SIRI ZA MBINGUNI NA KUZIMU –SEHEMU YA PILI


Jina langu naitwa Emmanuel Senayon.Namshukuru MUNGU kwa neema ya pekee katika maisha yangu aliyonipa, neema ya dhahabu ya kuona huu ufunuo.Bwana aliniahidi mimi katika ufunuo wa kwanza, kuwa atanitembelea tena kunionyesha siri kwa sababu ujio wake u karibu sana, na shetani anafanya kazi kwa bidii kuvuna roho kwa ajili ya ufalme wake mbaya wa kuzimu.

Tarehe 26 mwezi wa kwanza mwaka 2013 mida ya saa 12 asubuhi,Nilipokuwa nimelala sikujua kuwa mwili wangu tayari ulikuwa tayari umekufa hapa duniani.Nikamuona Bwana naye akasema, “NJOO !,NATAKA NIKUONYESHE WEWE MIPANGO YA SHETANI KINYUME NA MWANADAM.”
Bwana akanishika mkono na tukafika mbele ya enzi ya shetani, na nikamwona shetani kwenye enzi.Akawa anacheka kwa sauti yake mbaya akisema, “Lazima nivune roho zao!.roho zao ni zangu !!!! Hahaha!!!”.Bwana akaniambia niangalie kwa makini ili niweze kuwa ambia wengine kile nilichokiona.
Niliona mapepo mawili wamemleta mtu mbele ya enzi ya shetani.Mtu huyo alikuwa ni msoma nyota,mganga wakienyeji,mchawi na muaguzi, mara shetani alipomuona , alicheka na kusema, “Karibu mtumishi wangu mwaminifu.”
Shetani akaanza kumuuliza maswali hayo mapepo wawili kwa hasira kali akisema, “Huyu amenivunia roho ngapi kwa ajili yangu hadi sasa ?”.Mapepo yakamwambia, “Milioni saba(7).”Shetani akaanza kucheka na akauliza mapepo, “Wangapi kati ya hao milioni saba waliokwisha kufa ?”.Mapepo yakajibu, “Milioni mbili(2)”.
Shetani akaanza kucheka akisema, “roho zao zinamilikiwa na mimi ! Ha ha ha !” Tena Shetani akauliza yale mapepo, “Ndege ngapi alizo ziangusha ?”.Mapepo wakajibu, “Sita.” Na tena shetani akauliza mapepo, “Gari ngapi alizozisababisha ajali ?”Mapepo wakajibu, “Mengi”.Shetani akasema kwa hasira kali, “Ninayo zawadi kwa ajili yako !, lazima nikupe zawadi.” Mara nikaona pepo kubwa na kikombe kibaya sana mkononi mwake.Ndani ya kikombe mulikuwa na kemikali ya asidi nyeusi.Pepo akampa yule mtu na shetani kwa sauti kubwa akamwambia yule mtu , “Kunywa hiyo, Kunywa hiyo, Kunywa hiyo .”
Yule mtu akanywa na mwili na mwili ukaanza mong`onyoka.Asidi ikaanza kula mwili na mwili ukapasuka na ukawa vipande vipande !.Yule mtu alilia kwa uchungu sana.Alitafuta njia ya kutoroka lakini shetani akacheka na kumwambia, “Nilikutega wewe na ukaufuata uongo wangu.Hutaweza kutoka nje ya sehemu hii, roho yako ni yangu ! Ha ha ha!”.
Baada ya kuangamia Shetani akasema “mtoeni hapa!” Mapepo yakamchukua na kurushiwa kwenye moto wa kuzimu !.Alikuwa akilia kwa uchungu sana na kwa hisia za ndani kwa sababu mateso ya kuzimu yalikuwa makali sana.[Isaya 5:14]
Shetani alikuwa akisema hayo kwa sababu nyoyo nyingi zinaishia kuzimu ya moto.Bwana YESUKRISTO alikuwa akilia kama mtoto kwa sababu wakristo wengi hawavuni tena nyoyo/roho kwa KRISTO.Rafiki yangu,ni muda.Tunatakiwa tuseme hapana kwa kazi za mwili na tuvune watu kwa ajili ya KRISTO[Mathayo 10:7].
Shetani alikuwa akicheka kwa sauti.Alikuwa akiiita mapepo na kuwa agiza, “Nenda kwenye njia panda na kusababisha ajali”.
Mapepo yalitii na kwa haraka yalikumbia kuja duniani.Shetani aliita mapepo wengine na kumwambia, “Nenda angani na msababishe ajali za zitokee kwa vyombo vya angani”.Shetani akawaita na kuwaambia , “Nendeni haraka na kufanya wasanii waache miili yao wazi(uchi) kwenye Tv, na mitandao na kwenye magazeti.Nenda na kufanya makahaba watoe video nyingine mpya !”.Wote wakatii na kukimbia kuja duniani haraka.Tunatakiwa tuwe makini na kile tunachokitazama kwenye TV, mitandaoni, na pia kwenye magazeti kwa sababu Shetani yuko huko akitafuta yeyote ili mrarue[1 Petro 5:8].
Baadae nikaona wanyama wenye nguvu.Wakimwambia mtu mmoja, “Ulitutumia sisi kuumiza watu pindi ulivyokuwa duniani.Sasa ni zamu yetu kukuumiza wewe.” Wakaanza kumtesa huyo mtu na huyo mtu alilia kwa uchungu sana.Hata alikuwa akitamani kufa lakini ilikuwa ameshachelewa kwa yeye na sababu roho yeyote itayoingia Kuzimu haitatoka kamwe.Itakuwa hapo milele[Mathayo 22:13].
