuwa yanakata kata mwili wake kwa misumeno, mateso yalikuwa makali sana.Walikuwa wakimkejeli na kumcheka na kusa pekee alilokuwa nalo ni kutokana na mafundisho yake.Alipelekwa kuzimu kwa sababu ya kuinamia mara kwa mara [inayosemekana] SURA YA MTAKATIFU MARIA.[Kutoka 20:3-4].

Ni huzuni sana watu wengi wanaishia milele kuzimu kutokana na mambo kama haya.Nilikuwa na huzuni kubwa na Bwana akaniambia “KAMA KWELI UNAHUZUNI, UTAWAAMBIA ULICHOKIONA”.
Unatakiwa ufungue moyo wako na kusema “hapana” juu ya uongo wa shetani.Tunatakiwa tutoke kwenye mafundisho yenye kumfanya KRISTO atukatae sisi.[2 Wakorintho 6:14-18], USIINAMIE KUABUDU  MTAKATIFU MARIA TENA.

KITENGO CHA WENYE KUJIWEKA KIKAHABA.
Niliwaona watu wengi katika hiki kitengo,Bwana akanionyesha picha zo walivyokuwa duniani nao kwa sura walikuwa wazuri lakini sasa wapo kuzimu ni wabaya sana.Mapepo yalikuwa yakiwatesa kwa kutumia mikuki kuwapiga na kuwabana sehemu zao za siri, walikuwa wakilia na kutafuta wafe lakini ilishindikana.[Ufunuo 9:6]
YESU alilia, nao watu walikuwa wanamuomba BWANA awatoe, nao walikuwa wakiapa katika maisha yao watafanya mapenzi YAKE kama wakitolewa kwenye moto, Lakini Bwana hachezi au kutania na NENO lililotoka kwenye kinywa chake[Wakolosai 3:5-6].Imeshaandikwa kwenye NENO kuwa yeyote anayetenda uovu hata urithi ufalme wa MUNGU[1Wakorintho 6:9-10].

KITENGO CHA WALIOSIKIA KUHUSU KRISTO NA WAKAKATAA KUTUBU.
Kuna watu wengi kuzimu ambao walisikia habari za wokovu,lakini walikataa kutubu dhambi zao.Nao walidhani watakuja mbinguni kwa kazi za mili na damu yao, Tofauti na hayo sasa wameishia kuzimu inayowaka milele[ 1Wakorintho 15:50].

Walikuwa wakilia, lakini Bwana alisema “walipewa neema kubwa ya kutubu dhambi zao pindi walipokuwa duniani lakini walisema ‘kesho’ na kuzidi kesema kesho!,kesho!.b aadhi walisema ‘hakuna moto wa kuzimu’.baadhi yao waliwapiga watumishi wangu niliowatuma kwao, na sasa wapo kuzimu wakiomba nafasi ya pili.....siwajui ninyi”.[Mithali 1:24-28].
Bwana YESU akaniambia, “niliwaonyesha njia ya kuepuka moto wa kuzimu lakini walinichukia mimi na njia yangu na kuchagua maisha ya kufurahia dunia.hata niliwapa ofa  ya neema walipokuwa wakitaka kufa lakini lakini waliiharibu”.
Bwana akasema tena, “walinichukia mimi na kupenda kifo .........sio kifo tuu cha duniani bali pia adhabu ya milele ndani ya kuzimu”.[Mithali 8:35-36]
Tubu kutoka kwenye dhambi yako kwa kuwa kuzimu hakuna kutubu.Wale wote wanaokataa kutubu wanatupwa kwenye adhabu ya milele.[Ufunuo 21:8].
KITENGO CHA WAKRISTO WALIORUDI NYUMA.
Kulikuwa kuna mateso makali sana kwa wale waliorudi nyuma na kumwacha YESU, Mapepo yalikuwa yakikata ndimi zao, wakikata miili yao na kuwapiga kwa silaha zenye ncha kali.Walilia kwa uchungu sana, walikuwa wakijilaumu wao wenyewe wakisema “oh,kwa nini niligeuka nyuma?,Alinionya lakini sikusikia !”.Mapepo huwaambia “kaeni kimya!,Aliwapa ninyi neema lakini mkaichezea.Hutaweza kutoka huku,tutawatesa mpaka hukumu itapowekwa!” .......na wakaendelea kuwatesa[Ezekieli 18:24].Mapepo yalikuwa yakiwaambia “u wangu milele”.

Tafadhali sana kama umeokoka usijerudi ulimwengu, wote ambao ni waKristo kuna hatari kubwa ya kurudi nyuma na kumuacha Bwana.[2 Petro 2:20-22].

SHIMO LANGU MWENYEWE
Bwana alinionyesha shimo langu kuzimu.Nilipatwa na huzuni , lakin Bwana akaniambia, “KILA MTU DUNIANI ANA SHIMO LAKE HUKU MOTONI(kuzimu), NA KAZI YA MAPEPO NI KUHAKIKISHA ANAKULETA HUKU KUZIMU”.Unatakiwa uwe na uhakika kuwa hutaenda kwenye shimo hilo kwa sababu ni la moto sana, moto wake ni kama asidi.
ENZI YA SHETANI
Tukatoka hapo na Bwana akanichukua mpaka kwenye enzi ya shetani.Nikaona mapepo katika enzi hiyo wakubwa,warefu,wanene na wapana.shetani alikuwa amejificha na ghafla akaniangalia mimi.Akaniita jina langu ,“’Senayon, umekuja hapa kuona siri zetu.Sitakuruhusu umshirikishe yeyote siri zetu! ,Nita kuuwa wewe, naapa”.Na Bwana YESU akaniambia, “USIOGOPE,  MIMI NI MAISHA YAKO”.[Isaya 41:10-11].
Ndipo mda mwingine tukawa hatuonekani kwa shetani, na Bwana akaniambia mimi “VITU VYOTE HAVIONEKANI KWA SHETANI,SHETANI HAJUI VITU VYOTE LAKINI VITU VYOTE VIKOWAZI KWA MUNGU”.

