BRETHREN where exactly do you think you are going if you stop breathing right now?

 Assuming after dancing and rejoicing in your new mansion last night, you woke up this morning to rush and catch up with your daily activities as you are doing right now, and you saw your body still lying helplessly on the bed. You were shocked. 



You tried to pick up your iphone 6 to call your Pastor or relatives and you couldn't pick it up. You tried opening your wardrobe to pick some money you hid there and couldn't. You started crying but no one heard you. You try touching the gate to go out, but u just went right through it. You went outside and your house mates were chatting, but you were not recognised. 


After some minutes, you saw your house neighbours coming out of your room with a severe cry, hitting their hands on your brand new Range Rover Jeep.


All you could hear them saying is "HE IS GONE" or "SHE IS GONE".  You stood there watching them cry their hearts out in pain. So you asked yourself WHERE EXACTLY AM I GOING?


Your spirit started crying bitterly, because you were not prepared to start that journey so soon. BRETHREN where exactly do you think you are going if you stop breathing right now?


Are you aware of your final destination?

Remember your creator now because we have a place to go. So start preparing. 


I choose you to prompt every one for eternity and the only Lord and Saviour - JESUS CHRIST. 

HE alone can take you home (HEAVEN).

ZIPPORAH MUSHALA’S SECOND TESTIMONY OF HELL, RAPTURE, VISIONS,WARNINGS AND REVELATIONS FROM THE LORD.

Praise be to Christ the King for this great opportunity to share with you my spiritual experiences. 



Firstly I would like to share a brief background of how I came to know the Lord as I did not do so in my previous testimony. Being at a boarding school from 8th to 12th grade made me have a great chance of rebelling against everything my parents had taught me was the right thing for a Christian to do. 

I lived a double life and hated church and anything to do with God generally. If someone told me anything about God, I would roll my eyes in displeasure.

On August 31 2011, I suddenly started feeling strange. That night, my supper was tasteless and I felt like I was going to die. I could literally feel spirits following me but at that time, I did not realize that they were demons. After supper, I went and lay on my bed which was unusual for me to do at that time as I was a TV addict.

 I  then started going through the section in the news paper were people write in memory of their loved ones which was also unusual for me to do. For some reason that I didn’t know, I started pitying the late people. Maybe it was because I would join them that very night.

Even though my sister Rachael also lived a double life, she was more spiritual than I and so she told me that we should pray before going to bed but I told her, “Just what is the point in praying anyway?” We ended up praying but I did so with a half -heart. That night, I dreamt I was in a certain place with a lot of other girls. 

We were all wearing dark blue gowns and some men were tying ropes against our waists. I didn’t want to be part of what seemed like an initiation into Satanism and so I started crying and one of the men scolded me in my mother tongue, Lozi.

Suddenly, I woke up and I could feel a terrible pain around my waist were the rope had been in the dream. It was so horrible, I wanted to wake my sister up but I just stared at her and said nothing. My heart was stopping to beat slowly and I felt weak. 

I knew I was going to die. When you are about to die you just know it, I also suddenly knew I was going to hell. No one had to tell me that. I saw a pitch dark pit which looked endless with flames at the bottom. 

At that moment, I was so weak but all I could think of was “Lord save me.” I managed to whisper it and I suddenly regained my strength. At that moment, my sister woke up and told me a voice had woken her up that I was under satanic attack. She then prayed for me and the pain miraculously disappeared.

My holiday experience drove me to start reading the bible at school but one of my close friends and roommate would discourage me and say. “So you think you are now a real Christian, you are just wasting your time because both you and I are going to hell!” In November I read the testimony of Angelica Zambrano and I heard a voice telling me that her testimony was true even before I read it.

 I then allowed the Lord to change me and I received the baptism of the Holy Spirit on 2nd December 2011. From then on, the Lord has been giving me messages.

“Blessed is he that hears and acts positively towards the words in this testimony,” The LORD JESUS.

THOSE IN HELL FOR BEING ARTIFICIAL.

There was a white woman in hell. Even though the Lord had blessed her with long hair, she went and extended it. This woman was naked and in serious flames like looked like liquid fire. All she would do was scream, scream and scream. Her hands were lifted up and she said, “Am here because I used extensions.”

I saw another section of hell for those who change God’s image. Hell was pitch dark as usual and I only saw what I saw because it was the Lord’s will .

It must be understood that hell is a spiritual place and not physical so fire and darkness can exist at once there. This section of hell was rocky and there was no one in sight except for three demons in form of fearsome looking dragons.

 They wearing flying all over the place flapping their huge wings and screaming, “Uuh, uuh, uuh!” in attempt of making the place more lonesome. The place was fiercely hot and the people were in small pits in the rocks. 

The pits were just large enough to occupy them and they found difficulty moving either to the right or left. Their skin would fall off like it was made of plastic and their bones would be exposed. Then the process would then start all over again.

 These people were also continuously suffocating from the smoke of the intense fire and the stench of their own rotting flesh. They knew there were other people in that section but they were only worried about themselves and their families back on earth.

 Liquid fire would sprout continuously from these pits and there were groans from all over the place.

The Lord allowed me to hear the thoughts of one woman there. Her hands were and she was looking up to heaven with a frown on her face. 

She was thinking “Lord is my daughter being taken care of on earth? How I wish someone would tell her not put all those artificial things I made her to be doing” I understood that she meant artificial hair, painted nails etc. 

Please come back to the Lord and be proud of how he made you. The devil will entice you to sin on this earth but will laugh at you in hell and call you a fool. There is no chance of ever getting out of hell. Suddenly, one of the flying dragons pulled one woman out of her pit with its throat. 

I noticed that she had lipstick on. The dragon told her in a rough voice, “You fool! You loved the things of the world!”

YOU CANNOT BE ARTIFICIAL AND HOLY AT THE SAME TIME.

  I saw a girl in fervent prayer. She was kneeling down in her room with a bible in her hand. She was praying with fire. However, I noticed that she had on a short skirt, artificial hair, eye shadow, painted nails, tweezed eyebrows with eyebrow pencil on them, lipstick and heavy jewelry i.e. neck chain and earrings. 

I have listed these things because the Lord instructed me to do so.  There were also two demons with her in the room. One of them sat on her stuff making itself comfortable but the other remained standing. They were looking at her with mocking smiles and glee. 

The demon sitting down had a book full of names in its hand. These were the names of those on their way to hell. Glancing at her, it wrote her name down in the book. The demon standing pointed its finger at her saying, “You are lukewarm and God is going to spill you in hell.”

 She could not see or hear any of this but only the Lord and I. See 1Timothy 2:9- 10 and 1 Peter 3:3. The bible also says that which is highly esteemed among men is an abomination in the sight of God in Luke 16: 15.The Lord said, “They even want to expand parts of their bodies. They get boob jobs, lip jobs, add eyelashes on top of the ‘not so good ones’ which I made’ and add nails etc. They are shameful.”

YOU ARE EASY PREY FOR DEMONS WHEN YOU ARE ARTIFICIAL.

I had a dream. I was about to go into a shop when a girl of about nine came up to me.                             She just stared at me and said nothing. I saw demons in her in the spirit and before I knew it, the Holy Spirit took control of me and I began casting them out. The girl shut her eyes in an attempt not to look at me but after sometime, the demons were cast out. 

I stared hard at her to see if there were still any demons but I could not discern anything. It was not until I put my hand on her chest that I discerned that she had been delivered.

 The Lord brought to my attention her artificial hair that it would attract even more demons to enter her though she had been delivered. This can be found in Luke 11: 24-26.

 One day, I was evangelizing and I was wondering which verse I could use to show that artificial hair was sinful when suddenly, I saw a vision with the scripture 1 Corinthians 11:15 on it. It says that God gave a woman her hair as a covering.

WARNING TO THOSE WHO LOVE WALKING NAKED AND TO THE DANCERS.

           The Lord personally gave me the above sub-title. The Lord said, “It is a disgusting sight when I see women, even young adolescents making cleavages. They just love to expose their bodies. 

They are possessed with the spirit of nakedness. They just can’t dress up but they have to expose their legs in short skirts and bodies in trousers and tight clothes. Tell them to repent because if they don’t they will go to the centre of hell were there is the horror of horrors as they have heard this warning. 