Hii ni changamoto kubwa kwetu sisi wakristo.Mtumishi mmoja wa shetani anavuna watu milioni saba(7) kwenda kuzimu.Watu milioni mbili(2) tayari wameshakufa.Sasa wapo katika mateso makubwa.Ni watu wangapi uliwaambia kuhusu Kristo leo ?.Baadhi watujampata hata mtu mmoja na kumleta kwa KRISTO.
Nakumbuka mwaka 2011,Nilipata maono na nikamuona shetani katika enzi yake akisema “Nani atanitenga mimi na utukufu wangu ? ”.
Ndipo shetani akamwita mtu kutoka kuzimu ya moto akauuliza , “Josefu, Umeamini sasa kuwa kuzimu ya moto ni kweli ?,Umeamini ufalme wangu upo kweli ?”.Nikaona yule kaka akilia kwa uchungu sana.Mapepo walikuwa wakimtesa kwa hasira kali.Bwana akanionyesha stori ya maisha ya mtu yule .kipindi alipokuwapo duniani, hakuamini kabisa kuwa kuzimuipo na alikuwa akifundisha watu wake kuwa kuzimu haipo na sio halisi.Aliwafundisha mtu anachohitaji pekee kukitafuta ni baraka, aliwaambia hamna kuzimu na sio kweli ,na kuwa mtu akifa ndio amekufa milele na roho yake haiendi popote.
Sasa yupo kuzimu akilia, na kusema, “Sasa na amini, Tafadhali nitoeni nje !,Sasa naamini !” Shetani akamwambia, “roho yako ni yangu !Utakuwa milele !”.Hili ni somo kubwa kwa wale mnaofikiri kuzimu sio halisi.Sasa, tubu na uokolewe.Kuzimu ya moto ni halisi[Mathayo 13:50], [Mathayo 25:30].
MKRISTO BILA YA SILAHA KAMILI.
Nilimuona kakammoja anakuja kwa YESU alipokuwa amefariki duniani.Alikuwa na furaha kwa sababu alikuwa akidhani amefanikiwa kuingia mbinguni.Alipofika mbele ya YESUKRISTO, YESU alikuwa akilia sana kwa uchungu.
YESU alimwambia yule kaka, “Gabriel, uko wapi upanga wako wa kweli ?,Iko wapi dirii ya haki kifuani mwako niliyokupa ?, Nilikupa silaha kamili.Ziko wapi ?”.Yule kaka akasema , “Nimeacha kwa nyumba ya rafiki yangu, tafadhali naomba niende kuchukua”.Bwana akamwambia, “Umechelewa.Huwezi kurudi tena kwa sababu nilikuonya lakini hukutaka kunisikia Mimi.Sikujui wewe !”.Huyu kaka alikuwa akilia kwa huzuni kubwa na kusema, “Tafadhali nipe nafasi ya kurudi.tafadhali Bwana, tafadhali, tafadhali !”.Bwana akapaza sauti kwa hasira ikisema, “Ondoka ! Ondoka ! Ondoka ! kwa kuwa sikujui! Ondoka kutoka Kwangu !” na kimbunga kikubwa kikambeba yeye na kumtoa kumpeleka kuzimu.
Bwana alinionyesha historia ya huyo kaka alipokuwa duniani, Hukuenda hata siku moja kuleta watu kwa Kristo.
Popote Bwana alipomwambia nenda na uwaambie watu kuhusu injili ,yeye huaihirisha.Shetani humwambia katika moyo wake “Kaa chini na usome bibilia.utaenda kesho.”Kesho inapofika Bwana humwambia yeye, “Gabriel, nenda kamuonye mdhambi yule ili atubu na kuokolewa” Naye shetani huongea katika moyo wake, “Gabriel kaa chini na kusoma bibilia yako.Kesho utafanya hayo.” Naye akatii sauti ya shetani [2 Wakorintho 11:13-14].
Alikwenda kwenye nyumba ya rafiki yake na badala ya kumwambia rafiki yake kuhusu YESU wakaanza kujadili kuhusu mambo ya kibiashara.Huyo kaka alipoteza wokovu wake kupitia ushauri mbaya wa rafiki yake.Akaanza kuishi maisha ya dhambi kama vile yule rafiki yake.Hiyo ndio sababu alimwambia Bwana kuwa ameacha dirii ya haki ya kifuani mwake kwenye nyumba ya rafiki yake.
BwanaYESU akaniambia, “Waambie watu wangu kuwa wavae silaha zote, wawe na silaha kamili , waambie wasipoteze hata silaha moja !”[Waefeso 6:10-18].Yule kaka akafika kuzimu ,Nikaona joka kubwa lenye mapembe mengi kwenye mwili wake.Joka akasema, “Gabriel hivi ndivyo nilivyo mdanganya mwanadamu wa kwanza na kupoteza sara kamili ya MUNGU.[Mwanzo 3], Nimekudanganya wewe na ukaufuata uongo wangu.Nitakutesa wewe milele!”Joka kubwa likamuingia kwenye mwili wa yule kakana lilikuwa likimuumiza.Yule mtu alikuwa akilia kwa uchungu lakini alishindwa kutoka kwenye moto.
Shetani alianza kumcheka na kumwambia, “roho yako ni yangu !,lazima niwapate ninyi nyote !”.Wakristo ni muda wa kuendeleza maisha ya kuwa na uhusiano mkubwa na MUNGU kwa sababu wengi wao wanaishia maisha yao kuzimu ya moto kwa sababu ya dhambi.Tunatakiwa kukiri dhambi zetu na kuziacha, kwa sababu viwango vya MUNGU vimesimama ni hakika.[2 Timotheo 2:19].

MFALME SAULI YUPO KUZIMU.