Kwa mara ya kwanza siku amini hiki kwa sababu duniani wote tulikuaga tunajua shetani ni mwenye nguvu sana.Bwana naye akajua mawazo yangu na akanichukua nyuma kwenye enzi ya shetani.Nikagundua shetani hakujua kuwa tuko pale nyuma.Bwana akaniambia “ITA JINA LANGU” na nikaita kimya kimya “YESU!” na nguvu isiyokuwa ya kawaida ikatikisa kuzimu na shetani akaanguka chini kutoka kwenye enzi yake.Ndipo shetani alipogeuka nyuma na tukawa tumeonekana, shetani aliita jina langu kwa sauti “SENAYON” na Bwana akaniambia, “IJARIBU NGUVU ILIYO KATIKA JINA LANGU”.na nikaamuru shetani kufa kwa dakika tatu(3) kwa jina la YESU,Nguvu iliyotoka katika jina la YESU ikatoboa roho kama kitu kama ukuta na mwili wake wote aliouficha ukaanguka chini.[Wafilipi 2:9-11].Na mara baada ya dakika tatu(3),Bwana akaiachia roho yake naye shetani akarudi tena na ule mwili wake uliojificha.Alipoinuka tuu alitoa sauti akiwa na hasira kubwa sana na gadhabu.Nikaona mapepo mengi yakimkimbilia na kukusanyika wakiwa na mishale mikononi mwao.Na wote wakaja kinyume chetu, ndipo nikaona mbingu imefunguka na nikaona mshale haswaa,kiasi kwamba kwa mshale mmoja unaweza kuja kuharibu mishale yote ya shetani.
Nataka niwaambie kuna nguvu katika jina la YESU kwa jina lake kila goti litapigwa.[Wafilipi 2:9-11],[Marko 16:17-19], [Yohana 14:14], [Yohana 16:23].Kuna nguvu katika jina la YESU,liite kwa imani na mapepo watakimbia kutoka kwako; lakini utapoita jina la YESU bila kutubu utakuwa kwenye hatari.

MALAIKA WALIO ANGUKA
Bwana alinichukua mpaka kwenye ukumbi mkubwa kuzimu, niliona mapepo waliofungwa chini kwenye siti.Bwana akaniambia hao ni malaika walioanguka,nika muuliza sababu kwa nini wamefungwa.Bwana akaniambia, “WANANGUVU SANA NA KAMA WAKIACHILIWA, WATALETA ROHO NYINGI KUZIMU, WANANGUVU SANA”. Bwana akaniambia “WATA ACHILIWA BAADA YA UNYAKUO KUSUMBUA DUNIA NA KUTESA WATU KWA AJILI YA ALAMA YA MNYAMA”.[ 2Petro 2:4].
Mmoja wa mapepo hayo akaniambia “Senayon, Bwana amekuonyesha ushuhuda mzuri lakini kama nikikukuta wewe duniani, nitakuuwa”.
Tulipotoka mahali pale nikagundua kunakitu kimeshika nguo yangu.Nilipotazama nyuma, nikaona pepo ndiyo aliye nishika nguo yangu na alitokea chini.Kwa sababu ya Nuru ya Kristo hakuweza kuja karibu yangu zaidi.

Bwana akaniambia “NI KUHANI MKUU WA SHETANI[Beelzebuli][Mathayo 12:24].Pepo aliniambia “hatuta kuruhusu kushuhudia na kushirikisha wengine na hutafichua siri zetu, tutaku ua”.
Bwana akaniambia “MWAMURU !”.Kwa hiyo nikamuamuru kwa jina la YESU kuanguka ndipo upepo mkali ukaja ukampiga mpaka chini na akarudi sehemu yake.Bwana pia akanionyesha roho za usumbufu, na jinsi wanavyonitumia silaha zao ovu za kishetani, lakini Bwana akarudisha zaidi kwao, na wakakimbia.[Zaburi 91:1].Kwa kadiri ya muda Bwana alivyokuwa akinishika mkono wangu, Uwepo wake ulifukuza hofu yangu, na sikuwa na huzuni kuhusu nikionacho.

SHANGAZI YANGU
Nikaona mwanamke kwa mbali akiwa motoni , mapepo yalikuwa yakimtesa sana [Nahumu 2:10].Alikuwa akilia  kwa kadiri alivyoniangalia mimi na nikamuuliza Bwana, “Huyu ni nani?”.Bwana akaniambia, “NI RUTI, SHANGAZI YAKO”[mzaliwa wetu wa kwanza].Alikufa miaka mingi iliyopita ,huzuni kubwa kiasi gani;alikuwa pale kwa sababu hakumjua Bwana.Sikuwa na furaha na nilikuwa nafikiri nami pia naweza nisiingie mbinguni.Bwana alijua mawazo yangu yote na kuniambia , “MIMI NI MAISHA YAKO”.Nilitaka aniahidi kwamba sitaishia kuzimu naye YESU akasema “....KAMA UNALIJUA JINA LANGU !”.Mara zote ameniambia “USIOGOPE,MIMI NI MAISHA YAKO !”.

KANISA
Kanisa linatakiwa liamke na livae silaha zote za MUNGU.Niliona kundi la mapepo, wamekusanyika na nikaona kitabu kikubwa mbele yao.Wakaanza kufungua na mara wakafungua kurasa na wakasema “Ndio,tunakwenda kupambana na kanisa”,wakafunga kitabu.Ghafla ,mapepo yasiyoweza kuhesabika wakatokea wakiwa na mishale mikononi mwao kuirushia kanisa.Nilishangaa , ndipo Bwana akaniambia, “HIYO NI MISHALE YA USINGIZI NA UDHAIFU, WANAITUMIA HIYO ILI WATU WANGU WASIOMBE, WASIFUNGE NA KUZAA KWENYE UFALME WANGU”.Mapepo yote yana lengo moja na lengo lao ni kupeleka watu kuzimu.Kanisa linatakiwa liamke, tunatakiwa tuombe kinyume na nguvu zisizo onekana zilizo panga kinyume na kanisa[Efeso 5:14].