Tell them to respect my temple because they did not create themselves but I the Lord of Lords did!” He screamed this in anger with a clenched fist and tears trickling down his holy white garments.

           “The devil has not only possessed women but the men too. They wear a pair of trousers and drag it down and they think it is cool (Sagging). 

The men  plait their hair and also make all sorts of lines in their heads with shaving machines when they shave it (shades in the hair).Their portion is the section with  pits in hell if they do not repent. 

However if they hear this warning and do not repent, they’ll regret the day they were born in the centre of hell. That is not enough, they bounce about like balls with pride .

The women also develop pride because of their clothes and treat others like dirt. These days,  most people no longer even go to church to worship but to interact, show off their clothes and find what they like to call ‘love’ from those of the opposite sex. Tell them am waiting for them to repent with real undying love and I’ll never turn them away.” 

           To the dancers and those who sing or listen to non gospel music or gospel rap, rock, reggae or any other worldly beat. “The devil is timing you. 

He is giving you spiritual sleeping pills.” I saw a music concert and everyone there was covered by one big hand. The hand of Satan. It left a whitish jelly-like liquid on top of their heads. 

The Lord said,“The stuff he leaves he leaves on their heads makes worldly songs irresistible to them and they just can’t get enough. He hopes to catch them in their slumber and throw them to hell.”

            The Lord said, “Many will hate you for this testimony but remember that God’s people were never loved from ages past because they always spoke the truth. 

I will be with you and will love you more than they can ever love you .They will call you many names and even say you have ran mad and that you are an extremist. They will even use scriptures to discredit your testimony but don’t worry; Satan also has his own agents. Do not say anything in defense but remain silent.”

THOSE WHO LIVE A DOUBLE LIFE.

        “They love to praise me with their lips but their hearts are far away from me. They say they are Christians but want to live a double life. 

They read testimonies about how I want holiness of the outward and inner man yet they do not want to obey. They love to listen to those who comfort them that they are not sinning and they comfort themselves that they are not the only ones doing what they do. 

Tell them that in hell it is each man for himself. They use my temple to do right and wrong. As it is now in their state, they do not belong to me but to my enemy .Their punishment will be far worse. Tell them to repent. 

I the Lord love them and it is not my desire that they should go to hell. I do not force myself on any one let them not obey me if they do not want to because I want obedience from the heart. 

I do not take pleasure in those who serve me with undecided hearts. I would rather have one person serving me in truth and spirit than the whole world serving me with undecided hearts.”

         THOSE WHO LOVE TO TALK CARELESSLY.

 Those who love to speak without care, love or consideration. “They cut others with their                                             words. They have led many to commit suicide and give up on life or abandon their faith. 

They make others unhappy. They also speak negative words against me, my holy angels, Christianity, and my holy people. 

The most horrible kind of worms will bore their tongues and demons will give them the worst kind of torture, Come back to me. They also use frustration as an excuse to say all kinds of negative things against me.

 They say, “God has failed me!” “God doesn’t care!” among other things when the bible says God cares and he can never fail you. Sometimes, they are just not patient for God to do what they ask or their lives are not right. Tell them to be careful. 

I am not mortal as they are. They also speak lies and call them ‘little lies’ and normal. Their ‘normal’ and ‘little lies’ have a big punishment.” The Lord also said, “Do not keep grudges or hate each other. How can you expect me to forgive you if you do not forgive others?”

A MAN OF GOD IN HELL.

 I was in hell again and I saw a man in flames .A lot worms were crawling all over                                                          him. 

He was sort of drowning in the flames as he would stand up and fall on his knees again. The Lord was holding my hand as hell is so horrifying. I recognized the man and screamed in horror at his identity as I had thought he was in heaven.

 I loved this man when he was on earth and believed with all my heart that he was in heaven. I had always imagined him in green gardens and never in flames. The man is Mark Woodman. 

He was a staunch Adventist and did a lot in exposing the kingdom of darkness. I told the Lord, “This man can’t be here because he was a good man. What is he doing here?” I asked him in tears. 

The Lord said, “My child, cursed is he who obeys the law because they deny me.”Galatians 3:10. When I saw him there, my world came crumbling down as I had always admired his zeal for God’s work. 

I asked the Lord why he kept giving me revelations of famous people in hell as they were so hard to deliver and received many criticisms and he told me, “It is because I have given you the courage to do so.” May the Lord have mercy on us all. 

Please do not confuse this with holiness requirements. The laws of the Old Testament like some foods are forbidden were never given to us in the New Testament but God tells us in the New Testament that he requires holiness outwardly and inwardly. They are not laws but simply requirements.

DOLLS, CARTOONS AND SECULAR TV.

I saw a baby pram with a lot of teddy bears. There demons inside them. These demons                were happy and mocking humans. They were saying, “Look just how easy it is for us to have access to human beings. 

The baby who will have this pram will be our toy.”And they all laughed loudly giving each other a high-five. The Lord also let me hear George in the cartoon Curious George. He was talking sweetly and innocently in the cartoon but would laugh loudly and sarcastically in the back ground at the people he was deceiving. 

The Lord has several times warned against secular TV. He said that even if one was watching Christian TV, they should ask for guidance from the Holy Spirit as the devil is a deceiver. “You may not even be aware but when you watch secular TV, your souls is in the hands of demons and they do as they wish.” 

The lord also showed me that some demons are also turned to clothes do not be intimidated. Jesus has power over the devil, just pray. 

Jesus also forbade the buying of clothes with evil, seductive or unholy drawings on them. The Lord also revealed that sometimes, a substance to make people resist fasting is put in food.


THEY CLASSIFIED IT AS NOT SIN AND WERE GREEDY WITH THEIR MONEY AND POSSESSIONS.

I was praying recently and I saw a demon stark naked walking on one of the corridors in hell. It had the characteristics of a male and female at the same time. 

It was ugly and horrifying to look at. On one side of the corridor were cells. There were a lot of people covered with flames and worms in the cells. 

They were all rushing and stepping on each other in an attempt to escape the cells. They all wanted to come to the front. These people had the number 666 embedded in their foreheads with something that looked like a tough metal. This metal went way inside their heads until the back. 

Worms and snakes would unwrap from the metal and fall inside their skulls. They would scream horribly “ahhhhhhhhhhhhh!” in torture, falling down. 

The demon took pleasure in their torments and laughed loudly, with some human flesh in its mouth .It then got a thick metal poll and began crushing one man’s head. The Lord said, “These are those who did not want to help those in need even when they were capable. They were greedy with their possessions and so demons will be greedy with their flesh.” 

He continued, “They also convinced themselves while knowing the truth in their hearts that some things were not sin for example, they classified trousers as not sinful for women because they cared more about pleasing the world and themselves than they did about pleasing me.

 They repeatedly committed ‘little sins’ but no sin is little. I will not favour anyone.”

 

THOSE WHO BOWED DOWN TO LUCIFER

Those willingly who serve Satan on earth .Some will be thrown from a high cliff into boiling lava. I saw a demon dragging a woman to a cliff. 

As he drugged her, tiny insects whose sting was like fire infested her legs and were climbing all over her. She was in so much pain that she looked lifeless and made no resistance to the insects. The huge demon muscular demon threw her over the cliff with one hand like a rag .

PA huge snake with thorns in its mouth was waiting for her down the cliff in the lava. It would not burn. Before she could even reach down, it swallowed her and she passed through the body of the snake till she came out at the end. 

Her flesh could bearly be seen, only bones stood. Before she could even take a breath, the seething lava carried her into a tunnel and I saw no more of her.

THOSE WHO MAKE UP THEIR OWN TEACHINGS AND DO NOT BELIEVE IN THE AFTERLIFE.

“These stubbornly adhered to their own teachings contrary to the bible. They used science and reason to dispute the existence of God and the afterlife mostly to comfort them. Most of them knew in their hearts that they believed a lie.” 

I saw a lot of people on their marks as if ready for a race. At the end was one apple tree with no fruits. There was only one apple at the foot of the tree. 

At a demon’s whistle, they all ran at top speed for the one fruit even hurting each other in the process. When they reached the destination however, there was nothing but huge wheels which started spinning at top speed with the people on them. 