Bwana akasema, “Njoo,nataka nikuonyeshe wewe mfalme.”Nilimuona mtu akiwa amefungwa kwenye enzi.Mapepo yalikuwa yakimtesa kwa hasira kubwa.Bwana akaniambia mimi ni mfalme Sauli.Mfalme Sauli aliponiona mimi, alisema, “Uko hapa.Nenda na uwaambie watu wangu niko hapa.
Waambie wasiache kumtii MUNGU.Waambie watoto wa isreal kuwa ni LAZIMA watii sauti ya Bwana.Kutokutii kwangu kumenileta katika sehem hii.”[1 Samweli 13:13-14],[1 Samweli 15:22-26],[1 Samweli 16:14].Alizidi kusema, “Nilikuwa muuaji, nikajiua mwenyewe, nilidhani mimi ni mmiliki wa maisha yangu mwenyewe[1 Samweli 31:4],tafadhali waambie kuzimu ya moto ni halisi”.Sauli alikuwa akilia kwa ajili ya msaada lakini Mpepo yaliendelea kumtesa.Bwana akaniambia, “Unatakiwa uwaambie kile ulicho kiona.Kama usipo waambia utahukumiwa.”
UPAKO WA SHETANI.
Bwana akanichukua mpaka sehemu ingine kuzimu.Niliona jinsi shetani anavyowafanya wakristo.Kulikuwa upako mweusi wa giza kwenye shimo kubwa.Mapepo wengi walitoka pale kwenye ule upako na nilikuwa nikishangaa nikijiuliza wanaenda kufanyia nini.Bwana akaniambia, “Mwanangu,waambie watu wangu wanatakiwa wawe waombaji.Wanatumia hiyo kwa wakristo kipindi wamelala.Hao mapepo huwamwagia huo upako hao wakristo na kama mKristo alikataa kuomba , huo upako wa shetani utaweletea hisia za ajabu ajabu na mawazo mabaya.Uhusiano wao na Mimi hautakuwa sawa na watarudi nyuma.”
Watu wangu ,hatutakiwi kuwa wajinga juu ya kazi za shetani.[2 wakorintho 2:11].Tunapo lala kuna vitu vingi shetani hujaribu kufanya kinyume na roho zetu.Bibilia inaongea kweli kuhusu MPANDAJI MWOVU. “...... lakinini mtu yule alipo lala adui akaja na kupanda magugu katikati ya ngano na kuenda zake.”[Mathayo 13:25].
Bwana akaniambia, “Mwanangu, mwangalie yule mtu.”Nikamuona mtu duniani.Alipokuwa amelala pepo akaja na kumiminia upako wa giza kwa yule mtu na akaenda zake.Yule mtu alivyo amka,hakuomba kwa sababu alikuwa amechelewa kazini.Badala ya kukimbia nje ya chumba chake na kwenda kazini.Upako wa giza ukaanza kujidhihirisha katika maisha yake.Mtu yule akaanza kujisikia hisia za ajabu ajabu.Akatenda uzinzi na mwanamke ambaye alikuwa ni mtu wa kanisani kwake.Hapo ndipo alipomwacha MUNGU.
Bwana alimuonya ili aombe kwa sababu ya kazi yake lakini alikataa kusikia.Bwana akasema, “Ni mchungaji.”
Tunatakiwa tuwe waangalifu kwa sababu shetani ni muongo mkubwa sana na mkakati wake ni kudanganya kwenda kwenye uharibifu.Anafanya kazi kisiasa kama ‘mfalme wa hii dunia’ amewapofusha wasioamini kutokuamini injili ya wokovu.[Efeso 6:11-20].

MTU AMBAYE HAAMINI KATIKA ROHO MTAKATIFU
Watu wote ambao hamuamini katika Roho mtakatifu,Ninawaambia ninyi ni kweli !Nimemuona mtu kuzimu ya moto alikuwa amefungwa chini na kuteswa na mapepo.Huyo mtu alipotuona sisi alikuwa akisema, “Sasa nina amini katika Roho mtakatifu.Sasa naamini katika kunena kwa lugha.”Mtu huyo alipokuwa duniani hakuamini katika Roho mtakatifu.Alikuwa akienenda kutokana na mwili na sio kutegemea Roho mtakatifu.Alijiachilia dhambi nyingi na sasa yupo kuzimu ya moto akiombakwa ajili ya nafasi ya pili lakini Bwanaalimwambia, “Umechelewa !,siwezi kukuokoa tena !”.
Yule mtu alilia kwa uchungu ,akimkufuru Bwana[Luka 11:13].Wote tunahitaji kumuomba Baba atupe sisi Roho mtakatifu kwa sababu ametuahidi kutupa wale wataomuomba yeye[Efeso 1:13-14].Omba sana na kwa bidii na usikate tamaa kumtafuta Roho mtakatifu kwa sababu usipokuwa naye utaendelea kuwa unafanya mapenzi ya mwili[Warumi 8:5-14].Mtafute Roho mtakatifu akusaidie kuingia mbinguni.

KANISA KUBWA
Bwana akaniambia, “Mwanangu, njoo,ngoja nikuonyeshe jinsi ninavyotaka kanisa langu liwe.”
Nikaona kanisa likiwa na moto uwakao.Watu walioko pale walikuwa wako na moto lakini haungui.Bwana akasema, “Huo nimoto wa Roho mtakatifu.”
Kulikuwa na malaika wengi sana wenye nguvu sana na wenye panga mikononi mwao wakizunguka kanisa.Watu katika kanisa walikuwa wakiomba sana kwa bidii na kulia kwa Bwana.Bwana alisema, “Hivi ndivyo ninavyotaka kanisa Langu liwe, lakini makanisa mengi yamekuwa baridi.[Ufunuo 3:15-16].Makanisa yangu mengi leo haya ombi sana, hawafungi.