Niliona pepo lenye nguvu sana,nalo lilijigeuza na kuonekena kama mwanamke mzuri ambaye alionekana mtaratibu na kama mkristo mzuri.Aliingia kanisa moja kumvamia kaka ambaye si muda amempokea YESUKRISTO.Alikuja tuu ili amtongoze huyo kaka ili apoteze wokovu wake.[Yoeli 1:14] “ Tuitishe kutano kwa kudhamiria kabisa na kulia kwa Bwana ili aamshe kanisa, kwa sababu wale walio lala wanapotea”[1 Wakorintho 15:18].
Kanisa linahitaji uamsho wa kiMUNGU, tujijengee maisha ya maombi na kuharibu kila mbegu ambayo Bwana hakuipanda katika kanisa.[ 2Wakorintho 10:4-5].Kuna mapepo wengi sana siku hizi wanaotenda kama watu.Wanataka kutongoza kanisa[2 wakorintho 10:13-15].Ili sisi tuweze kuwashinda ni lazima tuvae silaha zote za MUNGU[Efeso 6:10-18].Kumbuka hizi ni nyakati za hatari[2 Timotheo 3:1-7].

WAKRISTO WANAOMLINDA SHETANI.
Bwana alinifundisha somo na kuniambia, “WAKRISTO WENGI NI WALINZI WA SHETANI”.Nikajiwazia mwenyewe, “Inawezekana vipi kwa mKristo anayeomba kinyume na shetani amlinde shetani?”.

Bwana akaniambia “kuna vitu kwenye maandiko ambavyo nimeviwekea hatia.shetani anajua kila kitu nilichokiwekea hatia na anatendea kazi hivyo.Baadhi ya waKristo huwaambia wenzao ‘si dhambi’ huku ni dhambi.shetani anatafuta njia kuhakikisha kufanya dhambi  kama sio dhambi”.Kwa Mkristo pia anayesema “si dhambi” na huku ni dhambi, huyo hujiweka mwenyewe kuwa mlinzi wa shetani[1 Petro 3:3].

YESU akasema “nimeonya kuhusu mavazi ya kidunia, lakini baadhi husema ‘sio mungu alichomaanisha, ni imani yetu’.....baadhi husema kuvaa hereni sio dhambi,mwanangu sijasema tuu hereni lakini hata kuvaa dhahabu au siliva.wanaovaa ili kuupendeza kumwili”.[yakobo 5:3]. “Usihusike na muonekano wa nje unaotegemea vito(jewelry), au uzuri wa nguo, au mpangilio wa nywele”.Tuna uzuri wa aina mbili ,uzuri wetu wa nje na uzuri wa ndani.

Na usiwe muonekano wa kupaka rangi nywele, kuvaa dhahabu au kuvaa nguo ya mapambo[1 Petro 3:3].Bwana alisema “kama mKristo yeyote akisema ‘si dhambi’ wao ni walinzi wa shetani” na anayekuwa mlinzi wa shetani hawezi kuingia katika ufalme wangu”.
Bwana akasema “mwanangu, soma nilichokisema katika kitabu [Kumbukumbu la torati 22:5],nawaonya watu wanitii mimi, kwasababu mwanamke anapovaa mavazi ya mwanaume au mwanaume anapovaa mavazi ya mwanamke ,wanamlaani mungu wa mbinguni na dunia, akisema hayuko sahihi katika kazi yake”.
Bwana alilia na kusema “mwanangu,mtu anamlaani muumba wake, na bado nawapa neema ya kutubu.lakini kama mtumishi wangu yeyote akikataa kutubu, na kuendelea kumlinda shetani ,nitawatapika nje ya mdomo wangu” [Ufunuo 3:15-16].

SHABAHA YA SHETANI
Bwana aliniambia shabaha ya shetani maisha ya maombi ya mtu,Mara maisha ya maombi yakifungwa basi uamuzi  wako kwa MUNGU nao umefungwa.Mtu naye anaanguka na kuwa majeruhi pindi maisha ya kufunga na kuomba yamefungwa.
Unatakiwa udhibiti sana na kujiongoza katika maisha ya kuomba.Pindi maombi ya mtu yanapo athiri ufalme wa giza ,shetani hujaribu kutafuta njia za kuzima nguvu ili moto uwe mdogo na ufe.[ 1 Petro 5:8].

Bwana aliniambia, “Angalia mtu yule ambaye mapepo yanamtesa kwa hasira”.Bwana akaniambia, “Alipokuwa duniani kulikuwa sikuzote kuna mvurugano na maharibifu makuu kwenye ufalme wa giza pindi aombapo.Na Nilikuwa napenda hicho......maombi yake yalikuwa yanamzuia shetani na kuharibu mipango yake yote.”

Shetani na wajumbe wake wakaanza kutafuta shabaha ya kuondoa maisha ya maombi ya yule mtu. Na wakamshikilia kupitia kinyongo, chuki na uchungu katika moyo wake juu ya ndugu mwingine kanisani.Bwana akasema, “Nilimuonya, lakini alikataa kunisikiliza mimi”.Mtu huyo alipatwa na ajali na kufa,[Mathayo 5:44] na sasa yupo kuzimu ya moto.Kuna wanakwaya wengi wenye chuki ndani ya mioyo yao juu ya wenzao katika Kristo.Hii ni mara mmoja anapoonekana kuwa anakipawa kikubwa kuliko mwingine.Ndipo watu wanaendeleza wivu na majivuno kwa sababu ya hayo, wafanyayo hayo wako katika hatari ya kuzimu.[Mathayo 18:4].
MPANGO WA MUNGU.
Bwana aliniambia, “Mpango wa MUNGU ni mkubwa kwa mwanadamu.Na pale popote MUNGU anapokuwa na mpango na maisha ya mtu, mipango ya shetanini kuharibu ahadi na mpango wa MUNGU”.Nikamuuliza YESUKRISTO “Shetani anaweza kuharibu ahadi na mpango wa MUNGU kwa mtu ?”.