Heads were being cut off and bodiless heads were just bouncing all over the place screaming “Nooo nooo nooo!” One demon holding a huge garden fork was standing by watching and it gave a soft laughter. It crossed its legs while turning an ‘apple’ round and round in its hand and said, “Humans, so easy to deceive.” 

The Lord also said that on the gate of hell, the words Welcome To Hell are written because in his word, it is written, ask and you’ll receive, seek and you will find. Knock and the door will be opened to you. 

He said it is because you are being welcomed to the place you were seeking on earth.        

                             

THE RAPTURE

I saw people going up in the rapture. I noticed that they were all wearing pure white garments and had the words, JESUS FREAK written on their foreheads. The Lord said,“They call those who want to serve me in truth, spirit and holiness Jesus freaks. Tell them that only those Jesus freaks are going up in the rapture when I come .People will be shocked that I came. 

They will say, “We did not think he would come so soon.”

 During prayers at church one day, I saw a mob of demons exiting hell for earth. They told me, “We’re going to stop the rapture.” I told them, ‘You can’t stop the rapture” and then thy replied, “Then we are going to stop people from going in the rapture.” 

With that, they made for a certain street and started hugging people from behind. If the person’s name was John, the demon would also have the name John written on its forehead. 

This meant that that demon was assigned to this particular person. The demons began to whisper to the people they held captive, There is no “God, There is no rapture and Just enjoy the world a little bit.” After saying this, the demon would withdraw from the person and laugh secretly with its hand over its mouth. 

One of the deceived people then began shouting loudly, “There is no God!”

 

PEOPLE WILL REPENT

I saw a group of youth walking in the tunnel to hell. They were singing one popular song in one accord. 

They also stubbornly said it that they loved the fact   that they were going to hell. Suddenly, most of them turned back and started looking for something in desperation. 

I asked them what they were doing and one of them said, we are hungry and thirsty for the Lord. The place they were looking in seemed dry and barren but they were finding green pastures Isaiah 49:9. 

The Lord told me, “The world is barren in my world but there are a few green pastures.”

ENDING REMARKS

To whoever will read this. Please heed the Lord’s plea today as you only have chance here on earth. 

The devil so desperately wants your soul and has planted demons to bring you down. Ask for the baptism of the Holy Spirit and you will be saved. 

Jesus told me to tell you that he loves you more than you can ever imagine. May the Prince of Peace bless you.


Zipporah Mushala

**********#############################***********************

For more testimony check on ; www.jasirimbarikiwa.blogspot.com ,please SHARE to other so they may be awaken too.

*16 BAD CHARACTERS OF WEAK & DISORGANIZED CHRISTIANS.*



❌1. They go to work early but come to church late.


❌2. They beg their boss when they err but threaten to leave church whenever there is a misunderstanding.*


❌3. They work hard to be promoted at work but treat the work of God with levity.*


❌4. They pay all their dues in the workplace but refuse to pay tithe and offering in the church.*


❌5. They buy costly things for their boss to get favour but can't even buy airtime for their pastor.*


❌6. When they are not going to be in the office, they take permission ahead from their superior; but expect pastor to pay them visits when they miss church without notice.*


❌7. They fear and respect their boss than their pastor and even sometimes more than God.


❌8. When they are sick they manage to go to work but they cannot manage to come to the church where they would have received their healing.*


❌9. They take official query serious but handle divine rebuke with disdain.*


❌10. They tolerate their colleagues in the workplace but cannot tolerate the brethren.*


❌11. They turn off their phones at workplace, but use calls to distract other worshippers in Church.*


❌12. They can work overtime in the office but get offended at the pastor if he's not closing at the stipulated time. 


❌13 They dress very well when they are  looking for work or going to the office, but dresses anyhow to seduce the brethren in the church.


❌14 They keep their workplace very clean, but dirty the house of God. 


❌15 They build mansions of house and decorate it with their resources. But never care what is lacking in the house of God.


❌16 They obey their boss but disobey God’s word.


If you're guilty of any of  these👆👆 Ask God for mercy and live a fulfilling life for Him alone Who owns your breathe and everything you have.*


Don't read this alone, bless someone by sharing it, that's another means of winning a soul for Christ.


ATEMBELEA KUZIMU – Fabiola wa Madagaska -Sehemu ya pili (2)

USITENDE DHAMBI KWA MAANA KUNA KUZIMU AMBAKO “KUNA FUNZA WASIOKUFA, NA MOTO USIOZIMIKA”

 (Isaya 66:24b). Malaika akasema, “Twendeni kuzimu. Ikiwa watu 1000 watakufa ulimwenguni kote kwa dakika moja, watu 10 wataenda Mbinguni lakini wengine wataenda Jehanamu. 


Malaika na mimi tulikuja Kuzimu. Kuna pengo kati ya Mbingu na Moto. 

Yote yanayofanyika Mbinguni yanaonekana kutoka Kuzimu kama ilivyoandikwa katika Zaburi 23:5 Unaandaa meza mbele yangu Machoni pa adui zangu.


Malaika akaniambia, “Sipendi kwenda hapa kwa kuwa nina huzuni na hapa ni mchafu na ninanuka. Watu hapa pia wanalalamika na kuteseka. Wanawake ndio wana uwezekano mkubwa wa kuja hapa kwa sababu ya chuki na uvumi juu ya marafiki na matusi.


 Kuzimu hii ni shimo la giza na chafu na yenye harufu. Kuna aina nyingi za watu katika Jahanamu hii ya moto lakini wako wenye dhambi wengi, watu wasiotubu ambao hawaachi matendo yao maovu, wanaijaza Jahanamu hii ya moto. Imebainika kuwa kuna aina mbili za Jahanamu: Moto wa Jahannamu na Moto Mkuu.

 Hapo wote wanangojea kuja kwa Bwana kuwahukumu watu wote.” MOTO WA KUZIMU Jehanamu ni mahali penye giza na uvundo na mahali pa mateso kwa wakosefu na wasiomcha Mungu. Nitaorodhesha kila nilichoona hapa. 


Kwanza kabisa, mahali hapa pamejaa sana wanaume na wanawake wakiwa wamesimama wima huku kila mtu akiwa mstarini kwa sababu ya njia nyembamba. Lakini bado kuna maelfu ya watu wanaokuja kila dakika, lakini wana hasira sana, kwa sababu mara tu hatua moja, wote wanapigana na kulaaniana kutokana na vikwazo vya nafasi.


Ikiwa mtu yeyote atawaua juu ya uso wa Ardhi na kuwafanya waende Motoni, na kwa bahati, muuaji pia anakuja hapa, na wanakutana, kila siku wanapigana kila siku na kusema, "Kama hukuniua, ningekuja hapa, lakini huenda bado ningekua hai. Ningeweza kutubu na kumtumikia Mungu, lakini kwa sababu uliniua nimekuja hapa.” Sio mtu mmoja lakini watu wengi wanasema kitu kimoja.


Walevi daima hunywa maji ya moto huko. Koo zao zinauma lakini haiwezekani waache lakini lazima wanywe kila mara wapende wasipende. Wavuta sigara huvuta sigara hata wakati midomo yao imevimba, lakini daima wanalazimika kuvuta sigara.


Inafanywa milele. Kama vile uvutaji wa tumbaku unavyokula vumbi, lazima kila wakati kula au kumeza vumbi milele. Wacheza kamari daima hucheza kamari milele. 

Wacheza densi wanacheza kwenye moto na hawaruhusiwi kuacha kucheza hata dakika moja milele. Waimbaji huimba na kipaza sauti mikononi mwao ambayo hugeuka kuwa nyoka na kuwauma milele. 


Wazinzi, kwa upande mwingine, hulala kwenye kitanda cha moto, na nyoka mkubwa aliyejaa miiba ya moto. Nyoka mkubwa huzini na mzinzi, na huingia na kutoka ndani ya mwili wake milele na milele. Mwabudu sanamu hupigwa na shetani kwa fimbo iliyojaa misumari. Anapoachiliwa na kujaa mashimo, minyoo huingia kila shimo kwenye mwili wa mtu. 

Analazimishwa na shetani kuning'inia kichwa chini juu ya nguzo ya moto. Wachezaji kandanda wanalazimika kucheza mipira ya moto milele. Wanariadha ni watumwa wa michezo yao milele walipofika huko. Watu wanaopenda pesa, ponografia, matusi na wasio na dini, kila kitu walichofanya Duniani, wataendelea kufanya kuzimu milele.