Hawafundishi kuhusu ujio Wangu wa pili, Hawahubiri kuhusu kuzimu ya moto, Hawa hubiri kuhusu ufalme wangu tukufu, Hawavuni na kuleta watu kwangu, Hawataki tena muongozo wangu lakini wanachotaka ni kuongozwa kwa mwilina sio kwa roho.Waambie wote, NINAKUJA HARAKA NA UJIRA WANGU UKO NAMI NIMPE KILA MMOJA KWA KADIRI YA KAZI YAKE.[Ufunuo 22:12].Mwanangu, waambie ni karibu kufunga mlango”.Bwana alilia.
Kanisa, tunatakiwa tuamke na kuacha mafundisho ya ajabu ambayo yatatupeleka kuzimu ya moto.Kumbuka kile ambacho Bwana amekisema, “Wote niwapendao mimi nawakemea, na kuwarudi; basi uwe na bidii, ukatubu.” [Ufunuo 3:19].

SIRI ZA UONGO WA SHETANI
Bwana akanichukua mpaka sehemu ingine Kuzimu.Kulikuwako na mapepo wengi kwenye mkutano.Ghafla wakatawanyika nakuwa na mwonekano wa miili ya kawaida ambao wengine wakawa wachungaji,wainjilist,manabii, waalimu, wadada , wakaka, wazee na watumishi.Shetani alikuwa akiwapa amri akiwaambia, “Nendeni sasa duniani ! Nendeni na kufanya ishara na maajabu ! nenda na kufanya miujiza !Nenda na kufundisha mafundisho ya uongo na kuleta roho nyingi zaidi katika ufalme wangu !.” Wale mapepo wakamtii , na kukimbia kuja duniani wakiwa na kasi kubwa.
Nilipoyaona haya niliingiwa na mshangao mkubwa sana.Hicho kikanifanya kukumbuka kukutana kwangu na YESUKRISTO kwa mara ya kwanza .
Bwana aliponionyesha kitu flani kuzimu ambacho kiko pembeni mwa enzi ya shetani.Kulikuwa na shimo kubwa na refu.Mulikuwa na majina ya makanisa yanayomilikiwa na kuanzishwa na shetani duniani, Yameandikwa chini ndani ya shimo.Rafiki yangu, jihadhari na kanisa unalohudhuria.Kama halijasimama katika kweli yote ya MUNGU(Kuhubiri utakatifu, haki, ujio wa pili wa YESUKRISTO, mafazi ya kiMungu na kuhubiri kuhusu Kuzimu ya moto),tafadhali toka kwenye aina ya kanisa hilo, kwa sababu yanamilikiwa na shetani.(Mathayo 24:24), (Marko 13:5-6), (Luka 21:8).Tunatakiwa tuwe waangalifu kwa kuwa mapepo wengi wameachiliwa na wapo kamawatumishi wa MUNGU, wapo kudanganya watu kwenda kwenye uharibifu.Bwana akasema, “Mimi sio mwanzilishi.Sijui haya makanisa katika hili shimo.”[ 2Timotheo 3:4-7].

UWANJA WA VITA
Bwana alinichukua mpaka sehemu ingine.Nikaona watu wachache tuu wanapiga mapepo wengi.Ilikuwa ni vita kubwa na ya nguvu sana.Mapepo walifunga watu wengi kipindi wanapambana kwa kuwa silaha zao hazikuwa kamili.Kulikuwa na damu kwenye miili yao lakini wakaendelea kupambana.Bwana alikuwa akilia, nakusema, “Unatakiwa uvae silaha zote za MUNGU.”[Waefeso 6:11-18].Kulikuwa na baadhi ya watu wamevaa silaha kamili na mapepo hawakuweza kuwashinda wala kuwadhuru.
Bwana aliongea, “Nahitaji watu zaidi katika uwanja huu wa mapambano.Waambie waje kwangu na nitawajaza kwa nguvu Yangu.Waambie watafute silaha kubwa za Roho kwa moyo wote na watakuwa nazo.”
Mara , Bwana akageuza sura yake kwangu akisema, “Wanakusubiri wewe duniani.”
Mama yangu na kaka yangu mkubwa walikuwa wamesha ondoa shuka nililokuwa nikilitumia kujifunikia mwenyewe.Mama akaniambia walijaribu kuniamsha kwa muda mrefu na siku amka na waka enda kuomba msaada kwa kaka mkubwa ili anisaidie.Naha ta kaka mkubwa alipofika aliniamsha akadai sikuamka na hata wakafikia kuwaza kuna tatizo kwenye damu yake.
Hata baadae sana nilipoamka, walikuwa wakilia na kuita jina langu.

KUWA MWEREVU.
Rafiki ,YESUKRISTO amefichua siri za shetani na anavyotaka kanisa Lake liwe.Sasa ni upande wetu kuchukua hatua mbele ya wokovu, kutubu kwa dhambi zetu na kuokolewa.(Waefeso 5:1-2).
Kama wewe ni mchungaji, mtumishi wa MUNGU, au ulirudi nyuma katika wokovu.Tafadhali amka na urudi kwa YESU.Yeye atakupokea wewe.(Waefeso 5:14-21).Bwana aliahidi kunitembelea mimi mara ya tatu.Alisema, “naja kukutembea wewe na kukuonyesha vitu vingi zaidikuhusu Mbinguni na Kuzimu ya moto.Nitakuja kukutembelea wewe kwenye tarehe 9 mwezi wa pili ,2013 .”Amsha Wakristo wote!!.
Tafadhali waweza kushirikisha wengine Kwa ku SHARE huu ushuhuda, lakini kwa shuhuda nyingine nyingi waweza kupitia blog yawww.jasirimbarikiwa.blogspot.com .ili kuzipata hapo !.Ubarikiwe unapotafakari na KUBADILIKA sawa sawa na mapenzi yake YESUKRISTO.