Bwana akasema, “NDIO”,na Bwana anielezea, “Kwenye kila mpango na ahadi ya MUNGU kwa mtu, mara zote kuna vigezo, na katika hivyo vigezo, kuna neema na rehema....Neema ni nafasi ya kufanya marekebisho kama mtu akivunja kigezo chochote.Rehema ni kwa ajili ya mtu kusamehewa na MUNGU.Shetani atahakikisha unavunja vigezo.Kipindi MUNGU ameweka ahadi na Abraham, Vigezo MUNGU alivyompa ni kutembea naye kwa uaminifu”.

[Mwanzo 17:1-7].Mungu anampango kwa ajili ya maisha yako na vigezo vimeandikwa kwenye maandiko[Wagalitia 5:19-21].Sio hayo tuu MUNGU mwenyewe atakwambia mengi zaidi.Usipoteze neema katika vigezo vya MUNGU na rehema itakunyanyua juu.[Zaburi 91:11-12].

MKE WA MCHUNGAJI W.F KUMUYI AKIWA KWENYE UFALME WA MUNGU.
Tukatoka kuzimu ya moto na Bwana akanichukua mpaka mbinguni.Nilimuona mwanamke mbinguni, alikuwa mzuri sana, alitoka nje kwenye nyumba kubwa sana nzuri naye ndiye aliyekuwa mmiliki wa nyumba hiyo !.

Alikuja kwangu na sura ya kutabasamu, mawazo yake yalikuwa nami nimefika mbinguni kama mkazi.Nilishangaa nikijiuliza anaweza kuwa nani kwa kuwa utukufu wa MUNGU ulikuwa umembadili uzuri wa dunia.Bwana akaniambia, “Ni mke wa mchungaji W.F KUMUYI, Mtumishi wangu”.Nilikuwa na furaha kwa kuwa alikuwa amejaa utukufu wa MUNGU.Mbingu ni nzuri sana sehemu yote ilikuwa imejaa utukufu wa MUNGU.
Bwana akanionyesha mimi mto wa damu, nao ulikuwa baridi na umetulia na ilikuwa kama bwawa la kuogelea, Popote tunapomtenda dhambi MUNGU na tukaomba msamaha na kutuosha naye hutuosha kwenye mtu huo wa damu.
Bwana akanionyesha tarumbeta zitakazotumika kwa unyakuo.Akaniambia , “UJIO WANGU UKO KARIBU SANA”.Tarumbeta zilikuwa zinang`aa na zimetengenezwa na dhahabu safi.Bwana alinionyesha maandalizi ya Unyakuo.
Bwana akanichukua mimi kwenda kwenye ukumbi mkubwa na nikaona watakatifu wengi akiwa wamevaa mavazi meupe kabisa, wakiwa wanaimba,wakimsifu MUNGU, wakipaza sauti kwa Bwana-Utukufu wa MUNGU ulikuwa kati yao.Mbinguni ni kuzuri, kulikuwa kunanga`aa kila sehemu kwa sababu mwanga wote pale ulikuwa utukufu wa MUNGU.
NYUMBA KUBWA SANA YA MWANAMKE, MBINGUNI.
Bwana akanionyesha nyumba nzuri na kubwa sana mbinguni, Nikashangazwa ni nani anaweza kuwa mmiliki wa nyumba hii.Bwana akaniambia “Ni ya mwanamke na jina lake ni Margret.Amevuna roho nyingi sana kwenye ufalme wangu !.Roho alizovuna haziwezi hesabiwa na mtu, Ni tuu MUNGU mwenyewe .Kazi yake imejenga hii nyumba”.
[Mathayo 10:7] Alisalimisha maisha yake Kwangu, na vitu vya duniani vilikuwa si kitu kwake, Sasa ameishia katika utukufu wa ufalme wangu.Mkristo yeyote anayekataa kuvuna roho(watu) kuja kwenye ufalme wangu hawezi kuingia katika utukufu wangu”.[Mathayo 28:19-20],[Mathayo 10:32].

NJIA YA KUZIMU YA MOTO.
Bwana alinionyesha mimi njia ya kwenda kuzimu, ilikuwa ina watu wengi katika ile njia.Baadhi wanaonekana kama wakristo lakini walikuwa wakiendea katika njia ya kuzimu.Baadhi wameshikana mikono, mume amemshika mkono mkewe huku wakielekea kuzimu, mke akimshika mkono mume,Wazazi wameshika watoto wao mikono na baadhi wakienda wo wenyewe.Na kulikuwa kuna mzigo mikubwa mgongoni mwa kila mmoja wao.Kwa kadiri YESU alivyo kuwa akiwatazama ndivyo alivyozidi kulia kama mtoto.