 Ikumbukwe kwamba katika Jehanamu hii ya moto, moto ni mkali sana kwa miale mirefu ya takriban mita 20 inayowaka na kuwatesa. Kila mtu huko anateseka kweli na kusaga meno. Moto wa kuzimu ni ziwa la matope meusi ambayo yananuka hadi vilindi vya kiuno cha mtu. Udongo mweusi umejaa minyoo ndogo hadi koo au shingo ya mwanamume.


 Nakwambia minyoo huwaambukiza watu wa huko. Wanaingia na kutoka midomoni, puani, machoni na masikioni mwa watu waliopo. Mapambo yote ambayo watu huweka juu ya Dunia yanageuka kuwa minyoo kubwa, yenye miiba.

 Kuna huyu mwanamke mmoja kweli analalamika sana maana alijipamba Duniani kwa urembo, hivyo sasa hereni na vito vyake vinamtesa, vinabadilika na kuwa minyoo inayomchoma na miiba mikali mwilini.


 Mkononi mwake kuna pete na bangili lakini hizi pia zimegeuka kuwa minyoo yenye miiba iliyotia nanga kwenye sehemu za ndani kabisa za mwili.


Mnyororo ni uleule, ukibadilika kuwa kijiti cha miiba kinachoshuka kifuani mwake, ambacho hakiondoki, bali kinamtesa milele. Na mwanamke huyu ameweka nywele zake kwa moto, na baada ya moto kumteketeza, nyoka huanza kulamba kichwa chake. Nyoka hawa wanaouma na minyoo ya mateso wote huwaka kwa moto na hutoa harufu mbaya na matope.


Kwa wale wanaopenda kuchora nywele zao au kuongeza vifaa kwenye nywele zao nywele zao zitachomwa. Nyoka hupiga vichwa vyao, na minyoo wengi wadogo, wachafu hukaa juu ya vichwa vyao na hawaondoki kwao milele.


 Zaburi 9:17 Waovu watageuzwa kuzimu, na mataifa yote wanaomsahau Mungu. Isaya 66:24 Nao watatoka nje na kuitazama mizoga ya watu walioniasi; maana funza wao hatakufa, wala moto wao hautazimika, nao watakuwa chukizo kwa wote wenye mwili. Waimbaji wa ulimwengu huning'inia vichwa chini kwenye vigingi vya makaa. Ni jambo la kuchukiza kwa sababu wao pia wanaungua kwa moto wa makaa. Wachawi na waabudu masanamu nao wanateswa vivyo hivyo. 


Niliona waimbaji wengi wa Kimalagasi pale. Wanateseka sana na hawawezi kusema kwa vinywa vyao au kuona kwa macho yao kwani midomo, masikio na pua zao zimejaa minyoo, moto, nondo zinazonuka, nyoka. Wanadamu wana kelele sana shetani anawadhihaki na kuwapiga. 

Mwanamke mmoja aliniita kwa bahati mbaya, "Niokoe." Nikaona shetani amempiga kwa msumari mkubwa na mkali sana. Ibilisi aliniambia, "Mwanamke huyu alikuwa akifanya uchawi, uchawi, na uchawi kwa miaka 31.


 Mwanamke huyu mjinga hakutubia uovu wake, na sasa anapokea malipo yake aliyoyafanya. Haya ni matokeo ya kazi yake.” MOTO MKUBWA Moto Mkuu ni mahali pa Wakristo walioanguka. Imejaa moto unaowaka na minyoo na nyoka na harufu mbaya. Mara tu tulipoingia mahali hapa, tulimwona mwanamke aliyekuwa amepagawa na pepo wengi.


 Nilipomtazama, nikagundua kwamba alikuwa kipofu kwa sababu alisoma Biblia lakini hakuiweka moyoni. Masikio yake yalikuwa viziwi kwa sababu mara nyingi alisikia Neno la Mungu lakini hakulitii maishani mwake. Alikuwa kiziwi na bubu. Alisali, lakini sala yake ilikuwa ya unafiki. Mdomo wake ulipigwa na makofi ya nguvu.


Mkristo anapokuja kwenye tanuru hii ya moto, wanyama wote na mapepo huinuka ili kumdhihaki. Kumpeleka mahali kwanza, mashetani humjulisha maombi yote na kazi ya Mungu aliyoifanya hapa Duniani, ikiwa ni pamoja na kujitolea kwake kwa Mungu. 


Ibilisi humrudia kazi zote za Mungu alizozifanya na maneno ya Mungu ambayo amekuwa akihubiri daima. Zinamkumbusha tarehe aliyobatizwa na ahadi aliyotoa mbele za Mungu. Kulikuwa na mwanamke ambaye alikuwa akinifahamu aliniita kwa sauti na hivi ndivyo aliniambia, “Jina langu ni Marceline. Mimi ni mfuasi wa kanisa la uamsho.


 Nimekuwa nikimtumikia Mungu kwa miaka 8 na mimi ni mwangalizi muhimu sana na mkono wa kuume wa Mchungaji wetu. Majukumu yangu yalikuwa kuandaa matoleo na kutunza fedha za kanisa, mwombezi na kiongozi wa wanawake wazee, kufunga kila Jumanne, kutunza karatasi za kanisa, kusafisha kanisa na huwa kila asubuhi saa 5 asubuhi.


 Kwa sababu nilikuwa na kiburi na mchafu na mkatili, sasa unaniona nije hapa. Bwana aliniambia, “Katika muda wa miaka 8 ambayo umekuwa ukiomba, Marceline, hujauona uso Wangu hata kwa dakika moja kwa sababu ya kiburi na uchungu wako. Unafikiri unafanya kazi nyingi ili urithi Mbingu, lakini wewe ni mchafu moyoni.” Kisha nikafungwa na kutupwa hapa, na sasa unaniona hapa. 


Tuko wengi hapa. Jihadharini na wenye kiburi na wachafu wa moyo na kuwa wanyenyekevu." Nilishtuka na kuogopa sana aliposema hivyo kwa sababu nilimfahamu mwanamke huyu, na nilimkuta ni mwanamke wa dini sana. Aliitwa hata mchungaji na shemasi na mtunzaji.


 Nilipokuwa nikitafakari, malaika akaniambia, “Je, hukusoma hili?” Neno la Bwana katika Mathayo 7:21 Si kila mtu aliyeniambia, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni, bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni. 

Na katika Mathayo 5:8 “Heri wenye moyo safi, maana hao watamwona Mungu” na waovu wa moyo hawatamwona Bwana, nao watakuja hapa kwa ajili ya uovu wao. 


Marceline alisema, “Jihadhari na kuwahukumu watu waadilifu, na usijisifu, hasa juu ya kiburi na uchafu, na ukosefu wa utakatifu. Unaweza kuona kilichonipata sasa. Nimetupwa hapa. Si kufanya kazi ya Bwana katika kanisa, hata iwe kubwa au ndogo kiasi gani, ndiko kunakokuokoa bali kufanya mapenzi ya Baba aliye Mbinguni.”


 Kama ilivyoandikwa katika Mhubiri 12:13-14 na tusikie mwisho wa mambo yote: Mche Mungu, nawe uzishike amri zake, maana kwa jumla ndiyo impasayo mtu. 14 Kwa maana Mungu ataleta hukumuni kila kazi, pamoja na kila neno la siri, likiwa jema au likiwa baya.


Amekwenda na macho yake yalikuwa hafifu, hata haoni. Naye akaniita, nikamjua. Ni vyema kutambua kwamba Wakristo wengi wanaokuja kwenye Moto huu Mkuu wana maisha ya maombi lakini bado wanatenda dhambi. Watu hapa wanateseka na kulalamika na kudhihakiwa na kupigwa na shetani. Kila mtu katika Moto huu Mkuu ni Mkristo - wanafanya kazi ya Bwana lakini si mapenzi ya Mungu na wamepotea hapa. 


Wachungaji wengi huja kwenye Moto huu Mkuu katika Kuzimu. Sikiliza kile mchungaji aliniambia, “Jina langu ni Gilbert. Mimi ni mchungaji na mtoaji pepo, nikihubiri ukweli wa neno la Bwana. Ninatoa zaka, mimi na mke wangu tunatembea katika haki, na nimeijenga nyumba ya Mungu na kuifanya kuwa nzuri. Niliacha pesa na mali na nyumba.