Prepare for the CHRIST Return! by Bernarda Fernandez

Prepare for the Lord's Return!by Bernarda Fernandez
Sister Barnarda Fernandez was taken on 2 Journeys to Heaven and Hell with Jesus.  She was shown the Heavenly rewards prepared for the Lord's saints, the Rapture, the Great Banquet and the crows of life.  And she saw the condition of the Church, the coming judgments, and the lost souls in Hell.
PDF  DOC  MP3    
My First Journey
I was not feeling well that morning, my husband refused to leave me and go to work. I told him that I was not alone. After he left, I felt that I was dying. So I decided to phone some of my friends, and my mother-in-law. My mother-in-law answered: "Bernarda, God will bless you today, do not be afraid." The same answer came from another brother in Christ that I phoned, but he added: "Bernarda get up from your bed and praise the Lord, cry to Him and glorify Him."
In spite of my lack of strength, I cried to the Lord saying: "Lord You are my strength, come and help me." I tried to stand up, but my strength left me. My voice could no longer be heard, but in my soul I was crying to the Lord to help me since I felt like I was dying. Suddenly my room was lit up by a light which looked like a fire.  Immediately my fear vanished and I saw angels descending and walking in my room. I could hear them clearly speaking to each other.   Suddenly a marvelous being appeared, more marvelous than any angel. He was dressed in white with a golden sash.  On His chest was written in gold: "FAITHFUL AND TRUE." His face was showing gentleness and Love. Jesus the CHRIST was in front of me, the King of kings and the Lord of lords. Blessed be His name!
Jesus approached me, touched my head and told me: "I am Jesus who died for you. Look at these marks in My hands, they are still there for you. I came down from My throne of glory to speak to you; there are many things in your life to put right. You are lazy and quick-tempered. Moreover, I do not want 25% Christian nor 95%, but 100%. If you want to go to heaven, you have to be holy as I myself am holy; I came to take you for a journey."
New York CityI asked Him: "Lord, is it a missionary journey?" He answered "No." Then He took me by my hands, lifted me up, and talked to me with simplicity and Love. He brought me as far as my windows, He looked at the city of New York.  I saw sadness on His face. He wept and said: "My Word is well preached, but people do not listen. The sin of this city has reached My Father."
The city was full of homosexuals; among them were Politicians. The Lord told me: "It's another Sodom, but I am alive and the judgments of My Father will soon fall on this city." Then I knelt before the Lord while crying and He told me: "Do not be afraid. When judgment falls on this world, My Church will no longer be on Earth."
He then led me again towards my bed and asked me to phone a brother from my congregation. He asked me to tell him that my spirit would come out of my body, and that they should not bring my corps to the hospital or to the any funeral ceremony. Instead, they should tell my husband to trust the one who is the Resurrection and the Life. (John 11: 25) The Lord told me again: "I who give life, I take your spirit, but you will come back and tell the peoples to trust me fully. The one who believes in Me will never die." (John 11:26) He stretched His hands and I saw that spiritual body came out of my physical body. I was dressed in white and I was shining like the Lord, He told me: "Look! This is the body that Christians who obey My Word will soon have."
I realized that I could now go through the walls. The Lord who was holding me by my hand said: "Look"! When I turned, I saw my body without spirit. He explained to me that my physical body was worthless, it was nothing but dust, and that at death it will become dust again, as any physical body. He added that the new body I had was a glorious one which is the spirit He gave to man. I thought He would lead me straight to heaven, but it was not the case.
We descended through a tunnel below the Earth, and when approaching a certain place I could perceive an unbearable smell. I said: "Lord I do not want to go into that place." But we went in; that place was very dark. I heard people suffering, weeping and screaming. When we got to the end of the tunnel, we sat on a rock and the Lord told me: "Look"! I saw people suffering. In hell, people spend their time crying, and no one cares about others.
Dear brothers and sisters, I realized that HELL IS REAL. I wept and wept, and when I looked at the Lord, He told me: "Hold on to what you have seen, and do not forget it."  The people were screaming, "Ouch! Ouch! It's forever! it's forever! Pain and hatred forever and ever."
I turned toward the Lord and asked Him: "Is there anyone from my family in hell?" He answered me "I will not allow you to see a member of your family."  So I asked Him, "is there anyone that I know here?" "Yes and I will allow you to see him." Suddenly I saw a young man coming from the depths of the hell: It was Alexander.
I knew this young man at a crusade my husband and I attended in the Dominica Republic. During that crusade, I heard a voice saying to me, "Get up, go and meet Alexander who is passing by. Tell him not to reject this message, for I'm giving him a last chance." This voice was the voice of the Lord, even though I did not see the Lord at that time.  I told Alexander what the Lord told me, and this is how he responded: "You Christians are all fools. You deceive people by telling them that Jesus Christ is coming, I, Alexander, do not believe this to be the truth." I told him: "Alexander, God gives life and takes it away when He wants; Alexander, you will soon die." He answered: "I am too young to die, I still have many good years of fun on this Earth."
That was truly the last chance for Alexander.  Three weeks later, Alexander died while he was drunk. His destination was this place of torment where I saw him (hell). The Bible states clearly that drunker will not inherit the kingdom of God. (Galatians 5: 21)
When looking at people in hell, I could see Alexander attacked by two big worms. He was screaming "Ouch! Ouch! Ouch!" He was tormented. He recognized me and told me: "I neglected my last chance. I am here today, suffering. Please, when you return to Earth, go to my house and tell my family to believe in Jesus Christ and to obey His word, so that they will not come to this place of torment."