Niliona kitu kilichonishangaza sana mimi; Niliona kundi la watu nao walikuwa wanawake na walikuwa wakijaribu kwa jitihada zote kupita kuingia njia ya mbinguni, lakini nguvu ilikuwa ikiwarudisha nyuma kuwatoa.Ndipo Bwana akaniambia , “Kisicho kisafi hakiwezi kupita kwenye njia Yangu”.[Isaya 35:8-9].Nikamuuliza, “Kitu gani kisicho kisafi kwao ?” .Bwana akaniambia, “Ni mavazi yao, wanavaa hereni, weavon, mapambo kichwani mwao(attachments), mikufu, vito.Wanavaa nguo za kiume, wanajaribu hata kujiremba wao wenyewe---Wanataka kupita kwenye njia yangu.Hiyo HAIWEZEKANI ! utii ni bora kuliko dhabihu !”.....Akaendelea kulia.
[Isaya 3:16-24],[1 Petro 3:3],[Kumbukumbu la torati 22:5].Bwana akalia kwa uchungu na akalia kwa sauti kama mwanamke wodini.Ninyi mnaodhani unaweza kufanya vyovyote unavyodhani baada ya kumpa maisha yako KRISTO, Unajidanganya mwenyewe !.Usisikilize uongo wa shetani, unapozaliwa upya ,ya zamani yamepita [2 wakorintho 5:17].
NJIA YA MBINGUNI
Bwana alinionyesha mimi njia ya kuelekea mbinguni.Niliona watu lakini sio wengi kama kwenye njia ya kwenda kuzimu.Kwenye hiyo njia niliona baadhi wakiendelea mbele, baadhi wanasonga kwa furaha, na wengine wakicheza kumsifu MUNGU.[2 Wakorintho 13:9], [2 Wakorintho 12:9].

Muda kidogo nikagundua wako wachache zaidi na hakuna milima mirefu katika njia ile , ambayo mtu akifika hapo anatakiwa apande ndipo ashuke kuendelea na safari.Nikagundua kuna baadhi ya watu walisha vuka vile vilima lakini wanaanza kurudi nyuma, walikuwa wamechoka kuendelea mbele.

Kama wewe ni mKristo wa aina hiyo, umechoshwa na majaribu, shida,umasikini na vitu vingine vingi.Na unadhani uamuzi mzuri ni kuacha wokovu, hivyo acha na umrudie YESUKRISTO kwa kuwa u kama mtu aliyemkimbia jambo lenye kutisha tuu/hofu na kuangukia kwenye shimo la simba.Bwana bado anakuhitaji wewe,lakini unatakiwa uvumilie. “Tunatembea kupitia mateso mengi ili kuingia kwenye ufalme wa MUNGU”[Matendo 14:22].Rudi kwa YESUKRISTO naye atakuokoa !,Kumbuka mateso ya wale waliorudi nyuma kuacha kumfuata YESUKRISTO yalivyo kule kuzimu ya moto [Yeremia 3:21-22].

Niliona baadhi wamesimama wakiwa hawaendi,wapo tu wamesimama hapo hapo.Kama wewe umKristo wa aina hiyo unafikiri niendelee kumtumikia MUNGU au niache, Unabidi uache mawazo maovuna usonge mbele.Chaguo zuri ni kusonga mbele hivyo omba upata nguvu ya kuendelea mbele[Waefeso 6:18].

Nikaona wengine wakitambaa, walikuwa wakipenda kuendelea katika njia hiyo, lakini walikuwa wamechoka.Kama wewe umKristo wa aina hiyo unaogopa wazazi wako zaidi kuliko unavyoogopa vitu vya KRISTO, unatakiwa uache.Hii ni hatari sana na baadhi yenu wazazi wenu wanawatesa ninyi, wanawafanya ili mmtende MUNGU dhambi.Unatakiwa uombe na kusema “hapana” kwa maamuzi ambayo ni tofauti na mpango wa MUNGU, Bwana anasema, “USIOGOPE”[Mathayo 10:28].

Omba upate nguvu ya kusimama na kuanza kusonga mbele kwa sababu MUNGU wetu ni mwenye nguvu.Lia Kwake, naye Atakusikia maombi yako[Efeso 6:14-18],[Yeremia 33:3].YESU alilia kwa uchungu na ilikuwa huzuni--- Bwana akaniambia mimi “Kimetokea nini mpaka umekuwa na huzuni ?,Kama kweli una huzuni, ndipo utawaambia watu kile ulichokiona”.

TUBU SASA
Ni muda wa kutubu kutoka kwenye dhambi yeyote.Haijalishi ni dhambi ya aina gani ambayo umeitenda,MUNGU ni mwaminifu kukusamehe wewe dhambi zako zote[Warumi 10:9-10].YESUKRISTO anapenda roho yakona hataki roho yako iende kuzimuya moto[Habakuki 2:13].MUNGU alimtuma mwanawe wa pekee,YESUKRISTO kufa kwa ajili ya dhambi zako na zangu !,Yeyote amwaminiye Yeye hata angamia lakini atakuwa na uzima wa milele[Yohana 3:16].YESUKRISTO ni njia pekee  ,ya Kweli, na uzima na hakuna atayeweza kuja kwa Baba pasipo kwa njia ya YESUKRISTO [Yohana 14:6].

Tubu sasa na uokolewe[Matendo 17:30-31].Kama ukotayari kumpa maisha yako KRISTO basi omba sala hii:-
     Bwana YESU, Najijua mwenyewe kama mwenye dhambi , Najijua niko gizani, lakini sasa niko tayari kufanya kile onachotaka mimi nikifanye.Tafadhali nisamehe dhambi zangu zote,nioshe mimi katika mto wa damu yako, niponye,nitie nguvu,nipe uweza, na nguvu zaidi dhidi ya mwili na achilia ufalme wako uje ndani ya moyo wangu.Andika jina langu katika kitabu cha uzima na iwe furaha kubwa mbinguni juu ya wokovu wa roho yangu.Katika jina la YESUKRISTO nimeomba .Ameni.

Tafadhali nakuomba u SHARE kwa wengine nao wapate habari hizi za wokovu lakini ,Kwa shuhuda nyingi zaidi angalia kwenye www.jasirimbarikiwa.blogspot.com. Ubarikiwe !.