Nilikuja hapa kwa sababu ya uchungu wa moyo wa mfanyakazi mwenzangu kanisani. Simpendi sana lakini anafanya kazi na mimi. Kwa sababu hiyo, nilipuuza mayatima, wajane, na wapendwa wangu.

 Nilihukumu makanisa mengine na kuwashutumu wachungaji wenzangu.” “Vijana wengi wamepotea hapa kutokana na ukosefu wa utakatifu katika kuchagua mavazi yao.


 Imeandikwa katika Kumbukumbu la Torati 22:5 Mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyaye hayo ni machukizo kwa Bwana, Mungu wako. 

Wengi walikuwa wamedanganywa kwa sababu hawakuwa wamehubiriwa neno hilo. Hawakujua mapenzi ya Bwana na ndiyo sababu waliishi katika uasherati.” Mithali 31:30 Upendeleo hudanganya, na uzuri ni ubatili; Bali mwanamke amchaye BWANA, ndiye atakayesifiwa. 


Walifundishwa kwamba hakuna Kuzimu au moto wa mateso, na ndiyo sababu walifanya dhambi kwa siri ili wasionekane. Walifundishwa kwamba watu wanapokufa, roho zao hutanga-tanga na haziendi Mbinguni au Kuzimu hadi Yesu atakapokuja katika mawingu ya Mbinguni kuwachukua. 


Hivyo, wanadanganywa na kufanya dhambi. Luka 8:17 Kwa maana hakuna lililo sirini ambalo halitafunuliwa; wala lililofichwa ambalo halitajulikana na kutokea nje. Watu wengine hupokea hukumu zaidi na adhabu kali zaidi kuliko wengine.


Hukumu ni nyepesi kwa watu wote wa kawaida, au Mataifa ambao hawakujua kamwe njia za Mungu au neema ya Mungu lakini bado walitenda dhambi.

Waebrania 10:26 Maana, kama tukifanya dhambi kusudi baada ya kuupokea ujuzi wa ile kweli, haibaki tena dhabihu kwa ajili ya dhambi. Mathayo 11:24 Lakini nawaambia, ya kwamba itakuwa rahisi nchi ya Sodoma kustahimili adhabu yake siku ya hukumu kuliko ninyi. Kwa kweli, ni Wakristo ambao wamemwacha Mungu ndio wanaoteseka zaidi, kwa sababu walimdhihaki Yesu na kumsulubisha tena.


 Kumbuka kwamba watu wengi katika mahali hapa pa mateso ni wachungaji, mashemasi, na wazee. Kuna mambo mengi hapa lakini sio yote unaambiwa.

 Sikiliza kile wachungaji wawili wanachoniambia kuzimu. Mwanamume mmoja huko Kuzimu alisema, “Nilikuwa mchungaji katika kanisa, lakini wawili wetu tulikufa pamoja kwa sababu ya ajali ya barabarani. 


Tulikuja hapa kwa sababu ya kiburi chetu na kupenda pesa.” Kuna waimbaji wa Kimalagasi hapa waimbaji wa sifa lakini hawaenendi katika kweli na utakatifu. Wana uwezo wa kumsifu Yesu mbele ya watu na kuwahadaa baadhi ya watu na kuuvunjia heshima utukufu wa Mungu. Kwa hiyo adhabu kali zaidi inawangoja Motoni. Boriti ya msalaba wa makaa ya mawe iko katikati ya moto. 


Waimbaji wote wananing'inia juu chini, kwa hiyo miili yao inawaka kwa moto chini yao na wanageuka kuwa weusi. Nyoka huingia kwenye midomo yao, hupitia pua zao, na huingia machoni mwao na kutoka masikioni mwao. Hiki ndicho kinachowangoja waimbaji ambao hawafanyi mapenzi ya Mungu lakini daima wanaimba sifa za Mungu. 


Kisha malaika akanichukua kutoka Kuzimu kwa vile muda ulikuwa unaenda. Nimeona mambo mengi hapo lakini nafupisha hapa. Malaika akaniambia, “Jehanamu imetayarishwa kwa ajili ya shetani na malaika zake lakini ukiamua kutenda dhambi na kumtumikia shetani, mwisho wake ni sawa na yeye. Waovu au Wamataifa wakiondoka Duniani, watakwenda Motoni."

Zaburi 9:17 Waovu watageuzwa kuzimu, na mataifa yote wanaomsahau Mungu. Aina ya watu wanaoomba lakini hawaamini uhusiano wao na Mungu wapo Motoni. 


Washiriki wa kanisa na wachungaji ambao wamejishughulisha na zaka na matoleo lakini sio utakatifu na toba wako Jehanamu pia. Kutoa pesa ni nzuri lakini hakuhifadhi. Kisha kuna Wakristo wanaofanya kazi ya Mungu, wakihubiri habari njema na kujenga makutaniko kwa ajili ya watu wa Mungu, lakini Yesu alitangaza kwamba wao ni uzao wa nyoka, kwa sababu walifanya kazi yao katika hatia na uovu, na wamejaa chuki dhidi ya Mungu. sheria. 


Utakatifu, haki, na usafi mbele ya sheria ndivyo Mungu anahitaji kwa Kanisa. Mola ameiweka Siku ya Hukumu kwa ajili ya mtu dhalimu kuadhibiwa, na inadumu milele. 2 Petro 2:9 Bwana anajua jinsi ya kuwaokoa watauwa na majaribu, na kuwaweka wasio haki katika siku ya hukumu waadhibiwe.


 Mathayo 25:41 Kisha atawaambia na wale walioko mkono wa kushoto, Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, mwende katika moto wa milele, aliowekewa tayari Ibilisi na malaika zake; Hii ndiyo sababu hasa watu walio kuzimu wanalia kwa sauti kubwa wanapotambua dhambi na maovu yaliyowaletea mateso haya.


Na wachungaji wengi walikuja pale kwa ajili ya kupenda fedha na upotoshaji wa Neno la Mungu, na hawahubiri ukweli, na hawana utakatifu na kukana mapenzi ya Baba. Wakristo wa kweli watendao mapenzi ya Baba na kuenenda katika kweli na kusimama katika utakatifu ili watakapoondoka hapa Duniani waende kwa Yesu na wasilie wala kuhuzunika tena. Hatimaye, kulingana na malaika huyo, alisema, “Watu wa Madagascar wanapenda amani na nchi, lakini ni wanafiki mbele za Mungu. 


Wakristo wengi wanadai kuwa wa kidini lakini wanapenda masengenyo na uchafu, wivu, kutafuta pesa na kukashifu makanisa mengine. Hizi zote ni sifa za Wakristo wa Malagasy. Lakini hayo yote ni matokeo ya wachungaji kutohubiri ukweli wa kweli wa neno la Mungu, na wakati huo huo kupotosha Neno la Mungu na kuwapotosha na kuwahadaa wafuasi wa Kikristo.


 Wanamtumaini mchungaji na jina la kanisa, na wanasimama na kazi ya Mungu na si kwa Neno la Mungu ambaye kwa hakika ni Yesu Kristo. Ndio maana Wakristo wengi wanaenda Jehanamu. Ujumbe wa mwisho: Wenye dhambi bado wanaweza kuziacha njia zao mbaya wakiwa duniani.


Kwa hiyo ukiwa na nia utafungua moyo wako, utajinyenyekeza, utapiga magoti chini ya msalaba, kutubu, kuomba, kumwita Yesu. Ikiwa wewe ni Mkristo na unataka kwenda Mbinguni, usisimame na mchungaji au kanisa bali simama kwenye Neno la Mungu, ambalo ni Yesu Kristo. Soma Biblia, samehe dhambi za waliokuhuzunisha, fanya mapenzi ya Mungu.

 Yesu akubariki.

🙏Shirikisha ujumbe huu kwa watu wengi zaidi ili wapate kufahamu kweli.