Then the Lord showed me thousands of people who were suffering in hell, and said, "You see, some of these people knew Me when they were on Earth. There are still a lot of people on Earth who walk on the street without knowing where they go. Know that the way to heaven is very narrow, and it will be narrower again. There will be difficulties on Earth, so that you will be as pure as gold, but fear not for I am ahead of you like a mighty warrior."
I asked Him: "ARE THERE CHRISTIANS IN THIS HELL?", He answered: "Yes, do you know why? They believed in Me but they did not walk according to My Word. There are many of those Christians who ONLY behave well when they are in the church, in front of their pastors and their family. But they are greatly deceiving themselves. The eyes of My Father sees everything and He understands every word, wherever you are.  Tell My people that it's time they lived a holy life before My Father, before the devil and before the world. Let the devil has no right to accuse My people; and let the world not point a finger at My people." (1 Peter 1: 14-16)
Lake of FireThen we went to a lake of fire.  It smelled horrible, and the Lord said, "What you see there is a lake of fire, which is ready for the devil, the false prophet, and the Antichrist. I did not prepare this place for men, but all those who do not believe in Me as their Savior and those who do not live according to My word will go there "(Revelation 20:14)
At that moment I saw Jesus weeping and He told me again: "There are too many of those who are lost than those who go to Heaven."  He showed me the number of people who were dying every minute and said, "Look! How many are lost! My Church is sleeping despite the fact that She has received My power; She has My Word and the Holy Spirit, but She is sleeping. On Earth there are people who preach that hell does not exist. Go and tell them that this place is real."
I could feel the intense heat. We left that place and we went to Heaven. We kept up and up, though the second heaven.  He showed me the sun and the stars and said, "Look at these stars, I call each one of them by name.  Do you see this sun, it's by My power that it shines both on the righteous and the wicked. But there will come a day when the sun will no longer shine, everything will be darkness." (Acts 2:20)
We went further up and reached the Kingdom of God.  I saw beautiful houses.  The walls of those houses were very high, of pure gold and of precious stones. There were twelve gates of pearls, with twelve angels at the gates. I didn't know if I could go in, but the Lord looked at me and said: "Do you want to go in?" "Oh yes Lord! I really want to."  "Then get in, for I Myself am the door(John 10:9).
At that moment I went in through a precious gate and I saw a garden of magnificent flowers. "Do you want to go in the garden? Then go in, for I've prepared this for you and My people." When I stepped in, I started to arrange some of the flowers into bunches. I ran in the garden like a little girl. The flowers I held had many colors with a very nice smell.  The Lord called someone. It was an angel, strong and so beautiful that I could not describe. The Lord told me: "Do you see this one, he is the Archangel Michael, he is the one who leads My army. Look again!" I saw a mighty army on horses and the Lord told me: "It's not a human army, but My Father's Army. This army is at the disposal of Christians who are REALLY born again; do not fear, for it is more powerful than the one which is in the world."
Then He showed me another angel. "This one is the messenger of Christians who obey My word." I was happy to hear that. Jesus told me: "Be attentive! I am the God of Abraham, the God of Moses, the God of Elijah, the One who caused fire to fall from heaven; I have not changed.  I am going to show you the condition in which My people live in these last days they've have left." The Lord told me: "Be very careful about the things I'm going to show you."
I saw Christians who were weak and tired. The Lord asked me this question: "Do you believe that I can take this Church away in its present state?" Then He told me, "Christians that I will take away with Me will be glorious, triumphant, spotless, blameless. Among My people there are lies, lack of love, My people are divided. I showed you the condition of Christians in these last days; Now I'm going to show you how the early Church lived. Those brothers and sisters were filled with the glory of God. They constantly fasted and prayed; they preached My word without any fear. Whereas present Christians think that I've changed, they also think that the Holy Spirit has changed. The big mistake of Christians today is the fact that they live a routine life, planned by human being. Therefore they've forgotten that the messages are from the Holy Spirit and from above. Tell My servants, the pastors, that the time has come to put behind those routine's programs. If they do, you will see the power of God in thier midst, the Holy Spirit who was manifest in the early Church. He will perform signs, miracles and wonders in great number, causing the dead to rise. The Holy Spirit is still the same, it's you who have changed."
Christians, it's high time you came back to the life of the early Church.  I then left this beautiful garden and went to a lovely street of Gold and the Lord said, "Touch! Yes it's pure Gold. Go and tell My children that VERY SOON, they are going to walk on these streets of gold by the hand of the One who gives life" (Revelation 21:10-15)
Oh! How great it is to walk on those streets of gold! After that I saw a splendid Throne surrounded by Angels, Archangels and Seraphs. They were continually praising God, the One who was on the Throne, saying: "Holy, Holy, Holy is the Lord God Almighty; heaven and Earth are filled with his Glory. Amen!"Time has come to lift up holy hands unto Me and praise Me." 
I saw the river of the water of life flowing from the Throne. I also saw the tree of life and at the other end I saw the rainbow and the crystal sea.  I asked the Lord: "Who is on the throne?" He answered: "It's My Father, the Lord of Host." I told Him: "Can I see the Father", "No it's not yet time," the Lord answered.
Even though I did not see the Father, the One who was on the throne was Mighty. I saw thunder and flashes of lightning coming from the throne and I heard praises. Jesus told me: "Do you hear these praises? These are the praises of those who are redeemed." I saw seven angels, each of them were holding a golden bowl; and seven other angels holding a trumpet. "Lord, who are these angels?" The Lord answered: "The seven bowls that the angels hold are filled with the wrath of God. They will soon be poured out and when the trumpets sound, My Church (those Christians who live according to the will of My Father) will be caught up. They will no longer be on Earth during the great tribulation. Before the Antichrist manifests himself, this man of sin, My Church will hear the last trumpets' sound, and they will meet Me in the air. (1 Thessalonians 4:16)
I was there, dear friend, in front of the great throne, and I did not have any notion of time.  Jesus showed me how His Church (the true believers) will be caught up! I saw in a vision, thousands of people disappearing. This happened world-wide, and TV and radio gave the news of the disappearance. Newspapers with (big headlines in red), also brought out the news. The Lord told me: "The news will soon happen. If the judgments of My Father have not yet come upon the Earth, it's because of the faithful Christians, those who really love me."