Testimony of Laura Wanma when the Lord Jesus took her to Heaven and Hell
LAURA WANMA (LALA) – 12 YEARS OLD, FROM 
INDONESIA – “Beginning with a strong desire to see Jesus since she was at the kindergarten school until she was 12 years old , the Spirit of the Lord came to her and took her spirit to meet Jesus. What she heard and saw, it is a true story indeed , nothing more or less. Please pray and ask the Holy Spirit to give you His wisdom and understanding before reading this testimony.”
00:00
LORD JESUS TOOK ME TO HEAVEN
March 17 – 07.00 PM

The first day of the Lord’s visit to LALA : During a praise and worship, my hands were lifted up by themselves, and I told my mother : “Mom, I cannot put my hands down, they are lifted up still. And I saw a lot of angels in the room, and suddenly there was a very bright light and from the light, there was Lord’s voice speaking to me. (Lord said to me that there will be a death of my closest family member, afterward the Lord spoke to me,” Go and tell your closest brother, that he has to return to Me, because I still have MERCY on him, for his life has been far away from ME. My brother had a problem with heavy burden in the family.)
March 18 – 07.00 PM On the second day, the Lord told me that I would pass the exam with good grades.
March 20 – 08.30 PM
While I and my mom were still worshiping the Lord Jesus , suddenly an angel came and took my spirit, we flew up, and then we stopped and stood on a rock. And the angel showed me several beautiful cities and , I could see : Nabire, Serui, Biak, Manokwari. The angel spoke to me,”God told you to go and stand in those cities to deliver a message from the Lord , THEY MUST REPENT because “THERE IS NO MORE TIME , JESUS IS COMING VERY VERY SOON” and I asked the angel: “Who are you? ” and he replied ,” I am Gabriel, an Angel of God.” Then the angel sent my spirit back into my body.
March 21 – 06.00 PM
While I was on my way from Abe to Entrop, I arrived in Kotaraja and was still in a taxi when an angel came, picked me up, and we flew over the city of Jayapura , and the angel said to me: “Try to look down!” and I saw a lot of people standing, they wore black clothes , covering them from head to toe. And their eyes are black and there is a fire in their eyes. I saw them everywhere, in the hospital, at the road sides, in the middle of the street, in the market, at the front of houses, they were everywhere. I saw their hands were holding large forks , then I asked the angel, ” Who are they?” And the angel told me that they were the angels of death. When we were still flying spiritually above the city of Entrop, I saw a group of young people drinking alcohol in the street, I was very sad because the death was surrounding them.
Afterward the angel said to me , “Lala, if there is something happen to you, and you feel uncomfortable, then you can call 2 names : “the BLOOD OF JESUS” and ” IN THE NAME OF JESUS” because this name is very powerful”
The angel took me and we continued to fly up through the clouds. I saw the earth below me became smaller and smaller. We flew on and passed through the narrow and dark tunnel, I was very scared and the angel hold me, then I saw a bright light and that was Heaven, I and the angel arrived at the gate, there were two guardian angels in front of the gate , the gate was decorated with pearls and crystals and it opened itself, then that both of us walked into the garden.
There was an opened door and through it I could see a long table was neatly arranged and it looked like there will be a party (Holy Communion) soon, there was an angel who stood behind each chair, each of the angels holding a trumpet in his hands, and it looked like they were going to blow the trumpet very soon. Then I continued to walk again inside the Heaven, in the garden I saw different kinds of trees and various kinds of fruit, I saw flowers which were very beautiful, the angel Gabriel came to me, and said: ,”Your time is up and you have to go back” and I spoke to him, “I am so happy here and I do not feel like going back because here I feel so peaceful”, and suddenly there was a voice coming from the Throne of Light and Glory , the voice said to me, “Lala, you have to return now ” and the angel Gabriel escorted me back.
From up above, I was watching over a red taxi which I was riding before, it was going and passed the local government office toward Entrop terminal. And the angel sent my spirit back into my body and I woke up and said “Halleluya!” All passengers were shocked and looked at me, they asked “Sister, are you okay ..?” I was really surprised because I was leaning on the shoulder of a passenger, and she rubbed some oil on my nose because she thought that I was fainting. I stopped the taxi when I reached the destination.
Around 11 pm while I was sleeping, an angel came and took me to the Lord, we entered the gate of Heaven, and I saw a man standing and He was wearing a very long white robe. He opened His hands to me, I walked toward Him and He carried me, and I know that He was JESUS, then we both walked in Heaven. The heaven is so wonderful and full of kinds of flowers, which I have never seen here on the earth. Everything is there, my heart felt very peaceful in that place, there are shady trees, bearing fruits, and there is also a very clear flowing river.

LORD JESUS told me “Lala, would you like trying to put your feet in the water?” and I put them into the water. God spoke to me again “You may drink the water.” (When I drank it , I feel so peaceful at heart) and the Lord Jesus spoke to me again “You can immerse your head into the water, and you will be able to breath.” What the Lord Jesus said was right. There were lots of fish came around me, I said to Jesus,” I live on the earth and I cannot catch the fish , they will flee when I do so.” Lord Jesus said to me ,” The fish here can talk to you, Lala.”
Furthermore, I kept walking with Jesus and I asked Him ,”How can You watch the world with the sins that the people have been doing ,while the world is too big, how do You see those?” Jesus told me to come with Him, and He was going to show me how. Jesus and me kept walking and He showed me, there was a large glass table and I saw the world was so small. I could also see what sins people did, I was surprised and saw someone that I know, I said to Jesus, “Lord, I can see below, my mother and me were lying in bed. Then He answered, “Yes, I know, there was also an angel standing in your room.”