💥Waweza fuatilia shuhuda na mafundisho mbalimbali kama vile:-

1.MBINGUNI, KUZIMU NA HALI YA SASA YA KANISA ----Mtumishi Rodolfo Acevedo Hernandez

2.USHUHUDA WA MTOTO WA MIAKA 12 ALIVYOCHUKULIWA NA YESUKRISTO NA KUPELEKWA KUONYESHWA MBINGUNI NA KUZIMU.

3.UNYAKUO-UJIO WAKE YESUKRISTO.


4.Mbinu pekee ya kuingoja parapanda ya mbinguni / kuja kwake YESUKRISTO !!.


5.SIRI ZA MBINGUNI NA KUZIMU –SEHEMU YA PILI


✨Na mengineyo.🙏Karibu sana ,pia waweza shirikisha wengine na Mungu akubariki.

BAADHI YA MAFUMBO YA MBINGU YANAYOELEZWA.

Dada Fabiola wa Madagaska 1 Mwanamke mchanga wa Kimalagasi kutoka Madagaska aliyeletwa na Bwana kutembelea Mbinguni na Kuzimu mnamo Desemba 4, 2010. 

Amani ya Bwana Yesu kwenu wasomaji. Ujumbe huu ni wa kukujulisha njia mbili unazopaswa kufuata ukiondoka hapa Duniani, na kukusaidia kujifunza zaidi kuhusu wewe mwenyewe na maisha yako ya kiroho. 


Naitwa Fabiola na kazi yangu ni mwombezi au kiongozi wa maombi kwa wenye matatizo. Ni kawaida yangu kuomba miguuni pa Bwana, na hudumu kwa masaa. 

Furaha yangu kuu ni kufurahi ndani Yake na kukaa katika uwepo Wake wa kila siku. Kama mwombezi, mara nyingi mimi huomba peke yangu, pamoja na kusali pamoja kanisani. Lakini siku moja nilikuwa nikiomba na marafiki zangu wanne kwa saa kadhaa na hivi ndivyo nilivyoona. 


Malaika wawili walisimama karibu nami na kunitabasamu na kusema, “Njoo pamoja nasi na tutaenda Mbinguni. Nina ujumbe mzuri wa kukufikishia, muhimu na mustakabali wako unategemea hilo." Malaika aitwaye Natanael akawaambia wale malaika walionileta, Mleteni ndani kwa maana yu katika Bwana. 


Tuliingia kwenye lango lililokuwa na mwanga kama jua. Nilipoingia kwenye lango hilo, nguo zangu na sura yangu zilibadilika. Niliona roho zilizokombolewa pale - nzuri, zote zimevaa sawa katika mavazi meupe na marefu. 


Taji hazikuwa sawa kwa sababu zingine zilikuwa na nyota nyingi angavu na kubwa, lakini zingine zilikuwa na nyota ndogo sana, kama nyota tatu tu. Walakini, umati huu mkubwa ulijaa tabasamu zuri na utukufu safi wa Mungu kama hakuna mtu hapa Duniani kwa sababu mtindo wao wa maisha ni tofauti sana. Hakuna ardhi wala mchanga, lakini dhahabu ni nzuri sana huko, kama kioo. 


Maeneo yote ni dhahabu na nyumba pia zimetengenezwa kwa vito vya rangi mbalimbali. Hakuna jua wala mwezi, lakini mwanga na mwangaza Mbinguni ni tofauti sana. Kuna watoto na wanaume wengi lakini wanawake walikuwa wachache. Tulipoingia kwenye nyumba, sauti iliniambia, “Njoo hapa.” Nguvu ilinivuta mbele ya Mtu yule, nikaanguka chini. Akasema, “Angalia juu.” 


Nikatazama juu, nikaona mtu ameketi katika kiti cheupe cha enzi. Alikuwa amevaa vazi jeupe linalong'aa na mikono mirefu na mshipi wa dhahabu kifuani Mwake, na uso Wake uking'aa kwa jua, na macho Yake kama mwali wa moto; na miguu yake ilikuwa kama shaba iliyosuguliwa sana, kana kwamba imeteketezwa katika tanuru; na sauti yake ilikuwa kama sauti ya maji mengi.


Inatisha kumwona. Kuna upinde wa mvua wa rangi nyingi karibu Naye na malaika wengi nyuma Yake wakiwa na tarumbeta za dhahabu na fedha. Nilipoona hivyo nilitetemeka. 


Mwili wangu wote ulifadhaika, wala sikuwa na nguvu ndani yangu; kwa maana nilikuwa dhaifu, lakini nilisikia maneno yake kwangu, “Macho yako na yaone nitakalokuonyesha, na sikio lako lisikie nitakalosema, na akili yako iyatafakari yote uyaonayo na kuyasikia. Mimi ndimi Yesu Kristo.” 

Aliponiambia haya, kulikuwa na nguvu iliyokuwa ikiendelea mwilini mwangu hadi kwenye mifupa yangu na Alisema, “Nimeyaona mateso ya watu Wangu wanaonitafuta mchana na usiku, lakini wamepotoka na wanateseka. 


Ndiyo maana nimekuleta mbele za uso wangu ili nitangaze maovu ya watu wako, taifa lenye dhambi, lililojaa ibada ya sanamu. Kwa hiyo, kuna migogoro mingi, njaa, na majanga ambayo hutokea na bado yatatokea. Pia kuna wanaosali bila kujua ukweli. 


Kuna makanisa mengi yanayoinuka na kutohubiri haki ya kweli na kutotenda mapenzi ya Mungu maana nia yao ni kujenga makanisa makubwa sana na sio kuwajenga watu watakatifu na waadilifu.” “Ili kuunda uamsho wa kweli kati ya watu wako, nitatuma na kuwaweka watumishi wangu ambao watatangaza utakatifu na ukweli wa neno la Mungu.


Wanapaswa kuwakusanya watu wote na kufanya ukweli wa kweli ujulikane. Wakristo  wamepitia rehema na neema, lakini hawajaona nguvu za kweli za Mungu hadi leo. Wachungaji wamekengeushwa kutoka katika kupata roho na wengi wameanguka kwa sababu ya chuki, kashfa na mateso waliyoyapata. 


Kama matokeo ya hili, tabia ya washiriki wengi wa kanisa huundwa kama tabia ya wachungaji wao na hakuna anayeinuka kuwa mtakatifu wa kweli.” Bwana aliponena, ndimi za moto zilikuwa zikitoka kinywani mwake. 


Pia aliniambia, “Watu wengi wanadai kuwa Wakristo lakini wanajidanganya kwa sababu hawana uhusiano maalum na Mungu. Wanajifanyia miungu yao wenyewe, hawatembei katika haki, bila utakatifu, bila unyenyekevu na usafi na uadilifu.” Nikamwambia, “Yesu, tufanye nini ili tupate kuokolewa?”


Alinijibu, “Fanya mapenzi ya Mungu na ujitahidi kuongeza utakatifu. Waebrania l2:14b, “Pasipo utakatifu hakuna awezaye kumwona Bwana.” Tembea katika kweli, uwe na usafi wa moyo. Mathayo 5:8 “Heri wenye moyo safi; kwa maana atamwona Mungu”. 


Jua unachohitaji kufanya na kuliombea kanisa lako na kiongozi wako (mchungaji wako). Usishirikiane na maovu, jitenge na maisha ya dunia, soma Neno la Mungu na uzingatie linavyosema, zijue amri, simama imara, usibadili ukweli maana ni Neno la Mungu na Neno la Mungu. 


Mungu ni Yesu Kristo. Mtu ye yote asiposimama katika njia ya Mungu na halitii Neno la Mungu, na ile kweli, Mimi, Yesu Mwenyewe, nitamkataa.” Bwana alisema, “Wachungaji wengi na wainjilisti au wahubiri wa Neno la Mungu huwaongoza watu kuzimu, kwa sababu ya kupotosha Neno la Mungu. Kwa kutohubiri ukweli wa kweli, kwa hivyo roho nyingi zimepotea. 


Nafsi hizi zilizopotea, hata hivyo, nitamwomba kila mwangalizi katika kila jaribu kabla ya kupelekwa Jehanamu na kwenye ziwa la moto. Malaika aliyekuwa karibu nami alijua nilichokuwa nikifikiria na akasema, “Unaweza kuuliza.” 


Nilifikiria karibu kumwambia, “Nina marafiki wengi wanaofanya kazi ya Bwana, vipi kuhusu wao?” “Watu unaowajua, na ambao umewaona, wanafungua mlango wa Jahannamu wakiwalazimisha watu kuingia humo.