After that, I saw the appearance of the man of sin. He was saying to the inhabitants of the Earth: "I'm bringing you peace and safety" and immediately people forgot the event that had just taken place. Jesus told me: "Look carefully!." I saw in the vision the seven angels with the seven bowls. Dear friend, what was happening was difficult to describe; I saw the angels pouring out the seven bowls of the wrath of God on the Earth. Trumpets started sounding. God was pouring out His judgments on the inhabitants of the Earth, and whole countries disappeared. The Lord told me: "Look! All these people were part of My Church, some were pastors." Because I did not fully understand this, I asked the Lord: "How is it that so many of your people have been in the great tribulation? How is it that there are pastors among them, those who preached your word?" Jesus answered: "Yes, they had preached My word, but they were not living in accordance with My word." Then the Lord allowed me to see another multitude of pastors, and He told me: "Those pastors were not preaching My Word as it is written. They thought that My word was not adapted to their century. They had too much favor towards those who were giving a lot in tithes, because they were more interested in materials. Go and tell My servants that I am the One who called them, and that silver and gold belong to Me and I give them according to My greatness and glory. Tell them to preach My Word as it is written. They are many, those who give another interpretation to My Word. My Word is My Word, and no one can change it. It must be preached as it is written. There are many among My people who distort My word for their own profit."
After that, we entered a place in the new Jerusalem and the Lord told me: "What you see is paradise." I saw the apostles and I asked the Lord, "Lord where is Abraham?" I was expecting to see and old man, but suddenly I saw a young man about 25 years old approaching and Jesus told me, this is Abraham, the father of Faith.
The Lord called a very beautiful woman with an unspeakable beauty, like all those I saw there, and He told me: "This is Mary! Go and tell every body that Mary is NOT the Queen of Heaven. The King of heaven is I, the King of kings, and the Lord of lords; the One who says: 'I AM THE WAY, THE TRUTH AND THE LIVE. (John 14: 6-7). Go and tell this BLINDFOLDED MANKIND that there NO purgatory, for if there was one, I would have shown you. Instead, there is Hell, the lake of fire, the precious Jerusalem, and the paradise which I showed you. But tell them that there is no purgatory; tell them that IT'S A LIE FROM THE DEVIL, THERE IS NO PURGATORY."
Then the Lord led me to a store of crowns. "These are crowns of life...What do you see?" I saw my local Church, the believers of that community, singing and preaching, then I asked Jesus: "Why are the names of the believers of my community not written in this book?" And He told me: "Because of their wrongdoing on the Earth." (Rev 3:11)
After all this the Lord allowed me to come back on Earth, back into my body, the Journey was finished.

MY SECOND JOURNEY
One day we were all at a prayer meeting, about twenty of us in number. As usual, we started by praising and worshiping the Lord.
Suddenly we felt the presence of God. It was so powerful, just as if it were the day of Pentecost.  I remember my husband's mother, an old and devoted lady told me, "Bernarda, let's keep the noise down during the praise, we're making to much noise." She was right, because the praise was like the sound of a waterfall.  As I was about to ask my brothers to keep the noise down, I heard the Lord telling me: "Don't say anything! In the world, when people are making noise, nobody cares, why then should you stop the praise?" So we continued praising and worshiping the Lord.  I felt that something great would take place. Suddenly I remembered what the Lord told me on my first journey: "I'll come back for you."
All of a sudden I saw a bright light flooding my home. My brothers also saw the light appear.  They all knelt down before God.  I did not know what to do, and I just stood still. That light became brighter, and took a human form.  In front of me the Lord Jesus Christ, so beautiful and full of love. On Earth, I have never seen such beauty on a man's face. He came closer to each of my brothers.  But as I was about to tell my brothers that the Lord came for me, I started speaking in tongues. (1 Corinthians 14:39-40)
Just by looking at me, my spirit left my body and I was in the air.  Jesus took me by my hands and we went towards the Dominican Republic. When we reached the city, the Lord told me: "There are two great sins this country commits before My Father, witchcraft and idolatry." I saw the people of that country running after sorcerers and fetish.
After that, the Lord brought me to Venezuela and then to Mexico.  In Venezuela, I was in the air with Jesus, but I saw people turning to magic, fetish, and to witchcraft. In Mexico I saw people meeting and worshiping demons. The Lord told me: "The horror of this sin has reached My Father. The first sign I give as a warning is that there will be an Earthquake in Mexico if the inhabitants of the country do not repent and come back to me."   (When I later came back to Earth, I went to Mexico and preached this message. The people did not listen and recently there was a terrible Earthquake in Mexico)
While we were still in the air, the Lord told me that the Hands of His Father have been stretched out upon the inhabitants of the Earth. I saw the sea with gigantic waves, resembling a monster. I also saw hurricanes happening upon the Earth. I asked the Lord: "Lord what will become of Christians when all this happen?" He answered: "Go and tell them that, for those who are faithful to Me, none of their hairs will be touched."
After that the Lord brought me to another place, I saw places where the Earth was split. The Lord told me: "Many countries will soon be wiped out."
Then we left that place and went to another place where I saw waters in motion.  We went down through a tunnel and reached the depths of the Earth. I saw great doors. It was not the same as those I saw during my first journey. On these doors were big chains. The Lord went to the doors, removed the chains, and let me in through the tunnel.