I and LORD JESUS walked again, I saw there was a room and there were two angels standing there. There was a big book on the table, and I asked the Lord, “God, what kind of book is this? The Lord Jesus answered , “This is The Book of Life“, I asked again, ” Can I see inside the book, the Lord Jesus answered “Yes, you can.” And the two Angels were ready to open the book page by page , on the first page I saw the names of one family that I know, I saw it again and there was my brother’s name and I said to Jesus, “God, this is my brother and LORD Jesus replied,” Yes, I know his life. Now he is here and he is praising the Lord. The angel opened the following page, I saw the name of the person which I also know again and I said to Jesus,” This is my uncle”. Lord Jesus said, “yes, he is here.” I embraced Jesus and cried. Then Jesus and I continued to walk in the garden when I saw two people came toward me, the older one is around 18 or 19 years old while the younger one is 2 years-old, the little boy ran and hugged me but I felt he went through since we both are in spirit form.
The older boy who was 18-19 years old, looked so similar with my mother , they looked like twins, then I remembered my mother has told me that I had an older brother who has passed away since I was a baby, then I knew that he was my brother. After that, both of them went back to their own rooms.
Then I saw a beautiful flower, I ask Lord Jesus, “Lord, can I pick this flower ..? I would like to give it to my mother ,for my mother loves flowers”. JESUS said ” The time has not come yet for you to get the flowers and fruits from this place, My child!” and afterwards Jesus and I were still walking , when I saw a house whose door was open, I asked the Lord Jesus whether I could get into the house, the Lord Jesus said “Yes, you can.” When I got to the front door of the house, I could not enter the house because the floor was made of gold. I said to the LORD JESUS “Wow God, … The floor is very beautiful, gold is very expensive on the earth “, and the Lord Jesus smiled and said,” This is your house, there are some houses which are similar to this one. I asked, “God, may I go into the next house?” Then the Lord Jesus said, “The houses whose doors are closed, they belongs to others.” The Lord Jesus said, “Follow Me.”
THE LORD JESUS TOOK ME TO HELL
THE LORD JESUS held me and then we both flew into a wide tunnel. Lord Jesus and me kept on going along when I could smell very horrible odor and then I felt the air was very hot. Far ahead I saw a three-legged demon, and he hold a trident and when he saw Jesus, he bowed down. Lord Jesus and me continued to move on to a place and LORD JESUS allowed me to see a very deep well with full of men being tortured by devils. The devils tormented them until their flesh came apart but they could not die.

We walked again and then I saw a table  with a book on it and it was written “Adultery”.I  saw people naked in a lake of fire. They saw Jesus and called “Father, Father ” but  Jesus did not look at them. I still walked with Jesus, and we noticed there was a servant of  God.Then I asked Lord Jesus, ” God! Why is there a servant of God in the hell?”.  LORD JESUS said “I chose him, but he never delivered My message.” Then he saw Lord Jesus and shouted “Father, Father, please take me just for a minute out of this place, for I want to repent.” Then the Lord Jesus said to him, “It’s too late, now I’m using her as my servant.” while pointing to me.