 Hawafanyi kazi hiyo kwa sababu ya kumpenda Mungu. Imeandikwa katika Yohana 14:15, “Mkinipenda, mtazishika amri zangu.” Hawa marafiki zako wanaofanya kazi ya Bwana, pia wanawaongoza watu kuzimu.


Wanabatiza watu wasio waaminifu katika ndoa na kuwabatiza wezi bila kuwafundisha kutubu. Kwa njia hii, wanakataa maneno katika Waefeso 5:5 Maana neno hili mnalijua, ya kwamba hakuna mwasherati wala mchafu wala mwenye tamaa, ndiye mwabudu sanamu, aliye na urithi katika ufalme wa Kristo na wa Mungu.

Pia aliniambia, “Wakristo wote wanapaswa kupendana na kuheshimiana.


 Watu wengi huenda Jehanamu lakini Kuzimu haikukusudiwa mwanadamu hapo mwanzo, bali ni mahali palipoandaliwa kwa ajili ya shetani na malaika zake. Watu waliochagua kumfuata shetani badala ya kufuata Neno la Mungu, watakuwa na mwisho sawa na shetani. Ni sehemu iliyojaa mateso na Jahannamu ni taabu na wenye dhambi watateseka humo milele. 


Watalia na kusaga meno. Ibilisi anajua adhabu hii mbaya inayokuja, yuko radhi kuwadanganya watu wamfuate huko. Sio tu watu wa mataifa mengine wataenda kuzimu bali pia wakristo wasipokuwa na uhusiano wa kuaminiana na Bwana. 

Mchango wako kwa kanisa au mchungaji wako hauwezi kukuokoa. Kuna hata watu wanaohubiri Neno la Mungu na kuanzisha makanisa mazuri kwa watu wa Mungu, lakini watu hawa walifanya matendo maovu na wamejaa chuki na kutotii sheria takatifu na safi ambayo Bwana anaitaka kanisa. 


Wasio haki watateswa kwa moto na watateswa milele katika ziwa la moto kwa sababu hawakufanya mapenzi ya Bwana.” 


Mathayo 25:41 Kisha atawaambia na wale walioko mkono wa kushoto, Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, mwende katika moto wa milele, aliowekewa tayari Ibilisi na malaika zake. Alipomaliza kusema, alimwambia malaika, “Mpeleke Kuzimu. Mwambie mambo yote huko.” 

Malaika alinitoa nje na akasema jina lake ni Mikaeli, kiongozi wa wanamgambo - yeye ni Kapteni wa jeshi la Mbinguni. Alipigana na Shetani na akaanguka Duniani. 


Alinieleza Lusifa na kazi yake na Km wake kwangu. Mikaeli alikuwa mrefu, mzuri, na mrefu kuliko malaika wote. Alinionyesha jumba lililojengwa kwa aina nyingi za mawe ya thamani, na ya rangi tofauti. 


Nilikuta kuna watu wengi waliookoka, hivyo wote waliinama chini na kuinua vichwa na mikono kwa pamoja. Wimbo huo haupigwi bali hutoka katika kiti cha enzi cha Mungu. Ikumbukwe kuwa hapa hakuna wazee bali wote ni vijana.


Kisha tukapata nyumba kubwa yenye viti vingi visivyo na mtu na nzuri na adimu sana. Pia kulikuwa na malaika wengi pale wakifanya kazi. Malaika hawa, kama Mikaeli alivyoniambia, hupanga viti hivi kila siku. 


Akaniambia, “Waulize hawa malaika wanafanya nini.” Nikauliza, “Hivi viti ni vya nani?” Malaika aliniambia, “Viti vingi unavyoviona ni vya Wakristo wa kweli, ambao bado wanaishi Duniani.

 Kulingana na haki yake na utakatifu na usafi wa moyo na shauku ya upendo kwa Mungu, atakuwa na kiti hapa. Lakini Mkristo wa kweli anapoacha upendo wake wa kwanza, kiti chake huhamishwa hadi mwisho wa meza. 


Viti unavyoviona huko nyuma ni viti vya Wakristo walio baridi katika kazi yao na hawana upendo katika utumishi wao kwa Mungu.” Kisha akasema tena, “Ukitaka kuingia na kurithi Mbingu, jitunze katika utakatifu maana ni amri na si chaguo. 

Tembea katika haki, uwe na usafi na unyenyekevu na upendo na wema na furaha. Hatimaye, nendeni moja kwa moja mbele za Bwana katika mambo yote, nanyi mtakuja hapa na kuketi mbele.” 


Tulipoondoka, tuliona mataji katika nyumba ileile ya karibu. Wao ni mkali sana na tofauti, lakini ni bora kuliko dhahabu halisi. Kuna nyota nyingi zinazowapamba kulingana na idadi ya watu unaohubiri ukweli na ambao wametubu dhambi zao na kumpokea Yesu Kristo kuwa Bwana na Mwokozi wao katika maisha yao binafsi. 

Idadi ya nafsi ulizovutia ni idadi ya nyota kwenye taji - heshima yako. Ikumbukwe kwamba watu wanaomiliki viti na taji hizi ni Wakristo wa kweli ambao bado wamebakia Duniani lakini wakati wa kuondoka kwao duniani, Yesu atawapa viti vyao na kuwatia taji juu ya vichwa vyao. 


Tulipoondoka, tuliona dimbwi likiwa limejaa damu iliyokuwa ikilia na kupiga kelele. Nilimuuliza malaika. Naye akasema, “Sauti uliyoisikia ni sauti ya damu ya watu wanaolia. Hizi ni damu za Wakristo wa kweli waliouawa Duniani, lakini roho zao ziko hapa, lakini damu bado itaulizwa kwa wale walioimwaga. 


Iwapo kuna wazazi wanaowapiga watoto wao hivyo mtoto akitokwa na damu hata kidogo, bado itaulizwa kwa wazazi wake. Lakini kwa sababu amwagaye damu humwaga uhai.” Niliona maji mengi yakirundikana nikauliza maana maji haya ni safi lakini yanasonga. Kisha malaika akaniambia, “Maji haya ni machozi ya Mkristo wa kweli ambaye analia kwa sababu ya mateso na ukandamizaji wa wanadamu duniani kwa kumfuata Yesu Kristo na kumpenda Mungu na kutembea katika kweli. 

Ikiwa Mkristo wa kweli alilia kwa sababu ya mateso na mnyanyaso, machozi yake yakusanyika hapa yakingoja majaribu ya watu waliowatesa.”

Nilimwona msichana mdogo na malaika akaniruhusu kuzungumza naye. Hivi ndivyo alivyosema, "Jina langu ni Samirah, nina umri wa miaka 8 sasa, najua wewe ni mpita njia, kwa sababu najua kwa nguo zako." 

Nami nikamwambia, Umejuaje kwa mavazi yangu? Naye akamjibu, “Kwa maana mbingu ni takatifu na zimejaa utukufu, ili mwenye dhambi na asiye safi wasiingie humo, lakini wale waliookolewa wanaokuja hapa na kukaa hapa hawana doa.

 Malaika akaniambia, “Watu hawa wote wanajua kwamba unapita hapa.” Mwanamke mmoja aliruhusiwa na malaika kusema nami, akisema, “Mimi ni mwanamke maskini Mbinguni kwa sababu watu wengi huniinua na kunifanya Mungu. 


Kwa kweli, watu wanamwabudu mwanamke huyu hapa Duniani. Malaika na mimi tukaondoka na akaniambia, "Angalia chini." Nilitazama nikashangaa kuona watu wamesimama ndani ya maji, watu wengi sana, wengine miguuni, wengine hadi magotini, makalio, na hata kifua na wachache sana wanaogelea kwenye maji haya. 


Wale kwa vifundo vyao husogea, wakati mwingine hadi ardhi kavu, wakati mwingine chini ndani ya maji. Malaika aliniambia kuhusu watu hawa, “Maji ni Neno la Mungu. Watu hawa ni Wakristo bado wanaishi Duniani. Wale walio na maji mpaka kwenye nyayo za miguu yao, hao ndio waendao kwa Neno la Mungu, na wakafanya yaliyo mema machoni pa Mungu." “Wale walio na maji hadi magotini huanza kuwa na kiu ya ukweli na kutii Neno la Mungu. Mathayo 5:6 "Heri wenye njaa na kiu ya haki; maana hao watashibishwa."