I saw thousands of people with their head down, wearing torn clothes. They had big chains on them.  Then I said: "Lord, what does this mean?" He answered: "All these men and women are on their way to Hell." Among them, I saw my husband's senior brother, Adolfo. He was a difficult man, he used to get married and divorced whenever he wanted, and he used to curse God. Then I started pleading with the Lord to let me go back on Earth and warn Adolfo that he was going to hell, but the Lord did not answer me. Again I saw Adolfo and his wife walking through the tunnel. They were at the edge of H ell. I pleaded with the Lord again to let me go back on the Earth and tell people what I have seen. The Lord lifted His hands up and said: "Go and tell them that time is nearly over...thousands and thousands of people will go to Hell, Adolfo's time is over, he is going to die."
(When I came back to Earth, my brother in law Adolfo did not want to change his way of living. One day, he quickly came home from work and said to his wife: "I can't work any longer, something is telling me that I'm going to die." His wife answered: "It's because you are drunk as usual that you're saying this." Both of them went to bed. Some minutes later, she had a vision. In her vision she saw her husband and herself in a tunnel, clothed with shabby clothes, and going to hell. She heard the Lord telling her: "Time for both of you is over." )
When I was still in the air the Lord told me: "Do you know why I brought you here for a second time? It was to show you that during your first visit, the number of lost souls was less than this time." There were more lost souls now, than before.
Then, Jesus and I left that place and went up through the second heaven. When we reached the third heaven, the Kingdom of God, I saw angels bustling from one side to the other; then I asked the Lord: "Why are these angels in motion?" Jesus answered: "It's true that My angels are in motion here, but I'm going to show you how the Earth is also in motion. Be careful, because many demons have invaded the Earth. The devil is furious against Christians because he has little time left."
The Lord allowed me to see demons in a terrible rage, and He told me: "Those demons you see are demons of adultery. They will attack thousands of My servants and many will fall into that sin. Do you know why the devil succeeds in causing My servants to fall? It is because My servants do not give Me all the glory. They steal My glory and become proud. On top of that, their wives live in a great spiritual disorder. They did not build their homes with wisdom.(1 Timothy 2:11-14)
I saw thousands of angels that I could not count, there were many of them ready for the battle. Then Jesus told me: "Now I'm sending these thousands of angels on the Earth to protect My people. In these last days, the protection will be double. Satan also will double his attacks, but you should not forget that your God is great and mighty. If you are attached to Him nothing will happen to you."
The Banquet
The Lord then brought me to another place. I saw a huge table rounded with golden chairs. On each chair, a name was written, and a robe of fine linen was also placed. In front of each chair, on the table I saw crowns. Then I noticed that there was a chair that was bigger than others. In front of that chair was a huge cup in gold. Jesus told me to go and see what is in the cup. It was full of wine, ready to be served. Jesus told me: "Do you know why the wine is ready to be served? Go and tell My people that I am at the door, I'm coming soon."
The Lord gave me a robe of fine linen and a crown. I wore the robe and crown went to a place where there was some type of mirror. Jesus told me: "There's neither stain nor crease on your robe, isn't it? None will enter through this door nor take place at this table, unless he is clothed like this. Some among My people on Earth have dirtied their robes. Others have crumpled robes, and still others have put theirs aside, and have forgotten them. Tell My people that it's time they washed their robes, ironed them and took them back. Christians should ask the Holy Spirit to help them keep their robes in a good state, because the King will soon celebrate the Marriage Supper in His Father's kingdom." (Matthew 22:1-14)
My Family
I come from a divorced family and I grew up with my father. My mother was a very religious woman. As for my father, he believed in nothing. I have a sister who is in a catholic convent, but I know that Jesus will soon take her out of there and she will preach the Gospel with me. I pray a lot for her. When I was thinking about my mother's life in that mystic religion, during my first journey in paradise, I cried before the Lord and told Him: "Lord my mother is lost, yet I've preached the Gospel to her, but she won't listen. More and more she is clung to that pagan religion." The Lord answered me: "I will save your mother, but I will take her home immediately otherwise she will fall back into sin and go to Hell. For this reason, as soon as she is converted, she will die some time later and come here, in paradise."
When I came back on Earth, I prayed, cried, sighed, and reminding the Lord of the promise He gave me, but I saw my mother who was more and more involved in the idolatry of her religion. One day God used my son to convert my mother. Just three days after her conversion, she died!
During my second journey in paradise the Lord told me: "Look, what My mouth says, My hands fulfill it." I saw my mother in that beautiful paradise; she was among other women. We went to a place were I saw thousands of children clothed in white who were praising and glorifying the Lord. Jesus told me: "These children are those who have been aborted by parents and criminal doctors. Babies that people killed while they were still in their mother's womb, and that are found in dustbins and rivers, are here in heaven."
Dear brothers and sisters, contrary to what you may think, for the Lord, a fetus is a human being from conception, from the first day of pregnancy.
Jesus told me again: "Bernarda, work for I am your strength. This message has to be published into the whole world. It's a message for Christians, pastors, and for all the inhabitants of the Earth, including you. Let him who is holy continue to be holy."
At that moment the gates of heaven were opened. There was a beautiful escalator. Jesus called thousands of angels to came, and then the Lord accompanied me back home.
When we got home, I saw my husband and Christian brothers were waiting for my spirit to come back. I looked at my physical body, and I told the Lord that I no longer wanted this body. The Lord told me: "You cannot go back to Heaven with Me, for it is not your time yet. You have to tell My people first what you saw, in order for them to get ready." With a powerful voice, He told me: "Enter and receive life, I am the resurrection and the life, he who believes in Me, though he may die, he shall live (John 11: 25-26).
End of Testimony
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...