And we went on, then I saw a lot of people being tortured, and Jesus said to me “These people were not faithful with the Tithe.”
And I saw again there were so many young people who were dancing on the nails to the rhythm of the music. If the rhythm of the Rock Music was heard, they had to jump faster and were not allowed to stop for a moment. If they stopped, the devils came and tormented them.
Then we went back to Heaven through the wide path. After arrived in Heaven, Lord Jesus said to me, “Lala, what you have seen, you have to tell My people.” And the Lord Jesus carried me and said, “Lala, you have to surrender your life in Me, you have to be baptized on March 25. And tell My servant, Ronald, I entrust him to write your book. ”
Then the Lord Jesus looked at Gabriel, and Gabriel bowed down to worship under the feet of JESUS. Then the Lord Jesus said to Gabriel, “Bring My child back.” And Gabriel took me and we walked to the gate and I saw another angel came and he spoke to Gabriel with the language which I did not understand, but Gabriel pointed to me and he looked at the Throne of GOD and so was the angel, Michael, and the LORD JESUS looked at us, then Michael bowed down and allowed Gabriel and me to continue our journey.
On our way back, Gabriel asked me, “What did you talk about with the Father?” And I replied, “There are a lot of things JESUS spoke to me.” And I asked the angel,” What do you do in heaven?” The angel answered, “I am the guard of our LORD JESUS, whatever the Lord Jesus asks me to do, then I do it all”.
As we got closer to my house, we walked and saw a lot of angels of death standing on the left and right side of the road. When we arrived, I saw one standing in front of the fence. And at the front door of our house there was one angel of God guarding the house. The Angel of Death was very nervous as he wanted to get into the house but he could not do it because there was an angel of God guarding our house. After that, the angel of death went to the back of the house and he tried to get in but still he could not succeed because there were two angels of God guarding the back door of our house. Unsatisfactorily, the angel of death tried to get in for the second time but he was thrown, fell down and disappeared like dust in the blowing wind. Gabriel escorted me back to my bedroom and my spirit went back inside my body physically at 06.00 am. Afterward, I returned to my daily activities as a student.
THURSDAY, March 22 – 07.00 PM
When we had a service in a house of our church’s member, the angel Gabriel came to pick me up and took me to the Lord Jesus. Then the LORD JESUS showed me the city that I had to go. He asked me to deliver the message to a Catholic church in Wamena.
FRIDAY, March 23, 09.00 AM
The angel came to pick me up and took me to the Lord. LORD JESUS delivered a special message for the Church in the village “Harapan” and said, “Tell the church, do not be too late for a service. Those who are always late, will not be a part of the Kingdom of Heaven. When the service is going on, none is allowed to stay outside the church, and send a message to the mothers whose children are still babies and toddlers, that they have to sit inside the church and listen to the WORDS OF GOD. Never let the children stay in the nursing room or day care room, everybody has to participate in the service even though all seats are full, for sitting on the floor should not be a problem. Everybody has to respect MY WORDS.”
During the day at the same time after we finished “prayer and fasting”, I delivered a message of the LORD JESUS to Sunday school teachers. On the way back home from the church, the angel of God took me to the Lord Jesus and He said to me, “Thank you Lala, that you have delivered My message to the Sunday School Teachers.” And He spoke to me again “On Sunday, you will have to deliver the message to the church members. You must not only deliver the message to the church and your family, but you have to deliver the message to other religions as well: Buddhism, Muslim, Hinduism, etc. since they also should receive salvation and deliver the message as soon as possible, because I’ll take you out to other cities.” (John 14, 6)
At 7.00 pm, the angel came to take me to the Lord, and the Lord Jesus spoke to me, “Lala, faster, faster, faster , run and tell all of My people, My Time is almost up! And the LORD JESUS showed me, the time of heaven. I saw the short hand pointed to a number and the long hand was very closed to it. However, I cannot see the number on the clock. LORD JESUS said to me, “Lala, run fast and send the message to My people, MY time is almost over”. And the Lord Jesus said to me again, “Lala, no angel has ever seen the time in heaven. I allow you to see the time of heaven so that you can convey what you have seen to My people. “
At 8.30 pm, the angel came to pick me and took me back to the Lord and the Lord Jesus showed me once again the time of heaven which is very short. LORD JESUS said to me, “Tell your classmates, your teachers, your neighbours, and anyone you meet. Tell them to repent and turn to Me.”
Saturday, March 24 – 01.00 PM
I was with my mother and my aunt. We were at Wilson Sentani family’s resident. At 1.00 pm, while my aunt were praying for Wilson family, and I again laid in the room, I saw the angel came, I could see the angel came because my spirit was out of my body and sat on the bed . I called the Angel to enter the room but the angel was standing there out the room and I called him once again. The angel pointed to my aunt who was praying. I called the angel once again, and the angel said to me “I cannot enter the room, (he pointed his finger to my aunt), since the servant is talking to the Father, so that I have to wait until she finished praying or say Amen “, then the angel came to the room and took me to the Lord Jesus. After we arrived in Heaven, the Lord Jesus told me a message to deliver.
At 12.00 pm, I found my body became heavy and wanted to sleep, because an angel would come to pick me , but my mom kept telling me to get my clothes ready for tomorrow morning service. Once I fell asleep, an angel came to take me to the Lord. And the Lord Jesus started to speak to me. “Lala, tell your mom to allow you to sleep when your body is heavy , because I want to say something very important”.
Then He reproved for the second time, LORD JESUS said “Lala, why did you forget what I conveyed to you, you should remember all of My message.” I said to Jesus, “God, please forgive me and the LORD JESUS answered “I will return everything when you testify.”
Sunday, March 25 – morning time
With the mercy of the Lord JESUS, I could stand and testified to deliver the message from the Lord Jesus to the church of Barachiel. After I finished with my testimony, I got myself water baptized (to die and rise with Jesus) and after the service, we were called to attend a meeting, which was going to discuss about a Revival service. I also participated in the meeting, and I saw an angel came to pick me up, and took me to the Lord Jesus. Jesus said,”Tell My servants, to go on with the Revival service, and I will go down to intervene.”
At 4:00 pm, I was still in the pastoral house, I was taken by an angel to see the Lord. LORD JESUS showed me, a big hole which was deep and dark. I saw there were a lot of people pulled into the hole, they tried to resist, but failed and fell into the hole.
March 26 – 02.00 AM
An angel came and took me to the Lord, the Lord Jesus said “I will use you as My servant until I come back, all duties and responsibilities I gave you , is not finished yet, but I will keep using you until I come back.”
At 06.00 pm as usual, an angel picked me up and took me to the Lord, again the LORD JESUS showed me a big dark hole. JESUS spoke with me, “The hole that you see, is the place where the unfaithful people are going into for 3.5 years of great persecution (Rev 13), while for My faithful people I will move them to a place that I have prepared, away from the eyes of the snake.”
At 08.00 pm, an angel picked me and took me to the Lord, and He said to me, “Lala, do not argue with your mom, never against my 5th commandment, that you have to honor your father and your mother.”
When I heard it, I felt guilty and cried. I also saw the LORD JESUS crying and looked so sad , I saw the tears dripping from His eyes. LORD JESUS said to me “Lala do not cry, I want you to listen and obey my 5th commandment (to honor your parents) so that you may live long and you are blessed. I want to use you amazingly and wonderfully. Then JESUS said to me, ” Delete all the worldly songs from your mobile phone”(James 4,4). And He continued “You should be more quiet at your school, how can I deliver a message to you, if you do not calm yourself down.” And I replied, “Lord Jesus, I can not calm down because friends always come bothering me and ask me to play, what if I do not go to school and just stay at home?” And He answered “No, you have to go to school.”
Tuesday, March 27 – 10.30 am
While I was having my school exams, the angel took me to the Lord, and the Lord Jesus said to me “THERE IS NO MORE TIME, you have to deliver the message to My people urgently.”

At 07.00 PM, being in a Worship Service , as usual an angel picked and took me to the LORD JESUS. I saw Jesus standing in front of the gate and waiting for me, once I got there, Jesus said, “You have to go to Wamena urgently and deliver My message to My people, they have to REPENT because time is up. You need to go there to Wamena.” Lord Jesus said with His sad face , with a downcast face and cried , His tear dropped and fell on a large glass table where JESUS can see everything that people say and do. I asked the Lord, “Why do you cry ?.” He did not answer my question but His tears kept falling on the table and I wiped the tears with a white robe that I wore. When I was in the Kingdom of Heaven, I always wore a white robe that I had never put it on before.
Then the Lord Jesus spoke to me and still crying, “Lala , tell My people urgently, they have to turn to Me quickly, Time is absolutely over.”
Lord Jesus said again,”I desire none ever be lost, but I want them all sitting on My lap.”

LORD JESUS BLESS YOU
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...