 “Watu wenye maji hadi viunoni ni wale wanaofanya kweli na kutimiza mapenzi ya Mungu, na kuacha yote kwa sababu ya Neno la Bwana.” “Wale walio na maji hadi vifuani mwao ni watu ambao kwa kweli wanaishi kwa maisha ya Mitume hawa, wakihubiri injili, na kuwavuta watu kwa Yesu, na kuwabatiza wale katika ubatizo wa kweli wa haki. 


Bwana atawaruhusu kutenda miujiza na ishara nyingi kubwa kwa sababu wanaamini na kutumaini na kutimiza ukweli na utakatifu hivyo nguvu za Roho Mtakatifu zitakuwa kuu.” 


“Wale watu wanaogelea majini kwa sababu Neno la Mungu linawafanya wasulubishe miili yao na tamaa zao msalabani. Watu kama hao wameingia katika utakatifu wa kina, wakitimiza ukweli. Hao ndio watu wenye furaha zaidi Mbinguni. Paulo Mtume wakati wa maisha yake hapa Duniani alikuwa na utakatifu mkamilifu. 


Watu hawa wana ishara maalum wanapofika Mbinguni na kupewa thawabu kubwa sana na jina la milele ambalo haliwezi kuondolewa kutoka kwao, kukaa katika ukuta. Zina thamani kuliko dhahabu.”


Isaya 56:4-5 Maana Bwana aliwaambia hivi matowashi, wazishikao sabato zangu, na kuyachagua yanipendezayo, na kulishika agano langu; 5 Nami nitawapa hao katika nyumba yangu, na ndani ya kuta zangu, mahali na jina lililo jema kuliko wana na binti; nitawapa jina la milele, ambalo halitakatiliwa mbali


Pia niliona watu wengi ndani ya uzio. Watu hawa bado wanaishi Duniani. Walikuwa wakilalamika kutaka kutoka lakini hawakuweza. Walikuwa wakitangatanga wakitafuta njia ya kutokea lakini hawakuweza. Mithali 13:15b, “Njia ya wadanganyifu ni ngumu.” 


Watu hawa wamemtumikia Yesu na wamemkubali kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yao lakini wakarudi tena kwa uovu na dhambi, na maisha ya ulimwengu. Walitamani kuondoka utumwani lakini hawakuwa huru tena. 

Waebrania 6:4-6 Kwa maana hao waliokwisha kutiwa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, 5 na kulionja neno jema la Mungu, na nguvu za ulimwengu. yajayo, 6 ikiwa watajikwaa ili kuwafanya wapya hata kutubu; wakiona wanamsulubisha Mwana wa Mungu upya kwa nafsi zao tena, na kumtia aibu hadharani.


 Wengine wamefungwa mikono na miguu, wakati wengine bado wanaomba wakiwa wamefungwa na tabia mbaya ili wote wasiokolewe na wasio na toba lakini pia hawabadiliki, hivyo ni kupoteza muda na juhudi tu. Nilimuuliza malaika kwa nini watu walikuwa wakiomba bila kujua wanachofanya.


 Aliniambia, “Watu hawa wanafanya hivi kwa sababu ya kutojua Neno la Mungu. Kuna aina 2 za kazi ambazo kila Mkristo anapaswa kufanya. 

Kwanza, Fanya na fanya mapenzi ya Mungu. Pili, Huduma zote na uinjilisti na miujiza. Mara nyingi, hata hivyo, Wakristo hupata uharaka katika kazi ya pili lakini kwa kweli, kazi ya kwanza inapaswa kufanywa kabla ya kazi ya pili. Ndiyo maana kwa vile hawafanyi mapenzi ya Mungu, hatimaye wanakataliwa.” 


Mathayo 25:41-42 Kisha atawaambia na wale walioko mkono wa kushoto, Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, mwende katika moto wa milele, aliowekewa tayari Ibilisi na malaika zake.


Ni lazima tuelewe kwamba watu hawa ndani ya maji na wale watu ndani ya uzio unaoonekana Mbinguni ni roho ambazo bado zinaishi duniani. Maisha yao duniani yanaakisiwa Mbinguni, iwe wako ndani ya maji ya Neno au wamefungwa na uzio wa vifungo. 


Tukiendelea mbele zaidi, tuliona nyumba kubwa ya duara iliyotengenezwa kwa vioo vya rangi na vito na nyumba nyingine inayofanana na hiyo lakini iliyojengwa kwa mawe hivi kwamba iwe wazi na safi na yenye kung'aa. Ni nyumba ya wazee 24 kuhukumu mataifa yote. Wanaketi kwenye viti vyao vya enzi. Mbele ya kila moja yao kuna mabamba mawili makubwa ya mawe, yenye zile Amri Kumi.


 Aina mbalimbali za viumbe hai ziko mbele yao. Ikiwa mtu anahukumiwa, anasimama mbele yao wote pamoja na malaika upande wa kulia na Shetani atakuja. 

Ikiwa yeye ni Mkristo wa kweli, basi Yesu Kristo ndiye mtetezi wake kwa Baba. Ikiwa yeye ni Mkristo wa uongo anafungwa na kutupwa kwa kifungo katika Kuzimu ambako kuna kilio na kusaga meno. 

Malaika alisema, “Mara nyingi ubatizo ni sababu ya matatizo ya Wakristo kwa sababu wengi wamebatizwa lakini hawajatubu. Hawakuacha tabia zao mbaya, hasa uasherati wa nyumbani. 


Ndiyo maana watu wengi sana wanaenda Kuzimu.” Chakula halisi cha watu wa Mbinguni ni wimbo wa sifa. Kuna aina nyingi za nyumba huko Mbinguni lakini malaika akaniambia, “Nyumba hizi hazijengwi kwa mikono.


 Kila moja ina aina yake, ikitegemea hali ya kiroho ya mtu huyo na pia ukubwa au ukubwa wa nyumba yake.” Majengo hayo yamepambwa kwa mawe ya fuwele nyeupe yenye kung'aa na yenye kuvutia. Pia kuna yale yaliyofanywa kwa mawe ya thamani ya bluu, kijani, nyekundu, njano. Malaika akasema, “Hizi ni nyumba za waliokombolewa. 


Baadhi yao ni nyumba za watu ambao bado wanaishi Duniani. Tunawasubiri waje huku. Mcheni Mungu.” Malaika alisema, “Mtu akija Mbinguni, Yesu na malaika wengi hukutana naye, kwa sababu Bwana hutuma malaika duniani kumchukua hadi Mbinguni. 


Sisi malaika tulipanga mstari pamoja na Yesu mbele ili kuwakaribisha waliokombolewa na kumsifu Mungu.” Anapofika, Bwana Yesu anamkumbatia kwa mikono Yake kwa kumkumbatia sana na kusema, “Ingia kwa furaha ya Bwana wako.” Mchana kutwa ni furaha kuu Mbinguni. 


Lakini mara nyingi hii ni kitu kinachotokea. Mara tu anapouona uso wa Bwana, analia kwa sauti kuu na kusema, “Bwana wangu Yesu mpendwa! Nakuona! Ninalia machozi ya furaha.” Bwana anapomwona, hufurahi na kumkumbatia na kufuta machozi yake yote. Bwana humvika taji ya dhahabu na kumpa kiti cha kuketi. 


Yeye na Bwana hunena, lakini waliokombolewa na malaika wanaendelea kumsifu Bwana na sikukuu inaendelea.,-

FUATILIA  SEHEMU YA PILI(2) KWA KUBONYA  HAPO sehemu ya pili(2).

TAFADHALI SHIRIKISHA WENGINE WAPATE KUFIKIWA NA NENO LA WOKOVU.

#Pia waweza kubonyeza hapo chini ili kufuatilia shuhuda nyingine nyingi kama vile:-

1.MAONO JUU YA SIKU ZA MWISHO, KANISA, UNYAKUO, MBINGU NA KUZIMU na Othusitse Mmusi.


2.JIANDAE KUKUTANA NA MUNGU, KURUDI KWA KRISTO





Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...